Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Kila kitu kimeumbwa na Mungu, lakini nabii Adam (as) hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa duniani.
Naomba nijue binaadam wa kwanza kuumbwa ni nani

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Mkuu hicho kitabu ulichotumia hakina uwezo wa kukujibu maswali yako .....nahisi ungetumia kitabu cha wakristo na wayahudi ungesaidika kwa mjibu wa maswali yako.....maana nishawah kivisoma hivyo vitabu vinasema Adam na Eva Walikuwa Wanaishi Duniani wameumbwa kwa udongo wa Ardhi kwahyo nijambo la kuelewa tu Mungu Aliposema Nimuumbe mtu kwa mfano wangu akaitawale dunia ...hii inaonesha kabsa mpsngo wa Mungu ilikuwa ni watu tukaishi Duniani.......alimchagulia sehemu nzuri tena hivyo vitabu vinakutajia mito minne ambayo ipo hapa duniani ambapo makazi ya Adam yalikuepo alipomuasi Dingi yake,dingi Akakasiriks Aksmfukuza Eden Ndo mahangaiko yalikoanzia.. Vitu hivi vilianza (1)Hasira
(2)wivu
(3)kifo
(4)sadaka
Nk: Hivo ndugu nakushaur ukavisome vitabu vya Mungu Wawakristo na Wawayahudi Hayo maswali yako hautauliza tena .....Sio lazima Uwe Yahudi au Uokoke Soma tu kwa Kuongeza Maarifa mkuu.
 
Mkuu hicho kitabu ulichotumia hakina uwezo wa kukujibu maswali yako .....nahisi ungetumia kitabu cha wakristo na wayahudi ungesaidika kwa mjibu wa maswali yako.....maana nishawah kivisoma hivyo vitabu vinasema Adam na Eva Walikuwa Wanaishi Duniani wameumbwa kwa udongo wa Ardhi kwahyo nijambo la kuelewa tu Mungu Aliposema Nimuumbe mtu kwa mfano wangu akaitawale dunia ...hii inaonesha kabsa mpsngo wa Mungu ilikuwa ni watu tukaishi Duniani.......alimchagulia sehemu nzuri tena hivyo vitabu vinakutajia mito minne ambayo ipo hapa duniani ambapo makazi ya Adam yalikuepo alipomuasi Dingi yake,dingi Akakasiriks Aksmfukuza Eden Ndo mahangaiko yalikoanzia.. Vitu hivi vilianza (1)Hasira
(2)wivu
(3)kifo
(4)sadaka
Nk: Hivo ndugu nakushaur ukavisome vitabu vya Mungu Wawakristo na Wawayahudi Hayo maswali yako hautauliza tena .....Sio lazima Uwe Yahudi au Uokoke Soma tu kwa Kuongeza Maarifa mkuu.
Tehehheehehhehe

الجنون فنون
 
Mkuu hicho kitabu ulichotumia hakina uwezo wa kukujibu maswali yako .....nahisi ungetumia kitabu cha wakristo na wayahudi ungesaidika kwa mjibu wa maswali yako.....maana nishawah kivisoma hivyo vitabu vinasema Adam na Eva Walikuwa Wanaishi Duniani wameumbwa kwa udongo wa Ardhi kwahyo nijambo la kuelewa tu Mungu Aliposema Nimuumbe mtu kwa mfano wangu akaitawale dunia ...hii inaonesha kabsa mpsngo wa Mungu ilikuwa ni watu tukaishi Duniani.......alimchagulia sehemu nzuri tena hivyo vitabu vinakutajia mito minne ambayo ipo hapa duniani ambapo makazi ya Adam yalikuepo alipomuasi Dingi yake,dingi Akakasiriks Aksmfukuza Eden Ndo mahangaiko yalikoanzia.. Vitu hivi vilianza (1)Hasira
(2)wivu
(3)kifo
(4)sadaka
Nk: Hivo ndugu nakushaur ukavisome vitabu vya Mungu Wawakristo na Wawayahudi Hayo maswali yako hautauliza tena .....Sio lazima Uwe Yahudi au Uokoke Soma tu kwa Kuongeza Maarifa mkuu.
Shukrani za dhati mkuu umenifumbua ndio maana nikaleta huu Uzi humu najua kuna watu makini

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Write your reply...Ni kweli ukisoma biblia kwa mfano inaonesha toka mbingu na nchi vilipoumbwa mpaka sasa imepita miaka kati ya 6,000-10,000 lakini kwa sasa tunatambua kwamba ni miaka bilioni kadhaa hivyo nakubali kwamba Adam siyo binaadamu wa kwanza kuumbwa.
 
Naomba nijue binaadam wa kwanza kuumbwa ni nani

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'



Mkuu Abuu, unaniuliza swali ambalo hata wewe ukiulizwa mfano wake hutaweza kujibu, mfano ,kuku wa kwanza kuumbwa alikuwa yupi??.

