residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kwa kauli yako hii,maana yake hata wewe uliletwa bahati mbaya na mama Karibu Sana ,na pia unauwezo wa kumchagulia mume mama yako na kumuozesha!.Waungane wasiungane hawawezi kushinda watamsindikiza magufuli kwenye ushindi wake wa kishindo,wao wataendelea kuitwa wapinzani mpaka kufa kwao,nje na CCM wakukamata dola hajazaliwa
Huyo akili zake zina matege Mtu anaye mdhihaki hapo alishawahi kuwa makamo wa raisi wa Zanzibar unawezaje kusema kwamba mtu huyo hana ushawishi !!!!!?Are you serious Mtanzania?
Hivi hujui alichokifanya huyo mtu wenu Jecha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015?
Hivi mtu aliyewahenyesha mno katika uchaguzi mkuu wa 2015, ndiyo leo umuite si lolote wala chochote?
mziki wake uskie tu, ni kama mmeo akunywee "alkasusu mujarab"Najua kuwa mazungumzo bado yanaendelea kati ya Chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema na Chama cha ACT Wazalendo ya namna ya kuachiana nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao.
Kwa mazingira niliyoyaona Leo kwa mgombea wa Urais wa chama cha Chadema, Tundu Lissu kuibuka kwenye mkutano mkuu wa ACT Wazalendo, natabiri kuwa mazungumzo ya kuachiana kwa nafasi mbalimbali, yanaendelea vizuri sana na yapo mategemeo makubwa sana ya kufikia muafaka kwa vyama hivyo.
Nafahamu pia hakuna mtanzania asiyefahamu nguvu ya kisiasa ya Maalim Seif, kule Zanzibar.
Kwa hiyo itakuwa kwa maslahi mapana ya upinzani wa nchi hii, kuweza kuunganisha nguvu kwa vile vyama makini, ambavyo kwa sasa naviona kuwa ni hivi vyama viwili vya Chadema na ACT Wazalendo, ili kuwezesha wasizigawe kura hizo kwa hao wagombea.
Nayatakia kila la kheri mazungumzo hayo yanayoendelea, ili hatimaye yafikie muafaka kwa maslahi mapana kwa upinzani nchini na naamini yatakuwa ni "maumivu" makubwa sana kwa jamaa zetu wa chama tawala cha CCM, iwapo mazungumzo hayo yatazaa matunda
anga pia limemkataaLazima tumkatae shetani na kazi zake zote
Kwa lipi jema mliliowatendea watz hadi wakuaminini tenaWatatuweza kweli!?!...Aaah wapi
Hatawaunganee!?!....
Upinzani waungane wasiungane ushindi CCM upo pale pale (Bara & Zanzibar)
Maalumu ana nguvu gani Zanzibar?Najua kuwa mazungumzo bado yanaendelea kati ya Chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema na Chama cha ACT Wazalendo ya namna ya kuachiana nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao.
Kwa mazingira niliyoyaona Leo kwa mgombea wa Urais wa chama cha Chadema, Tundu Lissu kuibuka kwenye mkutano mkuu wa ACT Wazalendo, natabiri kuwa mazungumzo ya kuachiana kwa nafasi mbalimbali, yanaendelea vizuri sana na yapo mategemeo makubwa sana ya kufikia muafaka kwa vyama hivyo.
Nafahamu pia hakuna mtanzania asiyefahamu nguvu ya kisiasa ya Maalim Seif, kule Zanzibar.
Kwa hiyo itakuwa kwa maslahi mapana ya upinzani wa nchi hii, kuweza kuunganisha nguvu kwa vile vyama makini, ambavyo kwa sasa naviona kuwa ni hivi vyama viwili vya Chadema na ACT Wazalendo, ili kuwezesha wasizigawe kura hizo kwa hao wagombea.
Nayatakia kila la kheri mazungumzo hayo yanayoendelea, ili hatimaye yafikie muafaka kwa maslahi mapana kwa upinzani nchini na naamini yatakuwa ni "maumivu" makubwa sana kwa jamaa zetu wa chama tawala cha CCM, iwapo mazungumzo hayo yatazaa matunda
Usingizi wa mchana huoanga pia limemkataa
freemson wamemkataa
Ndumba zimeexpire
wakulima wamemkataa
wafanyabiashara wamemkataa
wafanyakazi wamemkataa
viongozi wa dini wamemkataa
China wamemkataa
USA,Europe wamemkataa
Mbingu imemkataa
Malaika wamemkataa
amebaki mkiwa avune mapando yake
kutokimbizwa kwa mwenge sababu ya corona sharti la zindiko limekiukwa.Mwenge ndio ulikuwa ukipumbaza akili za watz wakosee kupiga kura sasa akili ziko saafi kabisa watafanya maamuzi ya akili zao na sio za pumbazo.
Ngoja tuonyeshane makaliMwaka huu itakuwa balaa
KabisaTena alieshindwa vibaya sana pamoja na mbwembwe nyingi.
Acha kumchezea makondakta
KIPI CHA MAANA MLICHOWATENDEA WATZ ZAID YA PROPAGANDA TU NA KUSIFUUsingizi wa mchana huo
28 Oct utaafurahi tu
Upo na utakuwepo na ndio maana wakaitwa wapinzani,Ila sio wa kushinda na kukamata dola labda Karne ijayo waliokuwepo Ni wajasiriasiasa tuJina la mtu huwa haliandikwi kwa kuanza na herufi ndogo. Upinzani ni afya na utakuwepo hata baada ya kufa kwako.
eeeh kweli aisee π π π π πMaalim Seif Sharif anamkubali sana Tundu Lissu na Tundu Lissu anamkubali sana Maalim Seif. Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa kihistoria kuliko ule wa 2015. Namuona mzee wa push up aki panicπ€£
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Karibu sanaNi mwandiko wa jitu lisilo na akili linajua tumia simu tu ku comment kitu hajui kaandika nini...baba ako akiona hii post atajuta kwann lile bao hakumwaga baharini samaki wale hata
Yaani mpaka wana shangazaHao mataga akili yao "wamei-surrender" pale Lumumba π π
Twambie pia kuhusu BaraHata kama wangeachiana vyumba vya kulala. Swali la kujiuliza hivi vyama vina influence gani kwa wananchi? Eti CHADEMA watamuunga mkono Maalim Seif Zanzibar. CHADEMA wanainfluence gani Zanzibar? Maalim Seif anahitaji kweli support ya CHADEMA Zanzibar? Huu si utapeli?
Ulimwengu atuvushe salamaNgoja tuonyeshane makali
We will see