Stanley Mitchell II
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 970
- 1,323
Basi ndio maana ukiwapa 2k wanakuaga kama kipofu kaona mweziPC wanachezea 4.2 laki basic
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ndio maana ukiwapa 2k wanakuaga kama kipofu kaona mweziPC wanachezea 4.2 laki basic
Umeandika kishabiki sana ila wanaojua wapo kimya tu.!Kazi yao rahisi kuliko JWTZ
We mtu kazi yako kupambana na majambazi ambao technically ni raia alieshika bunduki kwenda kupora ulinganishe na luteni ambae anaenda front kupambana na adui mpiganaji kweli kweli mwenye silaha aina zote
Mimi ni kweli sijuiUmeandika kishabiki sana ila wanaojua wapo kimya tu.!
Nani kasema polisi wanapambana na majambazi pekee! rejea mziki wa Kibiti wale ni majambazi au magaidi! Ukishapata majibu,unganisha doti.Siku zote polisi hupima mziki wa mapigano kama mziki ni mkubwa huomba msaada jeshi liingie kati na hii kwasababu jeshi lina vifaa na silaha kubwa.Hivyo basi polisi wanamziki mkubwa pia ktk kuhimarisha ulinzi.
Lini mlipigana vita bila ya huwepo wa wadogo zenu polisi!Mimi ni kweli sijui
Ila hata mabomu yakikutwa mtaani huwa ni jukumu la JWTZ kuyategua na si polisi
Sasa kupambanana na waliojificha mapori ya kibiti utafananisha na jukumu la kupambana na majeshi ya nchi nyingine vitani
Mkuu ilkuajee Tumainieli Kiwhelu, ambaye alkishika iki cheo cha mnadhimu alishindwa au akuteuliwa kuwa CDF..??Utaratibu wa jeshi hauko hivyo mkuu. Huko Kuna kitu kinaitwa hierarchy yaani anayefuatia kingazi ndiye anayetwaa madaraka ya mbele yake. Kwa cheo cha CDF kinatwaliwa na Mnadhimu mkuu wa jeshi pia hapo hapo Katiba ya jeshi ikimtambua kama Military Financial Controller MFC ambaye sharti awe na rank ya Lieutenant General.
Jeshi sio kama polisi kwa Commissioner of police yeyote anaweza kuwa Inspector General.
Kupanda cheo pia lazima uende tena uko MobduliSasa hivi jwtz mwisho ni miaka 28,ukizidi hapo ndo basi tena.
Kinachomchosha mwanaume sio umri Bali ni kutumika sana kipochi manyoya. Kuna vijana wa miaka 21 ila wamechoka sababu ya kut*MBA sana ila wapo wengine 35-40 wako vizurina ugumu wa kozi unazingatiwa aisee.
huwezi himili ile kozi na miaka 40,inategemea mtu na mtu[emoji38].
yah ni nyota nyinyi si mna jiwe lenu la jf humu,sio hilo.
yeah maana hata kozi ya *** huwa inaangukia umri huo kwa wengi na wanahimili.Kinachomchosha mwanaume sio umri Bali ni kutumika sana kipochi manyoya. Kuna vijana wa miaka 21 ila wamechoka sababu ya kut*MBA sana ila wapo wengine 35-40 wako vizuri
Ni uvunjifu tu wa Katiba. Tumeweka sheria ambazo sisi wenyewe sometimes hatuzifuati mkuuMkuu ilkuajee Tumainieli Kiwhelu, ambaye alkishika iki cheo cha mnadhimu alishindwa au akuteuliwa kuwa CDF..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuKama ni Askari wa TPDF basi utakuwa Nanga
Asante kwa kunielewesha mkuu.Hakuna kitu kinaitwa Katiba ya Jeshi wewe Nanga.
Uteuzi wa CDF upo kwa Mujibu wa Katiba ya Nchi.
Afisa yeyote aliyefikia rank Brigedier, Major au Liutenant General anaweza kuwa CDF.
Na kwa Taarifa yako enzi za Mkwere kulikuwa na Liutenant General kama 8.
Kwa sasa wako wa tatu, CoS, Mkuu wa TMA na Mkuu wa NDC
Yeye ndiye Chief in Command analoamua linakuwa.Mkuu nikuulize swali, Ni kwanini Magu hajawahi kwenda Chuo Cha Maafisa Monduli kuwavisha Nishani Wahitimu kama walivyokuwa wakifanya Watangulizi wake?? Je Wahitimu wanaruhusiwa kuvishwa nishani zao sehemu tofauti na pale walikohitimu mafunzo yao??
Kumbe commandant wa NDC ameshakuwa Lt. Gen? Maana wakati anateuliwa kuwa mkuu pale alikuwa Maj. Gen kuchukua nafasi ya aliyetoka pale kwenda kuwa CoS.Hakuna kitu kinaitwa Katiba ya Jeshi wewe Nanga.
Uteuzi wa CDF upo kwa Mujibu wa Katiba ya Nchi.
Afisa yeyote aliyefikia rank Brigedier, Major au Liutenant General anaweza kuwa CDF.
Na kwa Taarifa yako enzi za Mkwere kulikuwa na Liutenant General kama 8.
Kwa sasa wako wa tatu, CoS, Mkuu wa TMA na Mkuu wa NDC
MhhhYeye ndiye Chief in Command analoamua linakuwa.
Ndio hivyo mkuu, we huoni anayoamua?😆😆Mhhh
Naona mkuu. Nimeguna ulivyoandika cheo chake kama wewe ni askari au RAIA tu wengineNdio hivyo mkuu, we huoni anayoamua?😆😆
[emoji16][emoji16] ndo Tanzania yetu tutafanyaje.Naona mkuu. Nimeguna ulivyoandika cheo chake kama wewe ni askari au RAIA tu wengine