Damy Dee
Member
- Sep 30, 2016
- 83
- 96
Rais anaweza muongeze CDF kukaa madarakani.. Kumbuka Mwamunyange alikua keshastafu lakini aliongezewa mwaka mmoja au miwili na Jonh Pombe
Pia suala la IGP anaweza muongezea,ili watoke wote pamoja! Ngoma hua nzito kwa Mkuu wa TISS..
Mashudu haya.