Je, dawa ya COVID19 ya Madagascar imedunda? Mji Mkuu wa visiwa hivyo, Antananarivo wawekewa lockdown kwa mara nyingine

Je, dawa ya COVID19 ya Madagascar imedunda? Mji Mkuu wa visiwa hivyo, Antananarivo wawekewa lockdown kwa mara nyingine

At the time when the COVID 19 news were on its prime even the streets supported the scenario. Ambulance sirens everywhere, videos and pictures of people laying on the streets circulated social media.

My neighbor's Pharmacy had the strict 1 metre rule and a no-mask-no-service rule. Shops had a sanitizer and a bucket of water.

All of those are gone now. Except for a level sit rule, which is only applied during the day. Kisuma bar is on point again just like MK, Peace and other lesser known night clubs.

It's like this disease just knew nobody give a damn no more and it has decided to fvck off. In Tz, why not in other coutries?
Tanzania watu wanazikwa wakiwa hai kwa sababu hakuna vipimo, kabla ya Covid-19.

Sasa leo utajuaje ugonjwa hauui watu kama hata kupima hatupimi?
 
Anamalanga ni mji uliopo katikati mwa Madagascar na ndipo mji Mkuu wa Antananarivo ulipo. Taarifa zinathibitisha kuwa mji huo uliopo katikati kabisa umeathiriwa sana na maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 kiasi cha Serikali ya Nchi hiyo kuamua kufungua kwa siku 15 kuanzia Julai 6 hadi Julai 20 ,2020.
Huu huenda ikawa ni ushahidi kuwa COVID-ORGANICS inahitaji utafiti zaidi.
 
1594093244127.png
 
"Nchi kadhaa za Afrika ikiwemo Tanzania zilienda Madagascar au kuagiza dawa hiyo inayotokana na #Artemisia ambao ni mmea unaoaminika katika kutengeneza dawa za kutibu Malaria"

Hako kaphrase mbona hakapo kwenye hiyo habari ya kiingereza wewe umekatolea wapi?
Kwani hatukutuma ndege na jopo la mawaziri kuchukua dawa na zikafikishwa nchini kwa bashasha na vigeregere kibao
 
How the **** do we keep survive this shit? While our neighbours crumble and a country that dared to oppose WHO is now back into quarantine.

How do we do it?
Last week WHO walionya kuwa tusishangae hali ikageuka tete karibun hapa. Kuna baadhi ya viongozi wanatamba wameishinda Covid. Na mmojawapo kachomoka majuzi kwa hiyohiyo. Tuchukue tahadhari.
 
Mimi ni moja wapiga vigelegele tuliosema wazungu wanaona wivu kukiri kuwa dawa imepatikana afrika. sasa ninaona aibu mwenyewe..
Chunguza vizuri kinachoendelea huko! Nchi nyingi alikopita mfaransa zina udhaifu mkubwa wa kujilinda na kutetea kile wanachoamini. Mfaransa aliwafanya kitu kibaya sana.
 
Pandemic is still roaming and getting the official tally on the number of deaths is a bit complicated and secretive, I have witnessed some related deaths, it is terrible.
 
Back
Top Bottom