Je, Dkt. Magufuli angelikuwepo, angelikuwa anakandiwa uozo wote unaosemwa?

Kwahiyo jiwe kakubali mwenyewe kufa
 
Kama Kuna mabaya aliyatenda atasemwa tu na Kama Kuna mazuri alifanya atasemwa pia na kusifiwa kwahiyo tulieni tu yatasemwa mengi sana
 
Tungeanzaje wakati hadi maofisini wapenz wa ccm waligeuka sungusungu
 
JPM alifanya hovyo na aliwatisha watu wakae kimya sasa hayo ndio matokeo ya kuwaziba watu midomo ukifa ndio wanafunguka.
 
Hata huyo mjinga mnayemuabudu hakuwahi kuwananga watangulizi wake wakati wakiwa madarakani,ndio kusema hata yeye ni miongoni mwa hao wanafiki mnaowauliza.
 
Angefanyaje kwani, lile kwanza lilikuwa lioga na halikuwa na ushawishi wowote kisiasa kwa wafanya maamuzi wengine
 
Hata haiwezi kubadilisha ukweli He was the best President
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…