Kuna kitu ambacho siyo cha kawaida kwenye kesi inayomkabili bwana Hamis Luwongo aliyehukumiwa jana na mahakama ya kuu ya kanda ya Dar es salaam kwa kosa la kumuua mkewe kisha kuuchoma moto mwili wa mkewe.
Katika kuhakikisha inatenda haki, mahakama iliomba mtuhumiwa afanyiwe vipimo vya akili.
Issue inaanzia hapo.
Bwana Luwongo alifanyiwa vipimo vya akili na Daktari bingwa wa magonjwa ya akili Dk. Sadiki Mandari, kutoka hospitali ya taifa ya afya ya akili Mirembe.
Cha kushangaza ni kwamba ripoti ya kwanza aliyo present mahakamani inasoma kuwa mtuhumiwa bwana Luwongo alikuwa na matatizo ya akili. Ikabidi mahakama imuite daktari aje atoe ushaidi huo mahakamani.
Cha kushangaza, Dk. Mandari alipokuja mahakamani aliwasilisha ripoti kinzani na ile ya kwanza kitendo ambacho kilimkasirisha Jaji Mwanga.
Je, ni sahihi Jaji Mwanga kuishia kukasirika, au Dr. Mandari awajinishwe 1). Kwa kuidanganya mahakama; 2). Kukiuka maadili ya kazi?
Katika kuhakikisha inatenda haki, mahakama iliomba mtuhumiwa afanyiwe vipimo vya akili.
Issue inaanzia hapo.
Bwana Luwongo alifanyiwa vipimo vya akili na Daktari bingwa wa magonjwa ya akili Dk. Sadiki Mandari, kutoka hospitali ya taifa ya afya ya akili Mirembe.
Cha kushangaza ni kwamba ripoti ya kwanza aliyo present mahakamani inasoma kuwa mtuhumiwa bwana Luwongo alikuwa na matatizo ya akili. Ikabidi mahakama imuite daktari aje atoe ushaidi huo mahakamani.
Cha kushangaza, Dk. Mandari alipokuja mahakamani aliwasilisha ripoti kinzani na ile ya kwanza kitendo ambacho kilimkasirisha Jaji Mwanga.
Je, ni sahihi Jaji Mwanga kuishia kukasirika, au Dr. Mandari awajinishwe 1). Kwa kuidanganya mahakama; 2). Kukiuka maadili ya kazi?