Je CHADEMA nao kuchagua Mgombea Urais na Mgombea Mwenza baada ya uchaguzi wa Mwenyekiti?

Wewe ni mjinga! Kwakua simfahamu iweke na uoneshe kwamba Kuna kikundi Cha watu wachache katika chama ambacho kina nguvu kuliko wanachama wenyewe? Haya baisnisha kama nilivyoonesha mkutano na vikao vilifanyika lini?
 
Kama Mimi nimesoma katiba Haina maana kwamba Kila mtu huku ameisoma! Nakufundisha tena unapoleta hoja Ili usionekane Kwamba ni UWT pro! Unafaa ushikamanishe hoja Yako na reference!
Umesoma hiyo ibara ya 47(3)? Umeielewa? Akili zimekurudi?😀😀
 
Umepata posho za mkutano mkuu au hakuna anae kujua kordo za lumumba?
 
Wanaweza, kama ccm wamefanya surprise kwenye mkutano wao, chadema itashindwaje? Tulia upate majibu murua
 
Siku nyingine ukipost thred sindikiza na kapicha kako tukikuona ukibubujikwa na michozi ya furaha na kulia kwa kwikwi huku ukigalagala chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…