Je, Dkt. Mpango ana Afya njema kushika wadhifa wa Makamu wa Rais?

Je, Dkt. Mpango ana Afya njema kushika wadhifa wa Makamu wa Rais?

Mmekosa vya kuhoji mmeanza kuhoji afya yake utadhaani mnataka. Nani ameshawahi kuweka hadharani afya yake?
 
Linapokuja suala la Afya ya viongozi hilo ni suala mujarabu kabisa kwa umma kuhoji.

Leo akiongea bungeni, Dkt. Mpango ameonyesha kwamba hata yeye alikuwa hana taarifa zozote za kuteuliwa kwake kuwa Makamu wa Rais, hii maana yake ni kwamba hili suala limefanyika kwa usiri mkubwa bila hata yeye kujua...
1. Sikuona popote iliripotiwa kuwa Dr. Mpango liumwa COVID-19.

2. Lakini iwe ugonjwa wowote ule mradi sio kilema mtu akipona je asipewe uongozi kisa aliwahi kuuma?

3. kwani viongozi wote hawajawahi kuumwa magonjwa yoyote yale na wakapona na wanaendelea na Maisha?

4. Uhai wa mtu Mungu ndie ajuae, as long as Dr. Mpango is healthy kwa sasa he deserves the post, na he the best choice Mh Rais has made, tuwaombee Afya njema na utendaji uliotukuka
 
1. Sikuona popote iliripotiwa kuwa Dr. Mpango liumwa COVID-19
2. Lakini iwe ugonjwa wowote ule mradi sio kilema mtu akipona je asipewe uongozi kisa aliwahi kuuma?...
Agree with you mate, watu wengine apa wamejikita kuangalia afya za wenzao angali afya zao ata tu uwezo wa kufanya check up ya mwili wake hawezi..tuwe wazalendo na tuweke mada zenye tija na sio umbeya ..umbeya kana kwamba unawashwa na pilipili
 
Wewe shida yako ni kwa vile ni mgalatia.

Nafahamu fika mlimtaka Dr Dau ama mwandishi nguli Mohamed Said.

Kuugua na kupona ni maisha tuliyoumbiwa wanadamu.

Ni nani asiyeugua?

Sidhani kama kule kuugua kwake wiki zilizopita ndo unafungulia uzi.
 
Linapokuja suala la Afya ya viongozi hilo ni suala mujarabu kabisa kwa umma kuhoji.

Leo akiongea bungeni, Dkt. Mpango ameonyesha kwamba hata yeye alikuwa hana taarifa zozote za kuteuliwa kwake kuwa Makamu wa Rais, hii maana yake ni kwamba hili suala limefanyika kwa usiri mkubwa bila hata yeye kujua.

Tunajua ni majuzi tu Dkt. Mpango alikuwa hoi bin taaban kwa maradhi yanayohusishwa na ugonjwa wa Korona, Tulimuona akikohoa kwa nguvu huku akioneana mchovu sana.

Swali ambalo mimi kama raia ningependa kuuliza, Je Dkt. Mpango yuko physically fit kushika majukumu mazito ya kumsaidia Rais katika nafasi hii aliyopewa?

Tuliona mathalani, Hayati Magufuli alikuwa ni mgonjwa wa muda mrefu wa Ugonjwa wa Moyo, na kama mnavyojua kazi ya Urais ni kazi nzito yenye stress nyingi na bila shaka siyo rafiki kwa watu wenye ugonjwa wa moyo, Je Vetting process ililifikiria hilo suala kabla ya kumpa Magufuli green light ya kugombea urais?

Je, na mfumo wa vetting nchini umelifikiria suala la Dkt. Mpango kuwa makamu wa Rais, Je wamejiridhisha kuwa yuko fit kwelikweli baada ya kuugua Covid-19?

Kitu kingine ninachomshangaa Dkt. Mpango ni kuwa havai barakoa kwenye mikusanyiko, Je akipata Covid tena katika mazingira ya sasa, ukilinganisha na athari ambazo Covid ya kwanza iliupa mwili wake je atakuwa katika hali gani?

Ni wakati muafaka sasa afya za viongozi wetu ziwe ni factor mojawapo kwenye vetting, la sivyo hii ni disaster kwa nchi
Unadhani unamjua kuliko mamlaka zilizoona anafaa?
 
Kocha wa Arsenal ateta alikuwa na Corona now ameshapon anaendelea na Kaz so ugonjwa ni stage Kama makuzi tu ya mtoto
 
Linapokuja suala la Afya ya viongozi hilo ni suala mujarabu kabisa kwa umma kuhoji.

Leo akiongea bungeni, Dkt. Mpango ameonyesha kwamba hata yeye alikuwa hana taarifa zozote za kuteuliwa kwake kuwa Makamu wa Rais, hii maana yake ni kwamba hili suala limefanyika kwa usiri mkubwa bila hata yeye kujua.

Tunajua ni majuzi tu Dkt. Mpango alikuwa hoi bin taaban kwa maradhi yanayohusishwa na ugonjwa wa Korona, Tulimuona akikohoa kwa nguvu huku akioneana mchovu sana.

Swali ambalo mimi kama raia ningependa kuuliza, Je Dkt. Mpango yuko physically fit kushika majukumu mazito ya kumsaidia Rais katika nafasi hii aliyopewa?

