Je, Boniface Mwabukusi atafanikiwa kuirejesha TLS kwenye ubora wake?

Je, Boniface Mwabukusi atafanikiwa kuirejesha TLS kwenye ubora wake?

Mwanaharakati maana yake nini?
Mwanaharakati ni mdai mabadiliko ya kijamii au kisiasa. Kwa ujumla, anatakiwa afahamu malengo na na tija iliyokusudiwa kupatikana katika harakati hizo.
Lazima awe na imani kamili juu ya anachokipigania kuwa ni haki, imani ambayo itamfikisha katika kiwango cha kumridhisha na kumfanya kuwa na yakini na kuondoa shaka kabisa. Kujitambulisha kuwa mwanaharakati kunahitaji ujuzi kamili wa malengo yaliyokusudiwa, na kisha kujiridhisha wewe mwenyewe na malengo hayo. Lazima mwanaharakati kwanza awe na ujuzi wa itikadi yake.
Kubwa kuliko yote ni kuwa tayari kuyatumikia malengo yenyewe na kubeba dhamana ya matokeo yake yakiwa mazuri au mabaya. Linalojulikana zaidi ni kuwa, kudai haki daima ni mapambano, maana madhalimu siku zote hawako tayari kutoa haki kwa hiyari, mwana falsafa mmoja alipata kusema. “Haki haiombwi, huchukuliwa
 
Nakiri wazi kabisa kwamba baada ya Uongozi wa Fatuma Karume na Tundu Lissu kumalizika , TLS iliuawa, Edward Hosea na Huyu Sungusia ni kama walikuwa Mamluki waliokuja kukiua hicho chama cha Wanasheria, sijui kwanini waliamua kukiua.

Bali sasa Ujio wa Boniface Mwabukusi kwenye uongozi wa Chama hicho ni sawa na Ufufuo na Uzima

View attachment 3006687

Huyu anafahamika kwa utetezi wake kwenye Rasilimali za Nchi, Lakini Je ataweza kufikia viwango vya Karume na Lissu?
Sidhani kama atapewa maana kwasasa serekali inadhibiti hicho chama kisiwe na kiongozi mwenye misimamo mikali.
 
Nakiri wazi kabisa kwamba baada ya Uongozi wa Fatuma Karume na Tundu Lissu kumalizika , TLS iliuawa, Edward Hosea na Huyu Sungusia ni kama walikuwa Mamluki waliokuja kukiua hicho chama cha Wanasheria, sijui kwanini waliamua kukiua.

Bali sasa Ujio wa Boniface Mwabukusi kwenye uongozi wa Chama hicho ni sawa na Ufufuo na Uzima

View attachment 3006687

Huyu anafahamika kwa utetezi wake kwenye Rasilimali za Nchi, Lakini Je ataweza kufikia viwango vya Karume na Lissu?

CCM na serikali wataingilia michakato hiyo ili tu kuhakikisha hapati fursa ya kuongoza taasisi hiyo..

Walifanya hivyo wakati wa Tundu Lissu lakini kwa huyu mwamba (Tundu Lissu) waligonga mwamba kwa sababu TL huwa akiamua na kung'ang'ania jambo au kitu huwa mpaka akipate so long as anakuwa na sifa ya kukipata..

Huyu Bon Mwabukusi kwa karibu namwona ana elements za Tundu Lissu. Ni mpambanaji jasiri asiye mwoga na mpigania haki wa kweli...

Wanachotakiwa TLS ni kumpa support tu kisha mapambano ya serikali/CCM na yeye wamwchie..
 
Nakiri wazi kabisa kwamba baada ya Uongozi wa Fatuma Karume na Tundu Lissu kumalizika , TLS iliuawa, Edward Hosea na Huyu Sungusia ni kama walikuwa Mamluki waliokuja kukiua hicho chama cha Wanasheria, sijui kwanini waliamua kukiua.

Bali sasa Ujio wa Boniface Mwabukusi kwenye uongozi wa Chama hicho ni sawa na Ufufuo na Uzima

View attachment 3006687

Huyu anafahamika kwa utetezi wake kwenye Rasilimali za Nchi, Lakini Je ataweza kufikia viwango vya Karume na Lissu?
Uchaguzi wa TLS huwa hauna figisu?
 
Nakiri wazi kabisa kwamba baada ya Uongozi wa Fatuma Karume na Tundu Lissu kumalizika , TLS iliuawa, Edward Hosea na Huyu Sungusia ni kama walikuwa Mamluki waliokuja kukiua hicho chama cha Wanasheria, sijui kwanini waliamua kukiua.

Bali sasa Ujio wa Boniface Mwabukusi kwenye uongozi wa Chama hicho ni sawa na Ufufuo na Uzima

View attachment 3006687

Huyu anafahamika kwa utetezi wake kwenye Rasilimali za Nchi, Lakini Je ataweza kufikia viwango vya Karume na Lissu?
Wacha afanye Kwa sehemu Mungu atakayomjalia. Ila Hali ni mbaya Ndio ukweli. Isitoshe Serikali itahakikisha Kwa gharama yeyote hashindi Kwa sababu
haungi mkono wenye mamlaka katika kuchakachua Rasilimali za nchi.
Lingine Mawakili wenzake wengi wamenajisika Hili liko wazi
Mawakili wasomi wote sasa hivi Wanakaa na Majaji/Mahakimu kuangalia mteja mwenye pesa apewe ushindi
 
Screenshot_2024-07-26-13-30-05-1.png
 
Back
Top Bottom