Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
HayaHawezi kushinda Urais wa TLS labda ajaribuni uchaguzi ujao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaHawezi kushinda Urais wa TLS labda ajaribuni uchaguzi ujao
Kwa kweli wangebadili kidogo katiba ili raisi akae madarakani hata miaka 3 ili akiwa mzuri aweze kupata muda mzuri wa kukiendeleza chama.Hiki chama kimeshakosa mvuto
Ficha ujinga wako weweKazi ya TLS siyo kutetea raslimali za nchi bali jukumu la TLS ni Kuisaidia Serikali na Mahakama kuhusu mambo yoyote yanayogusa sheria, utawala wa sheria na kazi za kisheria. Dhana hii ndiyo inayoiunganisha Taasisi hiyo na Mahakama ya Tanzania.
Kama Mwabukusi ni mwanaharakati basi TLS siyo mahali pake
Soma na kuelewa wewe bwege wa Mwakaleli.Ficha ujinga wako wewe