Je, CDF na IGP wakifikisha miaka 60 wanaweza kuongezewa muda au lazima wastaafu?

Je, CDF na IGP wakifikisha miaka 60 wanaweza kuongezewa muda au lazima wastaafu?

Hadi tabia zao zinafanana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

E bana miaka ya nyuma nilikuwa na mshkaji ni Askari wa Uhamiaji sasa wakati tunapiga story kuhusu hawa wasiojulikana akaniambia mishahara yao miaka ya nyuma sana kitu kama miaka ya 2009 kurudi nyuma ilikuwa laki nane

Akaniambia mengi akaendelea kusema kuwa hata mafunzo yao hawa wasiojulikana yanafanana na mafunzo ya Wajeda mfano hadi magwaride(kwata) ,mafunzo ya kivita na zote kama tu wajeda


Ila nachukua na wewe ulilosema pia

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Utaratibu wa jeshi hauko hivyo mkuu. Huko Kuna kitu kinaitwa hierarchy yaani anayefuatia kingazi ndiye anayetwaa madaraka ya mbele yake. Kwa cheo cha CDF kinatwaliwa na Mnadhimu mkuu wa jeshi pia hapo hapo Katiba ya jeshi ikimtambua kama Military Financial Controller MFC ambaye sharti awe na rank ya Lieutenant General.
Jeshi sio kama polisi kwa Commissioner of police yeyote anaweza kuwa Inspector General.
Wakati mabeyo anapewa hicho alikuwa mnadhimu?
 
Utaratibu wa jeshi hauko hivyo mkuu. Huko Kuna kitu kinaitwa hierarchy yaani anayefuatia kingazi ndiye anayetwaa madaraka ya mbele yake. Kwa cheo cha CDF kinatwaliwa na Mnadhimu mkuu wa jeshi pia hapo hapo Katiba ya jeshi ikimtambua kama Military Financial Controller MFC ambaye sharti awe na rank ya Lieutenant General.
Jeshi sio kama polisi kwa Commissioner of police yeyote anaweza kuwa Inspector General.
Bado kulikuwa na mameja jeneral Senior zaidi yake lakini mbona alipewa yeye kuazaia cheo cha bregedia anaweza kuwa cdf
 
Nimekwambia huo ni utaratibu wa kijeshi kutokana na Katiba ya TPDF. Kuvunja Katiba kwa kiongozi wa nchi sio kuhalalisha kitendo kuwa utaratibu. Kama tunasema ni mvunja katiba wadhani alianzia wapi? Au mangapi ambayo ameenda nje ya utaratibu wa Katiba? So usishangae mkuu
Mbona akina shimbo,meena hakuwa macdf acha ubishi
 
Utoke ubrigadier general yani one star general, uwaluke major generals,luteni generals afu uwe general haiwezekani...vyeo vya kijeshi hupanda kwa ngazi wanaomrithi cdf ni ma general ambao ni three star generals (luteni jenerali) yani lazima ufike cheo cha uluteni jenerali ndipo uwe cdf....huwez tu ukatoka ubrigadier au major general uwe cdf bila kuwa luteni general
Wewe rais anaweza kumpandisha Leo major general kesho cdf rais hivyo sio msaafu wala havina kozi ya kusome ni rais ndio anawapandisha
 
Jeshini sio sawa NSSF au TAZARA,kwamba utafanya mabadiliko kizembe zembe tu
Kule Misri,hayati Mubarak alikua na mkuu wa majeshi akiitwa field Marshal Tantawi,kile kibabu kilikua na miaka 70,akaingia Morsi akakifyekelea mbali na majenerali wengine Kama 50 hivi
Morsi bila utafiti au kwa kudhani kamaliza masalia ya Mubarak,akamteua Jenerali Al Sisi kuwa mkuu wa majeshi
Kumbe Wana usongo nae,Sisi alikwenda tu ikulu akamwambia pisha hapo,Kisha bwana Morsi akapelekwa jela
Umenikumbusha mbali sana Field Marshal Hussein Tantawi akiongoza Baraza la Kijeshi la Misri akiwa na Umri wa miaka 70
 
