Je, Casto Dickson ataenda msibani kwa mzee Peter?

Je, Casto Dickson ataenda msibani kwa mzee Peter?

Inasemekana Casto alikataa mimba na alimwambia Muna aitoe. Peter alimuoa Muna akiwa na mimba.
Sasa kama alikataa mimba na kutaka itolewe
Sasa kinachomwasha nini kupiga picha Instagram na mtoto wa Peter?! Yeye si alijiona mjanja sasa amemtia fedhea baba wa watu kalea mimba na mtoto hadi kifo.
 
Mtoto ni wa Casto sema kwakuwa Peter alimuoa ndo maana watu wanaongea tu. Kumbuka aliolewa na mimba ya miezi 3 na alikuwa na mahusiano na Peter+Casto. I know Peter vizuri was my neighbour somewhere
Hata wewe unaongelea umbea tu. Huwezi kuwa na uhakika.
 
Qummer- maye wallah,kumbe hata Mimi m2 ninayejua kuwa ni Baba yangu huenda asiwe my Biological father!!!!!!!![emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Kistaarabu tu, futa hii post...
 
Wakuu,

Familia ya Muna Love imekubali kuwa msiba utakuwa kwa mzee Peter ambaye alikuwa mume wa Muna, sasa je? Casto ataenda msibani hapo?

Endapo ataenda ni nini kitatokea? Kaa tayari kwa ubuyu huo hapo kesho

Unalidhalilisha sana jina la Tupac. Tupac alikuwa gangsta na sio mbea mbea na mambo ya kichoko kama haya ya kufuatilia maisha ya watu na sijui ubuyu ni umama wa hali ya juu kwa mwanaume
 
kamuulize mwenyewe!
Wakuu,

Familia ya Muna Love imekubali kuwa msiba utakuwa kwa mzee Peter ambaye alikuwa mume wa Muna, sasa je? Casto ataenda msibani hapo?

Endapo ataenda ni nini kitatokea? Kaa tayari kwa ubuyu huo hapo kesho[/QU
 
demu wa Castro, ni nani vile, maana inabidi naye alee mtoto wa mwanamume mwenzie ati!
Wakuu,

Familia ya Muna Love imekubali kuwa msiba utakuwa kwa mzee Peter ambaye alikuwa mume wa Muna, sasa je? Casto ataenda msibani hapo?

Endapo ataenda ni nini kitatokea? Kaa tayari kwa ubuyu huo hapo kesho
 
Unalidhalilisha sana jina la Tupac. Tupac alikuwa gangsta na sio mbea mbea na mambo ya kichoko kama haya ya kufuatilia maisha ya watu na sijui ubuyu ni umama wa hali ya juu kwa mwanaume
Kiongozi ukitaka habari za kujenga nchi nenda jukwaa la siasa, huku hizi ndio habari zenyewe hakuna kilimo cha mbogamboga huku.

Likiisha hili linakuja la Diamond, wema, zari na mama Diamond. Utapasuka kichwa bure.
 
yeye (casto), kalala jr, joel muimba gospo, petit man na mababa wengine wote wa kufikia watangulie tu makaburin tutawakuta huko
Akanana DEMBA una maakili sana huu ndio ushauri wanapaswa kuufata hao uliowataja kinyume na hapo wanaweza sababisha vurugu na wakapakiwa kwenye defender..... wanatakiwa kukaa mbali na mke wa mtu kwa sasa lasivyo watapata tabu sana
 
Ila hii inaleta shida kidogo, mama wa mtoto anaposimama hadharani na kusema mtoto sio wako halafu wewe unakomaa kuwa mtoto ni wa wako halafu unakuja tu na vikaratasi sijui cheti cha ndoa, mara sijui cheti cha kuzaliwa eti ndio udhibitisho kuwa wewe ndiyo baba wa mtoto kidogo napata mashaka na uelewa wa huyo Peter maana hayo ni makaratasi hayakufanyi Uwe biological father. Peter angekuwa na uwezo angefanya DNA test huo ndio ungekuwa udhibitisho wa maana ingawa hata huo pia kuna namna ni maamuzi ya dokta akitaka kuhamisha goli anahamisha vile vile. Peter atulie tu ashaambiwa aligongewa Sasa atulie tu
Pengine wewe ndio uelewa wako mdogo .....mtoto wa ndani ya ndoa ni mali ya wana ndoa kwa hiyo uhitaji DNA.....
 
Peter ni mjinga kuoa mwanamke mwenye mimba,castro ni mpumbavu kukwepa majukumu kisha mwanamke kuolewa na mtu mwingine baadaye atake mtoto na mke.Muna ni msengerema maana hakumbuki alipotelekezwa akaenda wapi kupata kimbilio.Castro atalipwa humu duniani coz huyu binti siyo mwaminifu atazaa na mtu nwingine hata akiwa naye yeye!
 
Back
Top Bottom