Sasa unamjua Peter kwani wakati huyo muna anakazwa na wote hao mpaka mimba inaingia ulikuwa wajua?Mtoto ni wa Casto sema kwakuwa Peter alimuoa ndo maana watu wanaongea tu. Kumbuka aliolewa na mimba ya miezi 3 na alikuwa na mahusiano na Peter+Casto. I know Peter vizuri was my neighbour somewhere
huenda ndio alikuwa mshika miguu ya huyo ajuza au alimsaidia kutelemsha qupiSasa unamjua Peter kwani wakati huyo muna anakazwa na wote hao mpaka mimba inaingia ulikuwa wajua?
Kuna kazi yeye anasibitisha kuwa mtoto ni casto, mara muna kaolewa na Peter akiwa na mimba ya miez mitatu mara namjua peter yaani hana points kumjua hakumaanishi kumjua kuliko yeye ukimuuliza unajua wameanza kukazana lini hajui ila yeye ni mtoa hitimisho la mimba na mtotohuenda ndio alikuwa mshika miguu ya huyo ajuza au alimsaidia kutelemsha qupi
Nae ana roho ngumu kama pakaMwimba gospo flani ivi
Inaelekea muna anampenda sana castorMuna alitakiwa amsahau Casto kabisa baada ya ndoa
Kwa kweli ingekuwa mimi baada ya kukataa mimba ningemdeleteInaelekea muna anampenda sana castor
Ndo yeye uyo nilikuwa namuona sana Mtwara kipindi kile nami nilikuwa kuleKwani Huyu Casto Dickson ndie aliyewahi kuwa Mtangazaji wa redio moja Huku Mtwara inayoitwa PRIDE FM!!!
Peter au Patrick??
Ninahisi Casto na Munaluv waliendeleza Peter akiwa mume
Mkuu unataka kuchangamkia fursa ya kwenda kuchunwa?Kwa sasa nani anamiliki huo mzigo?
Nataka nipaishwe na mimi maana tayari ni superstarMkuu unataka kuchangamkia fursa ya kwenda kuchunwa?
Huyu ni peter zakaria mwanaume wa dar.hataki makuu.Huyu Peter Zakaria wa Moshi Feki..
Angekuwa yule Peter Zakaria wa Tarime angekinukisha balaa..
Wakuu,
Familia ya Muna Love imekubali kuwa msiba utakuwa kwa mzee Peter ambaye alikuwa mume wa Muna, sasa je? Casto ataenda msibani hapo?
Endapo ataenda ni nini kitatokea? Kaa tayari kwa ubuyu huo hapo kesho
Ila hii inaleta shida kidogo, mama wa mtoto anaposimama hadharani na kusema mtoto sio wako halafu wewe unakomaa kuwa mtoto ni wa wako halafu unakuja tu na vikaratasi sijui cheti cha ndoa, mara sijui cheti cha kuzaliwa eti ndio udhibitisho kuwa wewe ndiyo baba wa mtoto kidogo napata mashaka na uelewa wa huyo Peter maana hayo ni makaratasi hayakufanyi Uwe biological father. Peter angekuwa na uwezo angefanya DNA test huo ndio ungekuwa udhibitisho wa maana ingawa hata huo pia kuna namna ni maamuzi ya dokta akitaka kuhamisha goli anahamisha vile vile. Peter atulie tu ashaambiwa aligongewa Sasa atulie tu
Anajiita Baba Tupac siyo Tupac.Unalidhalilisha sana jina la Tupac. Tupac alikuwa gangsta na sio mbea mbea na mambo ya kichoko kama haya ya kufuatilia maisha ya watu na sijui ubuyu ni umama wa hali ya juu kwa mwanaume
Hizo ni sheria za kizalamo za kitanda hakizai haramu au?Pengine wewe ndio uelewa wako mdogo .....mtoto wa ndani ya ndoa ni mali ya wana ndoa kwa hiyo uhitaji DNA.....
Marioo sugu mtaji mdomo wa kunyonya kCasto anawakilisha tabia za wanaume wa dar.