Je, CC za engine pekee ndio zinaamua ulaji wa mafuta wa gari?

Kwa diesel ni around 14km/l mpaka 16km/l

Kwa petrol ni around 8km/l mpaka 11km/l
 

Tafuta gari zenye same specs. Zote ziwe zimepigwa service na zisiwe na shida. Moja iwe 2WD na nyingine iwe 4wd.

Hapo unaweza ona utofauti ukiendesha.
 
Je nini cha kuzingatia wakat unanunua gari mkonon..unapaswa kuangalia milege au namba ya gari (registration number)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…