Je, Dkt. Magufuli angelikuwepo, angelikuwa anakandiwa uozo wote unaosemwa?

Je, Dkt. Magufuli angelikuwepo, angelikuwa anakandiwa uozo wote unaosemwa?

Najiuliza tuu,

JPM endapo Angelikuwepo kama raisi ama muda wake wa utawala kuisha,

Aliyekuwa makamo wake ambaye ndiye Rais wetu kwa sasa Angelisema hayo kama aliyosema Washington huko kwa wazungu, ama kwa vile mwenzetu katangulia ndio tunasema na kwa bahati mbaya hawezi hata kusema kwamba kwa hilo mnanisingizia

Nimegundua kitu, Raisi yeyote asikubali kufa Kabla ya kumaliza ngwe yake aisee

Akifa katikati ya safari yanazaliwa mengi mpaka mtu unajuta kwa mini uliwahi mapema huko ulikokwenda
Kwahiyo jiwe kakubali mwenyewe kufa
 
Kama Kuna mabaya aliyatenda atasemwa tu na Kama Kuna mazuri alifanya atasemwa pia na kusifiwa kwahiyo tulieni tu yatasemwa mengi sana
 
Tungeanzaje wakati hadi maofisini wapenz wa ccm waligeuka sungusungu
 
Najiuliza tuu,

JPM endapo Angelikuwepo kama raisi ama muda wake wa utawala kuisha,

Aliyekuwa makamo wake ambaye ndiye Rais wetu kwa sasa Angelisema hayo kama aliyosema Washington huko kwa wazungu, ama kwa vile mwenzetu katangulia ndio tunasema na kwa bahati mbaya hawezi hata kusema kwamba kwa hilo mnanisingizia

Nimegundua kitu, Raisi yeyote asikubali kufa Kabla ya kumaliza ngwe yake aisee

Akifa katikati ya safari yanazaliwa mengi mpaka mtu unajuta kwa mini uliwahi mapema huko ulikokwenda
JPM alifanya hovyo na aliwatisha watu wakae kimya sasa hayo ndio matokeo ya kuwaziba watu midomo ukifa ndio wanafunguka.
 
Hata huyo mjinga mnayemuabudu hakuwahi kuwananga watangulizi wake wakati wakiwa madarakani,ndio kusema hata yeye ni miongoni mwa hao wanafiki mnaowauliza.
 
Najiuliza tuu,

JPM endapo Angelikuwepo kama raisi ama muda wake wa utawala kuisha,

Aliyekuwa makamo wake ambaye ndiye Rais wetu kwa sasa Angelisema hayo kama aliyosema Washington huko kwa wazungu, ama kwa vile mwenzetu katangulia ndio tunasema na kwa bahati mbaya hawezi hata kusema kwamba kwa hilo mnanisingizia

Nimegundua kitu, Raisi yeyote asikubali kufa Kabla ya kumaliza ngwe yake aisee

Akifa katikati ya safari yanazaliwa mengi mpaka mtu unajuta kwa mini uliwahi mapema huko ulikokwenda
Angefanyaje kwani, lile kwanza lilikuwa lioga na halikuwa na ushawishi wowote kisiasa kwa wafanya maamuzi wengine
 
Hii lugha ya: "angekuwepo wangemsema....."mnapenda sana kuisema sema. Magufuli alipokuwepo watu walimsema, lakini utaona walichofanya(rejea Lissu na wengine). Baada ya kuona kumbe ukimsema kwa kumkosoa unafanywa hivi, watu wakanyamaza, Sasa ameondoka wanasema kitu ambacho walikuwa hawafurahi nacho. Kwa mfano, Magufuli alivyowaambia Wakurugenzi mpinzani akishinda eneo lako wakati nakulipa vizuri, sijui utanieleza nini? Matokeo yake wapinzani wanaporudisha fomu, Wakurugenzi wanakimbia ofisi. Je, kwa uchaguzi wa aina hii, unategemea Taifa lipate viongozi wa aina gani? Watu Sasa wanasema akiwa hayupo.
Hata haiwezi kubadilisha ukweli He was the best President
 
Back
Top Bottom