Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mkipigwa na Yanga mtaongeza na hili baada ya GSM..!! Nimekaa paleeee..!!Ukienda kwenye mtandao wa X zamani Twitter, tafuta jina la CEO kisha search neno Yanga utapata tweets zote alizopost kuhusu Yanga.
Je, Simba imeajiri mtu mwenye vinasaba na Yanga pasipo kujua?View attachment 3160466
Acha majunguUkienda kwenye mtandao wa X zamani Twitter, tafuta jina la CEO kisha search neno Yanga utapata tweets zote alizopost kuhusu Yanga.
Je, Simba imeajiri mtu mwenye vinasaba na Yanga pasipo kujua?View attachment 3160466
Bora wewe una akili kichwani"Siwezi kuhamia Yanga, lakini Yanga ni raha"
Bado hamjaelewa tu?
Kama umesoma hayo maneno yote na umefikia hitimisho hilo basi una kichwa kigumu sana kuelewa!Mo ndio anatuletea virusi anaajili watu bila kujua historia yao ya mpira
Unamsagia kunguni eeeh?Ukienda kwenye mtandao wa X zamani Twitter, tafuta jina la CEO kisha search neno Yanga utapata tweets zote alizopost kuhusu Yanga.
Je, Simba imeajiri mtu mwenye vinasaba na Yanga pasipo kujua?
Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu
View attachment 3160466
Kama kweli ni Yanga hiyo haiwezekani kuajiriwa Simba, BIG No. Tutamsagia tuMuacheni bwana msimuharibie ajira yake ,ni sawa mtu kutoka NMB kwenda NBC ,Voda kwenda tigo ,hiyo ni ajira tu.
Mbona pia alikuwa Mbunge.
Kama kweli ni Yanga hiyo haiwezekani kuajiriwa Simba, BIG No. Tutamsagia tu
Ngoja tuchimbue zaidi. Mfano wa banks ni irrelevant kabisa
Kwani mkuu ajira haina vigezo? Tukisema kigezo cha nafasi ya CEO pamoja na vigezo vingine, usiwe shabiki wa Yanga, inakuwa sio ajira?Hiyo ni ajira Mkuu....ana JDs zake.