Je, Boniface Mwabukusi atafanikiwa kuirejesha TLS kwenye ubora wake?

Je, Boniface Mwabukusi atafanikiwa kuirejesha TLS kwenye ubora wake?

1722623707822.jpg
 
Kazi ya TLS siyo kutetea raslimali za nchi bali jukumu la TLS ni Kuisaidia Serikali na Mahakama kuhusu mambo yoyote yanayogusa sheria, utawala wa sheria na kazi za kisheria. Dhana hii ndiyo inayoiunganisha Taasisi hiyo na Mahakama ya Tanzania.

Kama Mwabukusi ni mwanaharakati basi TLS siyo mahali pake
Ficha ujinga wako wewe
 
Back
Top Bottom