Boniface92
Member
- Aug 13, 2012
- 61
- 7
kweli nimeamini kuna vilaza wengi waliosoma UDSM maana hata huhitaji notes za prof kuzisoma kujua maana ya web ranking. ivi ukiambiwa chuo bora mfano kikawa kweli UDSM ww individual inakusaidia nn? maana kubishana na wanafunzi wa mwaka wa kwanza ni kazi sana. yaan huku mtaani hakuna kinachotumika rather than your GPA. So work hard acheni.
sasa maji2 had leo wanaendelea kubishania Rank za vyuo, wa2 wamemaliza vyuo ambavyo haata havipo hapo kwenye list na hvyo hvyo mnavyovidharau still tunawaona wana kazi nzuri na maisha yanaenda, sielewi inakuaje hapo...watu wote wanajing'ang'aniza kuingia UD hata kwa course ambazo hazikuwa kwenye future zao simple kwa sababu ya tittle...think deep maisha sio rank ya chuo brother utaumia, huko uliko kaza utoke na GPA ya maana upate kazi nzuri, thats all we need.....
Sijui mtakuwa lini kielimu na ufahamu nini maana ya elimu nyie vizazi vya nyoka. Mimi nimesoma UDSM ila kwa UDSM ya sasa hivi hakistahiri kuwa hata kumi bora hapo kwa vigezo vya miundo mbinu, utawala, publication na research nyingi zilizo kipa chuo hadhi kipind hicho za pale UDSM ni out dated, hata out put za sasa hivi ni hovyo kabisa. Watu mnafurahi tu bila kuhoji vigezo vilivyotumika na hiyo website kupanga rank ya vyuo. Hiyo website imepanga hivyo kutokana na web ranking. Mnafahamu maana ya web ranking?. Acheni upuuzi wa kujaza server na kushadadia mambo bila hata kujua connecting factors.