Je, DJ Mami wa Wasafi FM ndio DJ bora wa kike kwa sasa?

Je, DJ Mami wa Wasafi FM ndio DJ bora wa kike kwa sasa?

Mitaani walimwengu wanazungumza kuwa DJ Mamie ndio DJ nambari moja kwa sasa Africa Mashariki na Kati.

Dj Mamie msomi mwenye degree ambaye alikuwa radio ya EFM kwa sasa anakimbiza kupitia Wasafi fm na ameshateka vijiji vyote vya mjini Dar es Salaam.

Mitaa imempitisha na inampa nyota mabega yake yote kama ndio malkia wa DJs.

Vipi wadau mnaonaje maoni ya mitaa ya Dar Es Salaam?
View attachment 1554813
Iko wazi hiyo mbona.
 
Inawezekana kaenda EFM maana toka wamemtoa XXL wakampeleka Amplifier ni kama walikuwa wamemfunika asionekane
Kwani hapo Clouds kila Dj ana kipindi chake maalum, au Dj anaweza kuwa kwenye kipindi chochote!?
 
Mitaani walimwengu wanazungumza kuwa DJ Mamie ndio DJ nambari moja kwa sasa Africa Mashariki na Kati.

Dj Mamie msomi mwenye degree ambaye alikuwa radio ya EFM kwa sasa anakimbiza kupitia Wasafi fm na ameshateka vijiji vyote vya mjini Dar es Salaam.

Mitaa imempitisha na inampa nyota mabega yake yote kama ndio malkia wa DJs.

Vipi wadau mnaonaje maoni ya mitaa ya Dar Es Salaam?
View attachment 1554813
sipendi mwanamke anayesuka rasta au manywele ya bandia,anayevaa wigi,anayepaka makeup....napenda mwanamke mwenye low cut,na natural face with wanja may be....
 
Zero yupo kwenye XXL tokea 2010..

Scratch designer ndo aliyechukua nafasi yake
mi sijui kama kuna dj mkali hapa duniani kama huyu dogo (scratch designer)

nb; ni mtazamo tu
 
Back
Top Bottom