Hujajibu swaliJamaa alikuwa shujaa wa afrika wa hivi karibuni
Malaika labda wa daslamHujajibu swali
Bado anaendelea kuongoza malaika huko mbinguni??
Aiseeeeee hii nimeipata na nimeikubaliwataalam wanasema kifo kizuri kuliko vyote ni kulipukiwa na bom la nyuklia ukiwa ndani ya mzunguko wa 100 m
kabla haujahisi chochote unakua umeshafutika duniani..
Note: sio kufa, bali kufutika kabisa
Hakua Askofu wa kkktAliyewahi kuwa Askofu Mkuu wa KKKT The Late Askofu Dr Sebastian Kolowa, wakati anafariki "nasikia" alishuka kwenye kitanda alichokuwa amelazwa akapiga goti akasali akashukuru Kisha akapanda kitandani akalala usingizi wa mile. Mungu naomba mwisho mwema
Duh, alikua Askofu Mkuu wa KKKT sio kkkt, unataka ligi hata kwenye hili??Hakua Askofu wa kkkt
Nyakati tofauti....miaka ilipitaKwamba wote Babu na Bibi walifariki siku moja au habari ya bibi ilitokea wakati mwingine tofauti?.