Habari zenu wa Jf
Jana usiku mwanamuziki wa kizazi kipya bwana Nasib bin Abdul Juma ameachia wimbo wake unakwenda kwa jina la Sikomi huko kwenye mtandao wa youtube.
Lakini cha kustaajabisha zaidi wimbo mzima kamuimba wema sasa sijui Jamaa baada ya kuachana na wema bado anampenda? Na kama bado je wema anatumu wa kaisi gani mpaka mtu unashindwa ku move on..
Kama anajtamu huo mpaka msanii mkubwa kama diamond anashindwa kuusadau nami niwekeza taratibu hili ongezeko la mshahara kwa muda wa mwaka mmoja ili nipate kufaidi tunda hili adhimu.
Jana usiku mwanamuziki wa kizazi kipya bwana Nasib bin Abdul Juma ameachia wimbo wake unakwenda kwa jina la Sikomi huko kwenye mtandao wa youtube.
Lakini cha kustaajabisha zaidi wimbo mzima kamuimba wema sasa sijui Jamaa baada ya kuachana na wema bado anampenda? Na kama bado je wema anatumu wa kaisi gani mpaka mtu unashindwa ku move on..
Kama anajtamu huo mpaka msanii mkubwa kama diamond anashindwa kuusadau nami niwekeza taratibu hili ongezeko la mshahara kwa muda wa mwaka mmoja ili nipate kufaidi tunda hili adhimu.