Sambusa, bagia nkOk asante. ni misosi gani ukila unapata choo kilaini?
Choo kilaini ndo std labda kama unaharisha ndo tatizoAsubuhi huwa nakula chai na mkate, mchana na usiku wali au ugali, sasa kwa nini Napata choo kilaini?
Habari zenu wana jamii forum? hivi je kuenda haja ya choo kilaini ni tatizo au kawaida kiafya? Mimi hua mara nyingi naenda choo kilaini na ni nadra sana napata choo kigumu. Je hili ni tatizo au kawaida kiafya? Kawaida mtu anatakiwa apate choo kilaini au kigumu?
Hahaha mkuu unataka atamke neno MAV** kabisaa[emoji23] [emoji23]Unaposema ' Choo ' hapo unamaanisha nini labda? Tuanzie hapa Kwanza.
Jibu mujarabu kabisa!!Namaanisha sinki la choo
Mjomba hili jukwaa la utabibu halihitaji utani na masihara mda mwingine unakausha tuUnaposema ' Choo ' hapo unamaanisha nini labda? Tuanzie hapa Kwanza.