GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Hakuna la kufanya kwakweli zaidi ya kuguna tu mhhhh na kucheka hahhaaa[emoji16][emoji16] ndo Tanzania yetu tutafanyaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna la kufanya kwakweli zaidi ya kuguna tu mhhhh na kucheka hahhaaa[emoji16][emoji16] ndo Tanzania yetu tutafanyaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wengine Inalingana na polisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi tabia zao zinafanana
Raia tu mkuu😆😆Naona mkuu. Nimeguna ulivyoandika cheo chake kama wewe ni askari au RAIA tu wengine
Hahaha kwahiyo siro ana roho mbayaRoho mbaya inazeesha Mkuu !!
Wakati mabeyo anapewa hicho alikuwa mnadhimu?Utaratibu wa jeshi hauko hivyo mkuu. Huko Kuna kitu kinaitwa hierarchy yaani anayefuatia kingazi ndiye anayetwaa madaraka ya mbele yake. Kwa cheo cha CDF kinatwaliwa na Mnadhimu mkuu wa jeshi pia hapo hapo Katiba ya jeshi ikimtambua kama Military Financial Controller MFC ambaye sharti awe na rank ya Lieutenant General.
Jeshi sio kama polisi kwa Commissioner of police yeyote anaweza kuwa Inspector General.
Bado kulikuwa na mameja jeneral Senior zaidi yake lakini mbona alipewa yeye kuazaia cheo cha bregedia anaweza kuwa cdfUtaratibu wa jeshi hauko hivyo mkuu. Huko Kuna kitu kinaitwa hierarchy yaani anayefuatia kingazi ndiye anayetwaa madaraka ya mbele yake. Kwa cheo cha CDF kinatwaliwa na Mnadhimu mkuu wa jeshi pia hapo hapo Katiba ya jeshi ikimtambua kama Military Financial Controller MFC ambaye sharti awe na rank ya Lieutenant General.
Jeshi sio kama polisi kwa Commissioner of police yeyote anaweza kuwa Inspector General.
Mbona akina shimbo,meena hakuwa macdf acha ubishiNimekwambia huo ni utaratibu wa kijeshi kutokana na Katiba ya TPDF. Kuvunja Katiba kwa kiongozi wa nchi sio kuhalalisha kitendo kuwa utaratibu. Kama tunasema ni mvunja katiba wadhani alianzia wapi? Au mangapi ambayo ameenda nje ya utaratibu wa Katiba? So usishangae mkuu
Wewe rais anaweza kumpandisha Leo major general kesho cdf rais hivyo sio msaafu wala havina kozi ya kusome ni rais ndio anawapandishaUtoke ubrigadier general yani one star general, uwaluke major generals,luteni generals afu uwe general haiwezekani...vyeo vya kijeshi hupanda kwa ngazi wanaomrithi cdf ni ma general ambao ni three star generals (luteni jenerali) yani lazima ufike cheo cha uluteni jenerali ndipo uwe cdf....huwez tu ukatoka ubrigadier au major general uwe cdf bila kuwa luteni general
Umenikumbusha mbali sana Field Marshal Hussein Tantawi akiongoza Baraza la Kijeshi la Misri akiwa na Umri wa miaka 70Jeshini sio sawa NSSF au TAZARA,kwamba utafanya mabadiliko kizembe zembe tu
Kule Misri,hayati Mubarak alikua na mkuu wa majeshi akiitwa field Marshal Tantawi,kile kibabu kilikua na miaka 70,akaingia Morsi akakifyekelea mbali na majenerali wengine Kama 50 hivi
Morsi bila utafiti au kwa kudhani kamaliza masalia ya Mubarak,akamteua Jenerali Al Sisi kuwa mkuu wa majeshi
Kumbe Wana usongo nae,Sisi alikwenda tu ikulu akamwambia pisha hapo,Kisha bwana Morsi akapelekwa jela
Ulishawahi kusikia wanasomea uCP hivi unajua madaraka ya Rais wa inchi yetu wewe Rais anaweza kukuteuwa hata wewe ukawa IGP na hakuna mtu yeyote wa kumuhojiRPC wakati huo alikua na Cheo gani bwana Mahita?? Huwezi mteuwa Mambo Sasa kua IGP wakati hata CP hajafika!!