Tuliona mathalani, Hayati Magufuli alikuwa ni mgonjwa wa muda mrefu wa Ugonjwa wa Moyo, na kama mnavyojua kazi ya Urais ni kazi nzito yenye stress nyingi na bila shaka siyo rafiki kwa watu wenye ugonjwa wa moyo, Je Vetting process ililifikiria hilo suala kabla ya kumpa Magufuli green light ya kugombea urais?

Je, na mfumo wa vetting nchini umelifikiria suala la Dkt. Mpango kuwa makamu wa Rais, Je wamejiridhisha kuwa yuko fit kwelikweli baada ya kuugua Covid-19?

Kitu kingine ninachomshangaa Dkt. Mpango ni kuwa havai barakoa kwenye mikusanyiko, Je akipata Covid tena katika mazingira ya sasa, ukilinganisha na athari ambazo Covid ya kwanza iliupa mwili wake je atakuwa katika hali gani?

Ni wakati muafaka sasa afya za viongozi wetu ziwe ni factor mojawapo kwenye vetting, la sivyo hii ni disaster kwa nchi
Yaani Watanzania dah!So ukishaugua mara moja,basi afya yako wewe ina mgogoro!Kwani wewe hujawahi kuugua?Na hili swala la C-19,hivi mmeshindwa kabisa ku-connect between the dots.Seriously mmeamini kwamba what they say and talk about C-19 is true,mta-aminije watu ambao nia yao siku zote ni kuwatawala na kuwaibia?It is ridiculous. And how about if it is a conspiracy against you!

Hebu sikiliza clip ifuatayo, labda itasaidia kukufungua masikio.
 

Attachments

  • VID-20210329-WA0000.mp4
    4.2 MB
Makamu wa Rais ana mikiki ipi zaidi ya kukata utepe wa kufungua majengo, madarasa na kupanda miti?
 
Mtu akiugua covid huwa anajenga usugu wa mwili dhidi ya huo ugonjwa(immunity). Philipo Mpango huko fit sasa hivi .waziri mkuu uingereza alikaa ICU kwenye ventilator kwa wiki nzima leo anadunda. Mpango ametumia oxygen tu hakufika hatua ya ventilator . Yukou vizuri muda huh.

ANYWAY HE NEEDS A BOOSTER SHOT, BECAUSE THE TANZANIAN COVID VARIANT IS VERY ELUSIVE AND LETHAL!!!
 
Samia kachemka kumchagua Mpango kuwa makamu, afya yake bado haijawa stable, ajiandae kuteua makamu mwingine.
 
Samia kachemka kumchagua Mpango kuwa makamu, afya yake bado haijawa stable, ajiandae kuteua makamu mwingine.
Yaani nyie nyumbu watakia mabaya wenzenu Mungu anakuona...temea mate chini usije ukashangaa kesho yako usione kwan hakuna mwenye Mkataba na Mungu
 
Mmekosa vya kuhoji mmeanza kuhoji afya yake utadhaani mnataka. Nani ameshawahi kuweka hadharani afya yake?

LAZIMA WAWE WACHAWI JINA LAO WALILOMPELEKEA RAIS LILITUPWA KWENYE DUST BIN!!
 
Linapokuja suala la Afya ya viongozi hilo ni suala mujarabu kabisa kwa umma kuhoji.

Leo akiongea bungeni, Dkt. Mpango ameonyesha kwamba hata yeye alikuwa hana taarifa zozote za kuteuliwa kwake kuwa Makamu wa Rais, hii maana yake ni kwamba hili suala limefanyika kwa usiri mkubwa bila hata yeye kujua.

Tunajua ni majuzi tu Dkt. Mpango alikuwa hoi bin taaban kwa maradhi yanayohusishwa na ugonjwa wa Korona, Tulimuona akikohoa kwa nguvu huku akioneana mchovu sana.

Swali ambalo mimi kama raia ningependa kuuliza, Je Dkt. Mpango yuko physically fit kushika majukumu mazito ya kumsaidia Rais katika nafasi hii aliyopewa?

Tuliona mathalani, Hayati Magufuli alikuwa ni mgonjwa wa muda mrefu wa Ugonjwa wa Moyo, na kama mnavyojua kazi ya Urais ni kazi nzito yenye stress nyingi na bila shaka siyo rafiki kwa watu wenye ugonjwa wa moyo, Je Vetting process ililifikiria hilo suala kabla ya kumpa Magufuli green light ya kugombea urais?

Je, na mfumo wa vetting nchini umelifikiria suala la Dkt. Mpango kuwa makamu wa Rais, Je wamejiridhisha kuwa yuko fit kwelikweli baada ya kuugua Covid-19?

Kitu kingine ninachomshangaa Dkt. Mpango ni kuwa havai barakoa kwenye mikusanyiko, Je akipata Covid tena katika mazingira ya sasa, ukilinganisha na athari ambazo Covid ya kwanza iliupa mwili wake je atakuwa katika hali gani?

Ni wakati muafaka sasa afya za viongozi wetu ziwe ni factor mojawapo kwenye vetting, la sivyo hii ni disaster kwa nchi
Ulichosema ni kweli.... Post long term effect za Cov 19 ziko nyingi kutegemea na jinsi gani au wapi ilikupiga zaidi. Tuaasume haikupiga upstairs!!
 
Back
Top Bottom