Uchaguzi 2020 Je, CHADEMA itamuunga mkono Maalim Seif kule Zanzibar na Membe atamuunga mkono Tundu Lissu katika nafasi ya Urais huku Bara?

Aligombea ubunge kupitia nccr mageuzi akashindwa au hujui Hilo? Turudi kwenye mada uchaguzi huu ataingia kwenye list ya wagombea wa chadema walioshindwa kwenye uraisi Kama wenzake waliogombea
We will see
 
Waziri wa ulizi lazima apewe ulizi ila ule uliongezwa kwa kuwatisha wazanzibari tu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Watatuweza kweli!?!...Aaah wapi
Hatawaunganee!?!....

Upinzani waungane wasiungane ushindi CCM upo pale pale (Bara & Zanzibar)
 
Waungane wasiungane hawawezi kushinda watamsindikiza magufuli kwenye ushindi wake wa kishindo,wao wataendelea kuitwa wapinzani mpaka kufa kwao,nje na CCM wakukamata dola hajazaliwa
Ukweli mchungu ,kwi kwi kwi![emoji1787]
 
Utapeli wa mchana jua linawaka
 
Ni suala la muda kidogo tu watanzania mta-smile tena!! We fikiri kitendo cha Lissu kutia mguu ACT leo kukutana ana kwa ana na Zitto na Membe, Msajili kashasema kaenda kufanya nini wakati mkutano si wake!! Nafikiri watasema kaenda kufanya fujo kwa shughuli ya wenzake.

Ni lazima ushuhudie mengi wakati Marehemu anakata roho!!
 
Waungane wasiungane hawawezi kushinda watamsindikiza magufuli kwenye ushindi wake wa kishindo,wao wataendelea kuitwa wapinzani mpaka kufa kwao,nje na CCM wakukamata dola hajazaliwa
Jina la mtu huwa haliandikwi kwa kuanza na herufi ndogo. Upinzani ni afya na utakuwepo hata baada ya kufa kwako.
 
Umenikumbusha kipindi cha kampeni ulinzi wa Magufuli ulikwa balaa!, komakoma siku anatoka mwanza kwenda chato kupiga kura ,ilikua siku ya j,pili,msafara wake ulikuwa unatembea na layne zote barabarani,hakuna gari ya kupishana na msafara wake.
Ukweli rais hupangwa na kundi flani ndani ya nchi,sisi wengine hutimiza tu takwa la kikatiba kwa kupiga kura,lakini kura za urais haziamui labda za ubunge na udiwani
 
Baraza la Mawaziri- 2020-2025

Raisi- Tundu Antipas Lissu

Makamu Raisi- Salum Mwalimu

Waziri Mkuu- Bernad C Membe

Waziri/Nje- Lazaro Nyalandu

Waziri/ Fedha- Zitto Kabwe

Waziri Ulinzi- Esther Bulaya

Waziri Sheria- Halima Mede

Waziri Afya- Juma Duni Haji

Waziri Muungano- Ismail Jussa

Waziri/ Viwanda, Biashara na Uwekezaji- Freeman Mbowe

Waziri/ Tamisemi- Mnyika

Waziri/ Ndani- Godbless Lema

Waziri/ Michezo Burudani- Joseph Mbilinyi

Waziri Watoto Maendeleo ya Jamii- Suphian(kutoka ACT)

Waziri Uchukuzi- John Heche

Waziri Madini- Fatma Karume

Waziri Mafuta/ Gesi- Esther Matiko

Waziri Maliasili/ Utalii- Mch Msigwa

Waziri Ardhi- Godlisten Malisa


Waziri/Maji- Ado Shaibu

Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu- Maria Sarungi

Katibu Mkuu/ Kiongozi- Prof Assad
 
Yaani Mimi kilio changu ni Tume iliyo Huru na ya Haki.Uchaguzi wa mwaka huu ungependeza!
 
Are you serious Mtanzania?

Hivi hujui alichokifanya huyo mtu wenu Jecha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015?

Hivi mtu aliyewahenyesha mno katika uchaguzi mkuu wa 2015, ndiyo leo umuite si lolote wala chochote?
 
Opposition parties in Tanzania need to join forces when the country goes to the polls, to change the course of history and ensure that future generations get the chance to enjoy a brighter life.

[https://s3-eu-west-1]
Sio sasa labda baada ya katiba mpya.
Personal interests are greater than national interest
Wacha vizazi vya baade waanzie kwenye msingi watumie akili zisizo na kasumba.
 
Waungane wasiungane hawawezi kushinda watamsindikiza magufuli kwenye ushindi wake wa kishindo,wao wataendelea kuitwa wapinzani mpaka kufa kwao,nje na CCM wakukamata dola hajazaliwa

Ni mwandiko wa jitu lisilo na akili linajua tumia simu tu ku comment kitu hajui kaandika nini...baba ako akiona hii post atajuta kwann lile bao hakumwaga baharini samaki wale hata
 
Nawatakia kila la kheri katika hili; ingawa TAKE MY WORD hakuna mgombea yoyote au yeyote kati hao wote walioteuliwa na vyama vyao kukubali kuachiana nafasi za ngazi ya ueais. Wote wana tamaa ya kufa mtu na wote wanaamini watashinda na kuwa rais wa Tanzania. Hivyo hivyo hata kwenye ngazi ya Ubunge, wote wanataka hiyo RUZUKU kwa kufa na kupona na hapo ndipo KUSHINDWA KWAO KUNAPOANZIA. Subiri uone!
 
Achana na upepo wa Lowasa na ukawa,kama walishindwa 2015 akuna tena wakuitikisa CCM,tena hii CCM ya Magu ndo kabisaa.
 
Yaani Mimi kilio changu ni Tume iliyo Huru na ya Haki.Uchaguzi wa mwaka huu ungependeza!
Wewe hujawahi sikia onyo alilolitoa mgombea Urais Tundu Lissu?

Ameshawaonya hao Tume ya uchaguzi kuwa uchaguzi wa mwaka huu unatakiwa uwe huru na haki kikweli kweli, ama sivyo atawaelekeza wapiga kura wake waingie barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…