RPC wakati huo alikua na Cheo gani bwana Mahita?? Huwezi mteuwa Mambo Sasa kua IGP wakati hata CP hajafika!!
Ulishawahi kusikia wanasomea uCP hivi unajua madaraka ya Rais wa inchi yetu wewe Rais anaweza kukuteuwa hata wewe ukawa IGP na hakuna mtu yeyote wa kumuhoji
 
Hapo ndiyo huleta shida sasa, yaani unaacha CP unamchukua SACP?? Yale yale ya Chagonja na Mangu! Hata CDF Mabeyo kuna watu wanasema hakupaswa kua CDF,lakini ndo mkubwa akisema no way out
Vile vyeo vya juu havisomewi ni rais ndio anawapandisha kadri anavyoona.
 
Ulisoma hiyo item ya tatu kwenye list niliyoweka? Wewe unasoma sentensi moja tu halafu unafanya conclusion?

Halafu kwa utaratibu wa siku hizi bado rais hawezi kumnyanyua mtu kutoka popte na kumfanya mkuu wa majeshi mtu anayetakiwa kupewa majukumu aletwe karibu na majuku hayo kwanza kabla hajapewa, na hiyo ndiypo maana CoS anakuwa na nafasi kubwa. Ule utaratibu wa Zamani ambapo Twalipo alipandishwa kutoka luteni kanali na kuwa major general na kupewa ukuu wa majeshi hautumiki tena ingawa rais anayo mamlaka hayo; ni lazima ajadiliane na viongozi wakuu wa jeshi walipo madarakani sasa hivi (CDF na CoS) katika kuteua makamanda mbalimbali.
Sio lazima rais kushauriana na mtu yeyote katiba inampa mamlaka rais kufanya anavyoona yeye yaani rais akae na mamejor general ashauriane nao kuhusu uteizi wa cdf uliona wapi hiyo
 
Hujaelewa! Chagonja alianza kupanda cheo hadi CP, nadhan kwa akili zake,alijua he is the next IGP baada ya Mwema! Matokeo yake akapata Mangu na kua IGP, Chagonja alipokosa U IGP akawa ana muhujumu Mangu,ndiyo maana Magu aliwatoa wote pale,alianza na Chagoja akampa RAS sijui mkoa gani huko,then kwa heshima akampa ubalozi Mangu huko Rwanda
Chagonja na mtweve ndio walikuwa maCP Senior pale makao makuu lakini mbona rais akamua kuwatoa
 
Mkuu nikuulize swali, Ni kwanini Magu hajawahi kwenda Chuo Cha Maafisa Monduli kuwavisha Nishani Wahitimu kama walivyokuwa wakifanya Watangulizi wake?? Je Wahitimu wanaruhusiwa kuvishwa nishani zao sehemu tofauti na pale walikohitimu mafunzo yao??
Unapoteza kumbukumbu magu amekwenda kuwavisha nishani monduli mwaka 2016 kuwavisha nishani nje ya monduli ni maamuzi yake kama rais
 
Hamna kitu,Jeshini bila kwenda UN mission unakufa Masikini,labda uwe National Service kwenye Projects za Ki Siasa na Kusafiri Safiri
Point ukiwa JKT kidogo unaweza kujishunghulisha na shunghuli nyingine lakini kule tpdf njaa Kali sana ukiwaona na bakabaka laaaa
 
Hahahaha
CDF Mwenyewe hafiki 5M
Sema tu ana allowance na Privilages za kutosha,Nyumba Free,Usafiri,Ulinzi,Maji,Umeme etc
Huyu jamaa sijui wa wapi hata hajui rengi za mshahara kabisa
 
Back
Top Bottom