sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Alisha zeeka ni zamu ya Mamie
Wadau wanasema Sinyorita sio mzuri kwenye Deejaying anabebwa na radio
Mie hata sijawahi msikia, anaendesha kipindi gani?Mitaani walimwengu wanazungumza kuwa DJ Mamie ndio DJ nambari moja kwa sasa Africa Mashariki na Kati.
Dj Mamie msomi mwenye degree ambaye alikuwa radio ya EFM kwa sasa anakimbiza kupitia Wasafi fm na ameshateka vijiji vyote vya mjini Dar es Salaam.
Mitaa imempitisha na inampa nyota mabega yake yote kama ndio malkia wa DJs.
Vipi wadau mnaonaje maoni ya mitaa ya Dar Es Salaam?
View attachment 1554813
Hawezi kumzidi DJ Sinorita wa Clouds fmMitaani walimwengu wanazungumza kuwa DJ Mamie ndio DJ nambari moja kwa sasa Africa Mashariki na Kati.
Dj Mamie msomi mwenye degree ambaye alikuwa radio ya EFM kwa sasa anakimbiza kupitia Wasafi fm na ameshateka vijiji vyote vya mjini Dar es Salaam.
Mitaa imempitisha na inampa nyota mabega yake yote kama ndio malkia wa DJs.
Vipi wadau mnaonaje maoni ya mitaa ya Dar Es Salaam?
View attachment 1554813
Sinoritta anataka kumtikia EFM ?Naona kachukuliwa na EFM.
View attachment 1554846
Inavyo onekana kishatimka sababu hiyo picha naona kama kuna kipindi EFM kwa ajili ya hao watatu............Sinoritta anataka kumtikia EFM ?
Itakuwa bonge la kombinengaaInavyo onekana kishatimka sababu hiyo picha naona kama kuna kipindi EFM kwa ajili ya hao watatu............