Mimi nasema hakuna popote kwamba mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa Nabii Adam (as), inatakiwa unithibitishie kama ni kweli yeye ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
 
Huenda bado hatujamtambua Mungu wa kweli, shetani alipomdanganya Eva ilikuwa ni dili ili binadamu atupwe duniani. Aliyetunga haya mambo ya abunuwasi ametuweza . Muumba (mwanzo wa coyote) yupo ila sio wa jinsi hivyo ,nyakati za mwisho atajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Ni kweli ukisoma biblia kwa mfano inaonesha toka mbingu na nchi vilipoumbwa mpaka sasa imepita miaka kati ya 6,000-10,000 lakini kwa sasa tunatambua kwamba ni miaka bilioni kadhaa hivyo nakubali kwamba Adam siyo binaadamu wa kwanza kuumbwa.


Ni kweli, Toka Adam awepo hapa duniani hadi leo ni takriban miaka 6,000 hivi na ushee.

Lakini hapa Tanzania na sehemu mbalimbali duniani kumepatikana masalia ya Watu walioishi mamilioni ya miaka. Dunia yenyewe ina umri wa Billions of years.
 
Mkuu Abuu, unaniuliza swali ambalo hata wewe ukiulizwa mfano wake hutaweza kujibu, mfano ,kuku wa kwanza kuumbwa alikuwa yupi??.

Mimi nasema hakuna popote kwamba mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa Nabii Adam (as), inatakiwa unithibitishie kama ni kweli yeye ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
Source ni vitabu vya Dini mkuu

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Source ni vitabu vya Dini mkuu

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'



Mkuu Abuu, kama unanukuu vitabu vya dini basi na ulete hiyo nukuu inayosema kwamba Nabii Adam (as) alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
 
Mkuu Abuu, unaniuliza swali ambalo hata wewe ukiulizwa mfano wake hutaweza kujibu, mfano ,kuku wa kwanza kuumbwa alikuwa yupi??.

Mimi nasema hakuna popote kwamba mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa Nabii Adam (as), inatakiwa unithibitishie kama ni kweli yeye ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
Duuuuh..

Wewe uthibitisho unaoukubali utoke wapi ?

الجنون فنون
 
Duuuuh..

Wewe uthibitisho unaoukubali utoke wapi ?

الجنون فنون




Katika Dini ya Kiislamu Adam anajulikana kama Nabii (mtume), hivyo basi kwa taratibu za kawaida ni kwamba Nabii hutokea (hutokana) miongoni mwa watu wake ili aje kuwaonya na kuwafundisha maagizo aliyotumwa kutoka kwa Mungu, hivyo Nabii huwa anazaliwa katika umma atakaokuja kuuonya na jambo hili tunaliona hata kwa mitume wengine.

Kwa muktadha huo, Adam hawezi kuwa mtu wa kwanza kuumbwa,bali ukisema kwamba yeye alikuwa ndiye mtu wa kwanza (katika manabii wote) kufunuliwa/kupata wahy kutoka kwa Mungu au ukasema Yeye alikuwa ni Nabii wa kwanza kutumwa na Mungu hapo ni SAWA kabisa na ninaunga mkono hiyo rai. Lakini yeye hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa bali alikuwa nabii wa kwanza kabisa.

Na hii imewachanganya sana watu wakidhani kwamba Yeye ndiyo mtu wa kwanza kuumbwa---Yeye ni nabii wa kwanza kutumwa (au unaweza kusema yeye ni mtu wa kwanza kuumbwa KIROHO). Kuumbwa kiroho maana yake ni kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu ili awapelekee watu (ujumbe).
 
Kiukwelii uumbajii sijui ili swali litakuja kufumbuliwa lini ukiweka kando imani yetu zipo theory mbalimbali zinazonasibu uumbajibwa binadamu na ukizifatilia kwa undani nahisi unaweza sema ni kweli na yawezekana ni kweli...mfano mm kuamini kuwa binadamu na na apes (wakina chimpazee) kusemekana tunashare ancestor mmoja huwa silipingi kwa sababu vipo viashilia mbalimbali ambavyo ni rahisi kuwa approved
 
Kiukwelii uumbajii sijui ili swali litakuja kufumbuliwa lini ukiweka kando imani yetu zipo theory mbalimbali zinazonasibu uumbajibwa binadamu na ukizifatilia kwa undani nahisi unaweza sema ni kweli na yawezekana ni kweli...mfano mm kuamini kuwa binadamu na na apes (wakina chimpazee) kusemekana tunashare ancestor mmoja huwa silipingi kwa sababu vipo viashilia mbalimbali ambavyo ni rahisi kuwa approved




Mkuu si kweli hicho unachosema kwamba Watu (binadamu) tuna share na apes (chipanzee) the same ancestors. Hiii umepata wapi?,🤔🤔
 
Back
Top Bottom