Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,836
- 2,138
Kwa hiyo ukiwa mbunge tu basi mkono wa Jakaya unakufikia? Mbona Mo naye alikuwa mbunge?Nilivyosikia alikuwa mbunge, nikajua tu hapo kunaweza kuwa na shida ila ngoja tuone. Tukumbuke mkono wa Jakaya ni mrefu sana.