Je, CC za engine pekee ndio zinaamua ulaji wa mafuta wa gari?

Je, CC za engine pekee ndio zinaamua ulaji wa mafuta wa gari?

Kuna baadhi ya watu huyakataa magari kwa kuangalia Cc za engine(Engine capacity). Lakini huenda kuna watu wameacha magari mazuri kwa sababu ya kigezo hiki. Hebu tuangalie baadhi ya mambo mengine ambayo yanaweza kuchangia ulaji wa mafuta kwenye gari..
Ahsante kwa maelezo mazuri na ya kitaalam. Hivi ulaji wa mafuta wa VW Tourage V6 ya petrol yenye CC 3200 au 3600 ukoje, unatofautiana vp na VW Tourage ya uingereza TDI engine ambazo ni diesel yenye CC 2700 au 3000.

Je, kwa Tanzania hizi za diesel zinafaa? Nyingi tourage zilizopo Tz ex Japan ni petrol, vp hizi za diesel za uingereza?
 
Gari ile mafuta ila ikujali na uchumi wako aisee. Imagine uweke mafuta ya laki moja almost 50+ litres kisha utembelee siku 3 is it worth it? Uende kazini na kurudi tu siku tatu gari ikuzimikie kabla hujafika kwako? Utafurahia hilo?..
Hybrid Tamu sana.. Ngozi nyeupe ina rahusisha sana maisha. Itafikia kipindi Lita moja ya V 8 unatembea 40 Km 😀😀😀😀
 
Ahsante kwa maelezo mazuri na ya kitaalam.
Hivi ulaji wa mafuta wa VW Tourage V6 ya petrol yenye CC 3200 au 3600 ukoje, unatofautiana vp na VW Tourage ya uingereza TDI engine ambazo ni diesel yenye CC 2700 au 3000.
Je kwa Tanzania hizi za diesel zinafaa? Nyingi tourage zilizopo Tz ex Japan ni petrol, vp hizi za diesel za uingereza?
Kwa mazingira ya Tanzania, gari za Diesel hazifai sana, maana wachakuchuaji sana wa mafuya
 
Hivi 4WD inaongeza ulaji wa mafuta kivipi? Maana kuna magari ni full time 4wd...

Technically kuna utofauti kati ya All wheel drive AWD na 4WD. Gari yenye AWD pia ina 4WD.

Gari ya 4WD inaweza isiwe AWD.


Nafikiri nimeshakuacha hapo,


Haya twende sawa,

AWD huwa ndani hakuna Button/ Gia ya Kuingage Miguu mi4 ila badala yake guwa inagundua Mizunguko ya tairi/ Drive shaft na kujua kuwa inatakiwa ifungue 4WD pia hufanya mechanisim ya ku lock diff nk.
 
2 Wheel drive!
Inaweza kuwa Front 2 wheel drive au rear/hind two wheel drive. Yaani gari ina tairi mbili zenye nguvu, ama zinakua za mbele ama za nyuma.
Kwa gari zinazotumia tairi za mbele nguvu inayofika kwenye tairi ni kubwa kuliko ile inayofika kwa gari zinazotumia tairi za nyuma, kiasi fulani cha nguvu hupotea wakati nguvu ikisafiri kufika nyuma.
Je gari matumizi ya tairi za mbele au nyuma yanaathiri ulaji wa mafuta ?

4 wheel drive.
Gari zinazovuta miguu yote minne.
Inaweza kuwa;
1. Optional 4 wheel drive. Hizi zinakua na gear za ku engage pale unapohitaji 4 wheel. Ama
2. Full time 4 wheel drive/All wheel drive. Mfumo huu tairi zote nne zinavuta bila dereva kuwa na option ya ku engage au kinyume chake.

Kuna kitu kinaitwa symetrical all wheel drive. Mfumo Kama wa kwenye Subaru. Yaani nguvu zinasambazwa sawa sawa kwenda kwenye kila tairi na hivyo kufanya performance ya gari kuwa Bora zaidi.

