Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mods hawafurukuti mana umepiga kivumishi cha kiarabu😀😀😀Qummer- maye wallah,kumbe hata Mimi m2 ninayejua kuwa ni Baba yangu huenda asiwe my Biological father!!!!!!!![emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Mtoto ni wa yule ambae jina lake liko kwenye documents,Mtoto ni wa Casto sema kwakuwa Peter alimuoa ndo maana watu wanaongea tu. Kumbuka aliolewa na mimba ya miezi 3 na alikuwa na mahusiano na Peter+Casto. I know Peter vizuri was my neighbour somewhere
Jina hata mbwa analo. Kwakuwa alimuoa na akalea tuna assume ni wake.Mtoto ni wa yule ambae jina lake liko kwenye documents,
Ingawa sura yake imekaa ki castro castro zaidi
Tukianza kuingia kwenye mambo ya DNA basi hapa mjini itakua vurugu sana, acha tu ibaki hivyo hivyo kua mtoto ni wa PeterIla hii inaleta shida kidogo, mama wa mtoto anaposimama hadharani na kusema mtoto sio wako halafu wewe unakomaa kuwa mtoto ni wa wako halafu unakuja tu na vikaratasi sijui cheti cha ndoa, mara sijui cheti cha kuzaliwa eti ndio udhibitisho kuwa wewe ndiyo baba wa mtoto kidogo napata mashaka na uelewa wa huyo Peter maana hayo ni makaratasi hayakufanyi Uwe biological father. Peter angekuwa na uwezo angefanya DNA test huo ndio ungekuwa udhibitisho wa maana ingawa hata huo pia kuna namna ni maamuzi ya dokta akitaka kuhamisha goli anahamisha vile vile. Peter atulie tu ashaambiwa aligongewa Sasa atulie tu
Mbwa hawana Middle name na SirnameJina hata mbwa analo. Kwakuwa alimuoa na akalea tuna assume ni wake.
Hahahaha kwa hiyo "tufanye" tu mtoto ni wa Peter si ndio?Tukianza kuingia kwenye mambo ya DNA basi hapa mjini itakua vurugu sana, acha tu ibaki hivyo hivyo kua mtoto ni wa Peter
[emoji2] [emoji2] [emoji2] haswaa sura CastoMtoto ni wa yule ambae jina lake liko kwenye documents,
Ingawa sura yake imekaa ki castro castro zaidi
Yeah Mkuu, hii ni ili kuficha aibu kwa Peter, Muna & Castro endapo itakua other wayHahahaha kwa hiyo "tufanye" tu mtoto ni wa Peter si ndio?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hatariYeah Mkuu, hii ni ili kuficha aibu kwa Peter, Muna & Castro endapo itakua other way
Kweli, maana jibu lolote litakalotoka litampa aibu mtuYeah Mkuu, hii ni ili kuficha aibu kwa Peter, Muna & Castro endapo itakua other way
duuh!!! basi hakijaharibika kitu..wao watupie tu miwañi mikubwa myeusi tutakutana hukoMkuu naskia na dogo Janja
Ni lazima atapigwa tu!Wachagga watampiga
Kala mke wa mtu halafu anajitamba Instagram
Kuna mama mmoja aliniambia ukiwa huna uhakika wa Baba wa mtoto mwanaume wa kwanza atakaekubali shikilia hapo hapo labda DNA ikuumbue.
Pita kama anajua akimaliza huo msiba amsake huyo poyoyo kila kona ya mji ahakikishe anabandua kalio lake tena bila kilainishi chochote.sasa mpaka mwanamke anaolewa Casti akitulize
Muna ndo mngese angemweleza ukweli huyo dogo asingekuwa na shobo hzohahahaha daah casto amezingua sana