Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nakiri wazi kabisa kwamba baada ya Uongozi wa Fatuma Karume na Tundu Lissu kumalizika , TLS iliuawa, Edward Hosea na Huyu Sungusia ni kama walikuwa Mamluki waliokuja kukiua hicho chama cha Wanasheria, sijui kwanini waliamua kukiua.
Bali sasa Ujio wa Boniface Mwabukusi kwenye uongozi wa Chama hicho ni sawa na Ufufuo na Uzima
Huyu anafahamika kwa utetezi wake kwenye Rasilimali za Nchi, Lakini Je ataweza kufikia viwango vya Karume na Lissu?
PIA SOMA
- Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS
Bali sasa Ujio wa Boniface Mwabukusi kwenye uongozi wa Chama hicho ni sawa na Ufufuo na Uzima
Huyu anafahamika kwa utetezi wake kwenye Rasilimali za Nchi, Lakini Je ataweza kufikia viwango vya Karume na Lissu?
PIA SOMA
- Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS