Boniface92
Member
- Aug 13, 2012
- 61
- 7
kweli nimeamini kuna vilaza wengi waliosoma UDSM maana hata huhitaji notes za prof kuzisoma kujua maana ya web ranking. ivi ukiambiwa chuo bora mfano kikawa kweli UDSM ww individual inakusaidia nn? maana kubishana na wanafunzi wa mwaka wa kwanza ni kazi sana. yaan huku mtaani hakuna kinachotumika rather than your GPA. So work hard acheni.
waambie hao, waendelee piga tu kelele humu na hizo Rank zao