Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunahitaji majibu ya hili swali tu, sisi tukishaingia kazini kumnadi tu hakuna kizuiziNgoja tuone akishinda urais
Huyu siyo chawaNakiri wazi kabisa kwamba baada ya Uongozi wa Fatuma Karume na Tundu Lissu kumalizika , TLS iliuawa, Edward Hosea na Huyu Sungusia ni kama walikuwa Mamluki waliokuja kukiua hicho chama cha Wanasheria, sijui kwanini waliamua kukiua.
Huyu ana element za LissuNgoja tuone akishinda urais
Siasa ni maishaHuyo anataka kupeleka mambo ya siasa hapo wacha tuanze kusaga kunguni!
Katiba yao ni ya kijinga sn, uchaguzi kila mwaka na wakati katiba tu za vikundi vya kufa na kuzikizana ni zaidi ya miaka 2Hiki chama kimeshakosa mvuto
📌🔨Ujio wa Boniface Mwabukusi kwenye uongozi wa Chama hicho ni sawa na Ufufuo na Uzima
Ukikosa hewa unakufa ukikosa siasa je!Siasa ni maisha
Siasa haijawahi kukosekanaUkikosa hewa unakufa ukikosa siasa je!
Ni zaidi ya shina la CCMTLS ya sasa ni CCM 😄
Alphonce Lusako alitumia nguvu sana kumnadi huyo Sungusia hadi akatuingiza chaka, kumbe Sungusia mwenyewe Mamluki tu, Sasa Mwabukusi huyo hapoMtanganyika Halisi kuongoza Tanganyika Law Society ndio mahala pake.
Kazi ya TLS siyo kutetea raslimali za nchi bali jukumu la TLS ni Kuisaidia Serikali na Mahakama kuhusu mambo yoyote yanayogusa sheria, utawala wa sheria na kazi za kisheria. Dhana hii ndiyo inayoiunganisha Taasisi hiyo na Mahakama ya Tanzania.Nakiri wazi kabisa kwamba baada ya Uongozi wa Fatuma Karume na Tundu Lissu kumalizika , TLS iliuawa, Edward Hosea na Huyu Sungusia ni kama walikuwa Mamluki waliokuja kukiua hicho chama cha Wanasheria, sijui kwanini waliamua kukiua.
Bali sasa Ujio wa Boniface Mwabukusi kwenye uongozi wa Chama hicho ni sawa na Ufufuo na Uzima
View attachment 3006687
Huyu anafahamika kwa utetezi wake kwenye Rasilimali za Nchi, Lakini Je ataweza kufikia viwango vya Karume na Lissu?
Mwanaharakati maana yake nini?Kazi ya TLS siyo kutetea raslimalk za nchi bali jukumu la TLS ni Kuisaidia Serikali na Mahakama kuhusu mambo yoyote yanayogusa sheria, utawala wa sheria na kazi za kisheria. Dhana hii ndiyo inayoiunganisha Taasisi hiyo na Mahakama ya Tanzania.
Kama Mwabukusi ni mwanaharakati basi TLS siyo mahali pake
hatari sn