Vile vyeo vya juu havisomewi ni rais ndio anawapandisha kadri anavyoona.Hapo ndiyo huleta shida sasa, yaani unaacha CP unamchukua SACP?? Yale yale ya Chagonja na Mangu! Hata CDF Mabeyo kuna watu wanasema hakupaswa kua CDF,lakini ndo mkubwa akisema no way out
Sio lazima rais kushauriana na mtu yeyote katiba inampa mamlaka rais kufanya anavyoona yeye yaani rais akae na mamejor general ashauriane nao kuhusu uteizi wa cdf uliona wapi hiyoUlisoma hiyo item ya tatu kwenye list niliyoweka? Wewe unasoma sentensi moja tu halafu unafanya conclusion?
Halafu kwa utaratibu wa siku hizi bado rais hawezi kumnyanyua mtu kutoka popte na kumfanya mkuu wa majeshi mtu anayetakiwa kupewa majukumu aletwe karibu na majuku hayo kwanza kabla hajapewa, na hiyo ndiypo maana CoS anakuwa na nafasi kubwa. Ule utaratibu wa Zamani ambapo Twalipo alipandishwa kutoka luteni kanali na kuwa major general na kupewa ukuu wa majeshi hautumiki tena ingawa rais anayo mamlaka hayo; ni lazima ajadiliane na viongozi wakuu wa jeshi walipo madarakani sasa hivi (CDF na CoS) katika kuteua makamanda mbalimbali.
Chagonja na mtweve ndio walikuwa maCP Senior pale makao makuu lakini mbona rais akamua kuwatoaHujaelewa! Chagonja alianza kupanda cheo hadi CP, nadhan kwa akili zake,alijua he is the next IGP baada ya Mwema! Matokeo yake akapata Mangu na kua IGP, Chagonja alipokosa U IGP akawa ana muhujumu Mangu,ndiyo maana Magu aliwatoa wote pale,alianza na Chagoja akampa RAS sijui mkoa gani huko,then kwa heshima akampa ubalozi Mangu huko Rwanda
Unapoteza kumbukumbu magu amekwenda kuwavisha nishani monduli mwaka 2016 kuwavisha nishani nje ya monduli ni maamuzi yake kama raisMkuu nikuulize swali, Ni kwanini Magu hajawahi kwenda Chuo Cha Maafisa Monduli kuwavisha Nishani Wahitimu kama walivyokuwa wakifanya Watangulizi wake?? Je Wahitimu wanaruhusiwa kuvishwa nishani zao sehemu tofauti na pale walikohitimu mafunzo yao??
Zaidi ya milioni mbili na nusu
Na mm nashangaa mbona wamechoka sana na maishaMbona sasa wanakopa mpaka sukari kilo moja kwa mangi?
Point ukiwa JKT kidogo unaweza kujishunghulisha na shunghuli nyingine lakini kule tpdf njaa Kali sana ukiwaona na bakabaka laaaaHamna kitu,Jeshini bila kwenda UN mission unakufa Masikini,labda uwe National Service kwenye Projects za Ki Siasa na Kusafiri Safiri
Hivi wewe unajua kweli rengi za mishahara kweli cdf mwenyewe sidhani kama anazidi mlioni sabaMkuu maafisa waandamizi (sio majenerali) wapo hadi kwenye mishahara ya zaidi ya milioni kumi
Huyu jamaa sijui wa wapi hata hajui rengi za mshahara kabisaHahahaha
CDF Mwenyewe hafiki 5M
Sema tu ana allowance na Privilages za kutosha,Nyumba Free,Usafiri,Ulinzi,Maji,Umeme etc