JtheQueen
Member
- Nov 26, 2015
- 89
- 102
Hasira za uzee zinakusumbua, nimekubali kuwa mimi sina maisha.... wewe endelea na maisha... nikishindwa kabisa nitaomba kazi ya usafi kwenye mjengoz wa tunduma manake mjini sijawahi fika nipo huku majengo tunduma nauza vibama.- Nimekula maisha toka nazaliwa mpaka leo hakijabadilika anything in my life hahahahaha naona kama unajiongelea maana kutangulia mbele ya haki ni pamoja na kutotumia ID yako kamili unaanza kujiita majina ya mbwa wa ulaya kama wewe hahahahaha pole sana weka nyumba uliyomjengea mama yako kwanza then uliza za wengine au nyamaza hahahahahahahahah by the way najua wewe ni nani ndio maana vipi kaburi la mama yako lipo sawa?
le Mutuz