Hahaha
Waendelee tu mpaka wafia hapo! Mbona ka Giles Muroto kana miaka 70 lakini kanadunda tu na u RPC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waendelee tu mpaka wafia hapo! Mbona ka Giles Muroto kana miaka 70 lakini kanadunda tu na u RPC
kama muroto ana 70,bas kova alikuwa na 98,[emoji1]Waendelee tu mpaka wafia hapo! Mbona ka Giles Muroto kana miaka 70 lakini kanadunda tu na u RPC
yule mrangi Mungu anamuona[emoji1787][emoji1787]Sijawahi ona polisi muongo kama Kova jamani! Yule Mzee alikua anakomaa na kitu cha uongo mchana kweupe,eti aliyempiga,Dr Ulimboka alishikwa kwa Askofu nani sijui,kaenda kutubu dhambi,akapelekwa mahakamani,akahukumiwa kulipa 1000! Tanzania I love you
Ulisoma hiyo item ya tatu kwenye list niliyoweka? Wewe unasoma sentensi moja tu halafu unafanya conclusion?Sio lazima CoS ndio achaguliwe kuwa CDF wakati Mboma anateuliwa kuwa CDF wala hakuwa CoS na wala Waitara wakati akiteuliwa CDF hakuwa CoS na isitoshe wakati Gen.Mboma anastaafu walistaafu pamoja CoS Gideon Sayore wala rais hakusubiri eti kwanza aanze kustaafu Sayore amteuwe CoS mwingine eti baadaye ndio aje kuwa CDF kumbukumbu zangu katika miaka ya karibuni ni Gen.Mwamunyange na Gen.Mabeyo tu ndio walianza kuwa CoS na baadaye kuwa CDF na hata polisi kuwa Kamishna pale makao makuu sio kigezo kwamba ndio ateuliwa kuwa IGP mfano mzuri ni Mahita aliteuliwa kuwa IGP akitokea Arusha kama RPC.
Mangu hajawahi ruka cheoHapo ndiyo huleta shida sasa, yaani unaacha CP unamchukua SACP?? Yale yale ya Chagonja na Mangu! Hata CDF Mabeyo kuna watu wanasema hakupaswa kua CDF,lakini ndo mkubwa akisema no way out
Hukusoma jibu langu vizuri.Kwa mujibu wa katiba Rais hafungwi na ushauri wa yeyote kwani mamlaka ni yake na hakuna utaratibu wowote mpya tofauti na ilivyokuwa zamani sema wabongo jambo likitokea mara mbili tatu tunakariri kwamba huo ndio utaratibu,si kweli.
Mkuu hadi kifo kiwatenganishe na madaraka. Angalia Maprofesa wengi wanavyojitoa ufahamu ili tu wasalie madarakani.Kwa Tanzania hao hata miaka 100 wanasonga tu mfano sasa wote wana zaidi ya miaka 63 lakini nado wanaendelea kusonga mpaka 2025.
Mangu alipewa U'IGP' na Kikwete, na sababu aliyopewa U'IGP' ilikuwa ni kwamba Mangu ametumikia Uaskari kwa muda mrefu kabla ya kuwa Afisa ;hii inakuwaga faida kwenye kupata teuzi za ukuu wa jeshi majeshi yoteHujaelewa! Chagonja alianza kupanda cheo hadi CP, nadhan kwa akili zake,alijua he is the next IGP baada ya Mwema! Matokeo yake akapata Mangu na kua IGP, Chagonja alipokosa U IGP akawa ana muhujumu Mangu,ndiyo maana Magu aliwatoa wote pale,alianza na Chagoja akampa RAS sijui mkoa gani huko,then kwa heshima akampa ubalozi Mangu huko Rwanda
Mkuu kwa sasa hatuna Uongozi wa Sheria wala kifuata kanuni zilizowekwa ili kumpata/kuwapata Wakuu wa Majeshi yetu. Hivyo Jiwe anawezampa nafasi yeyote yule hata nje ya Ranks ulizozitaja.Siyo lazima CoS amrithi CDF, ye yote kuanzia Brigadier General anaweza kuwa CDF. Ni mapenzi ya Rais kuamua.
Mkuu nikuulize swali, Ni kwanini Magu hajawahi kwenda Chuo Cha Maafisa Monduli kuwavisha Nishani Wahitimu kama walivyokuwa wakifanya Watangulizi wake?? Je Wahitimu wanaruhusiwa kuvishwa nishani zao sehemu tofauti na pale walikohitimu mafunzo yao??Utaratibu wa jeshi hauko hivyo mkuu. Huko Kuna kitu kinaitwa hierarchy yaani anayefuatia kingazi ndiye anayetwaa madaraka ya mbele yake. Kwa cheo cha CDF kinatwaliwa na Mnadhimu mkuu wa jeshi pia hapo hapo Katiba ya jeshi ikimtambua kama Military Financial Controller MFC ambaye sharti awe na rank ya Lieutenant General.
Jeshi sio kama polisi kwa Commissioner of police yeyote anaweza kuwa Inspector General.
Mangu alipewa U'IGP' na Kikwete, na sababu aliyopewa U'IGP' ilikuwa ni kwamba Mangu ametumikia Uaskari kwa muda mrefu kabla ya kuwa Afisa ;hii inakuwaga faida kwenye kupata teuzi za ukuu wa jeshi majeshi yote
Na hata kimaslahi jiwe la polisi halifikii nusu ya maslahi ya jiwe la JWTZPolisi kuna raha kidogo umri wowote unaweza kuvaa jiwe ila Jwtz ukiona 35 imekukuta hujaenda monduli ndio basi tena.
Jwtz mwenye jiwe moja analamba ngapi?Na hata kimaslahi jiwe la polisi halifikii nusu ya maslahi ya jiwe la JWTZ
maslahi kwa polisi bado sana.Na hata kimaslahi jiwe la polisi halifikii nusu ya maslahi ya jiwe la JWTZ
sio sawa kutaja humu ila kama umetafiti jiwe moja la polisi ni kiasi gani basi zidisha mara mbili ongeza na chenji kidogo.Jwtz mwenye jiwe moja analamba ngapi?
muhimi ni watu waache mazoea na kufanya kazi kwa weredi na hati safi.Mkuu kwa sasa hatuna Uongozi wa Sheria wala kifuata kanuni zilizowekwa ili kumpata/kuwapata Wakuu wa Majeshi yetu. Hivyo Jiwe anawezampa nafasi yeyote yule hata nje ya Ranks ulizozitaja.
Ila huko UN peace keeping missions jiwe la polisi lina hela ndefu kuliko la Jwtz,inashangaza!!sio sawa kutaja humu ila kama umetafiti jiwe moja la polisi ni kiasi gani basi zidisha mara mbili ongeza na chenji kidogo.
ni sawa kabisa.Ila huko UN peace keeping missions jiwe la polisi lina hela ndefu kuliko la Jwtz,inashangaza!!
Zaidi ya milioni mbili na nusuJwtz mwenye jiwe moja analamba ngapi?
Kazi yao rahisi kuliko JWTZmaslahi kwa polisi bado sana.
labda kwa juhudi binafsi na kuangukia raia.