Asymmetrical 4 wheel / all wheel drive inakua Kama ile iliyo kwenye Land cruiser hizi nyingi. Yaani urefu wa excel road( sina hakika Kama jina liko sahihi) kutoka kwenye diff kwenda kwenye tairi za kulia na kushoto zinatofautiana urefu. Kwahiyo tairi ambayo excel yake ni fupi inapokea nguvu kubwa zaidi.
Kuna gari Zina AWD lakini ni asymmetrical.

Kuna kitu kinaitwa intelligent AWD yaani Kuna mfumo wa kutambua tairi gani ina traction kubwa au inaelemewa kwa sababu fulani Ili automatically nguvu zaidi imepelekwe huko kunusuru Hali. Hii nayo imo kwenye Subaru.
Kuna classification nyingine pia hapo kwenye AWD/4WD nimeisahau kidogo.
Ni vyema kujua mifumo hii, faida na hasara zake kwa kulinganisha na nahitaji ya mtumiaji wakati wa kuchagua gari ya kununua.

Mfano subaru ni Bora Sana kwa mfumo wake huo kwenye maeneo yenye barabara za tope tope au vikwazo vidogo vidogo kwa sababu mfumo wenyewe unatambua na kuovercome hivyo vikwazo au utelezi automatically.
Lakini unasababisha matumizi makubwa kidogo ya mafuta na huwezi kuacha kuutumia mahali ambapo huuhitaji.
 
Technically kuna utofauti kati ya All wheel drive AWD na 4WD. Gari yenye AWD pia ina 4WD.

Gari ya 4WD inaweza isiwe AWD.


Nafikiri nimeshakuacha hapo,


Haya twende sawa,

AWD huwa ndani hakuna Button/ Gia ya Kuingage Miguu mi4 ila badala yake guwa inagundua Mizunguko ya tairi/ Drive shaft na kujua kuwa inatakiwa ifungue 4WD pia hufanya mechanisim ya ku lock diff nk.
Kwa uzoefu wangu nimeshaendesha Subaru Legacy B4 yenyewe ni AWD pia nimeshaendesha Hilux Surf KZN130 yenyewe ina 4WD nimeshatumia yote ila sio hayo mafuta yanayosemwa yanaenda mengi maana average ya magari madogo ya 2000CC ni 7-8km/l lwa safari za mjini kwaio ndo nashindwa kuelewa hapo mafuta yanaongezekaje? Wakati hata ukichukua Altezza ambayo haina 4WD au AWD average mafuta unapata hayo hayo ya 7-8km/l
 
Kwa uzoefu wangu nimeshaendesha Subaru Legacy B4 yenyewe ni AWD pia nimeshaendesha Hilux Surf KZN130 yenyewe ina 4WD nimeshatumia yote ila sio hayo mafuta yanayosemwa yanaenda mengi maana average ya magari madogo ya 2000CC ni 7-8km/l lwa safari za mjini kwaio ndo nashindwa kuelewa hapo mafuta yanaongezekaje? Wakati hata ukichukua Altezza ambayo haina 4WD au AWD average mafuta unapata hayo hayo ya 7-8km/l

Concept is

Chukua gari zenye Engine na gearbox aina moja,

Moja iwe 4WD na nyingine iwe 2WD

Yenye 2WD itakuwa verry Economy kuliko nyingine
 
Gari ile mafuta ila ikujali na uchumi wako aisee. Imagine uweke mafuta ya laki moja almost 50+ litres kisha utembelee siku 3 is it worth it? Uende kazini na kurudi tu siku tatu gari ikuzimikie kabla hujafika kwako? Utafurahia hilo?

Thus why Carburetor ikatupiliwa mbali. Sasa kuna VVT-i ila nayo soon tunaiacha tutahamia HYBRiD kisha full EV. Gari imekuwa ni kitu cha lazima so lazma kuimiliki kusiwe chanzo cha mateso.
wenye vituo vya mafuta watalala njaa.
 
Back
Top Bottom