Je, Bunge Linaidharau Mahakama na Kuwadharau Watanzania? Kitendo cha Bunge Kutunga Sheria Batili Iliyoshabatilishwa na Mahakama Kinamaanisha Nini?

Paskal, nimekulewa sasa na hapo mwanzo. Bado naendelea kusimama na hoja yangu, Mahakama inatakiwa tu kutoa uamuzi kuwa sheria fulani ni batili na kutuza desturi yake ya kuto mnyooshea yeyote kidole kuwa alikosea. Mahakama hufanya hivyo baina yao kutoka ngaziya chini kwenda ya juu zaidi. Ni nadra kuona mahakama ya juu ikisurubu mahakama ya chini kwa maamuzi yake. Nilitaraijia ustaarabu uwe wa hali ya juu zaidi linapokuja suala linalogusa mihimili weza hasa bunge
 
Heshima ikizidi sana inakuwa ni unyenyekevu, mhimili wa mahakama unajinyenyekeza kwa mhimili wa Bunge na serikali, baada ya mihimili hiyo kuvunja katiba kwa kutunga sheria batili, kisha kuuchukua ubatili huo na kuuchomekea ndani ya katiba yetu kiubatili!. Checks and balance itatoka wapi?.
P
 
Mkuu Mayor Quimby ,kwanza asante kwa kuchangia uzi huu,na mchango wako ni very objective ila umeharibu hapa
MaCCM hayana desturi ya kuheshimu katiba kwenye kutunga sheria.
Sio fair CCM kuiita maCCM, ni lugha ya maudhi na machukizo。
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…