Je, Dkt. Mpango ana Afya njema kushika wadhifa wa Makamu wa Rais?

Je, Dkt. Mpango ana Afya njema kushika wadhifa wa Makamu wa Rais?

Samia kachemka kumchagua Mpango kuwa makamu, afya yake bado haijawa stable, ajiandae kuteua makamu mwingine.

ACHENI UCHAWI, TRUMP PIA ALIUGUA CORONA NA AKAPONA, MPANGO SASA AACHE MAMBO YA KISWAHILI LAZIMA KUAMINI SCIENCE MAMBO YA TUNGULI WAACHANE NAYO, WAENDE KUPATA CHANJO!!
 
ACHENI UCHAWI, TRUMP PIA ALIUGUA CORONA NA AKAPONA, MPANGO SASA AACHE MAMBO YA KISWAHILI LAZIMA KUAMINI SCIENCE MAMBO YA TUNGULI WAACHANE NAYO, WAENDE KUPATA CHANJO!!
Kwani wewe mwenzetu umesha chanjwa????????????
 
Linapokuja suala la Afya ya viongozi hilo ni suala mujarabu kabisa kwa umma kuhoji.

Leo akiongea bungeni, Dkt. Mpango ameonyesha kwamba hata yeye alikuwa hana taarifa zozote za kuteuliwa kwake kuwa Makamu wa Rais, hii maana yake ni kwamba hili suala limefanyika kwa usiri mkubwa bila hata yeye kujua.

Tunajua ni majuzi tu Dkt. Mpango alikuwa hoi bin taaban kwa maradhi yanayohusishwa na ugonjwa wa Korona, Tulimuona akikohoa kwa nguvu huku akioneana mchovu sana.

Swali ambalo mimi kama raia ningependa kuuliza, Je Dkt. Mpango yuko physically fit kushika majukumu mazito ya kumsaidia Rais katika nafasi hii aliyopewa?

Tuliona mathalani, Hayati Magufuli alikuwa ni mgonjwa wa muda mrefu wa Ugonjwa wa Moyo, na kama mnavyojua kazi ya Urais ni kazi nzito yenye stress nyingi na bila shaka siyo rafiki kwa watu wenye ugonjwa wa moyo, Je Vetting process ililifikiria hilo suala kabla ya kumpa Magufuli green light ya kugombea urais?

Je, na mfumo wa vetting nchini umelifikiria suala la Dkt. Mpango kuwa makamu wa Rais, Je wamejiridhisha kuwa yuko fit kwelikweli baada ya kuugua Covid-19?

Kitu kingine ninachomshangaa Dkt. Mpango ni kuwa havai barakoa kwenye mikusanyiko, Je akipata Covid tena katika mazingira ya sasa, ukilinganisha na athari ambazo Covid ya kwanza iliupa mwili wake je atakuwa katika hali gani?

Ni wakati muafaka sasa afya za viongozi wetu ziwe ni factor mojawapo kwenye vetting, la sivyo hii ni disaster kwa nchi
Mkuu una akili sana. Ningekea na mtoto wa kike ningekupa kama zawadi. Hili swala kama ilivokawaida ya wabongo kudharau topic zenye tija. Watakukimbia. Ila historia inaonesha viongozi wengi wa afrika wanafeli sana kwa matatizo ya kiafya. Why kweli kama unavosema wafanyiwe veting or otherwise wachukue vijana majukumu yenye stress na dhoruba
 
Kama ni Covid tu basi shaka ondoa, atakaa fresh muda si mrefu.

Ungesema anaumwa matatizo ya Moyo ndio ningekuwa na wasiwasi na Afya yake.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
82042.jpg
202180707.jpg
 
Je, na mfumo wa vetting nchini umelifikiria suala la Dkt. Mpango kuwa makamu wa Rais, Je wamejiridhisha kuwa yuko fit kwelikweli baada ya kuugua Covid-19?
Kuugua sio kufa bibie
Hebu tafuta Jambo jingine,hata Boris Johnson aliugua chupu chupu lakini mpaka leo bado PM wa uingereza
 
Mpango ameugua na amepona. Ni jukumu la madaktari wake kuhakikisha wanampa ushauri wa kitabibu ili azidi kuimarika.

Kuugua siyo kifo. Kuugua kama alivyougua Mpango, tena kwa umri ule, na akatoka salama, naamini mfumo wake wa afya ya mwili upo salama.

Mpango hakuwa mwamini wa siasa za hila za kuwadanganya watu kuwa Tanzania hakuna corona. Aliwatangazia wafanyakazi wa Wizara yake wajihadhari na corona.

Naamini mpango ni mtu sahihi ambaye kwa miaka mitano amefanya kazi na mtu ambaye hakuwa sahihi.
 
Linapokuja suala la Afya ya viongozi hilo ni suala mujarabu kabisa kwa umma kuhoji.

Leo akiongea bungeni, Dkt. Mpango ameonyesha kwamba hata yeye alikuwa hana taarifa zozote za kuteuliwa kwake kuwa Makamu wa Rais, hii maana yake ni kwamba hili suala limefanyika kwa usiri mkubwa bila hata yeye kujua.

Tunajua ni majuzi tu Dkt. Mpango alikuwa hoi bin taaban kwa maradhi yanayohusishwa na ugonjwa wa Korona, Tulimuona akikohoa kwa nguvu huku akioneana mchovu sana.

Swali ambalo mimi kama raia ningependa kuuliza, Je Dkt. Mpango yuko physically fit kushika majukumu mazito ya kumsaidia Rais katika nafasi hii aliyopewa?

Tuliona mathalani, Hayati Magufuli alikuwa ni mgonjwa wa muda mrefu wa Ugonjwa wa Moyo, na kama mnavyojua kazi ya Urais ni kazi nzito yenye stress nyingi na bila shaka siyo rafiki kwa watu wenye ugonjwa wa moyo, Je Vetting process ililifikiria hilo suala kabla ya kumpa Magufuli green light ya kugombea urais?

Je, na mfumo wa vetting nchini umelifikiria suala la Dkt. Mpango kuwa makamu wa Rais, Je wamejiridhisha kuwa yuko fit kwelikweli baada ya kuugua Covid-19?

Kitu kingine ninachomshangaa Dkt. Mpango ni kuwa havai barakoa kwenye mikusanyiko, Je akipata Covid tena katika mazingira ya sasa, ukilinganisha na athari ambazo Covid ya kwanza iliupa mwili wake je atakuwa katika hali gani?

Ni wakati muafaka sasa afya za viongozi wetu ziwe ni factor mojawapo kwenye vetting, la sivyo hii ni disaster kwa nchi
Mkuu mbona unawazo mgando sana? Kwani ww uko fit kwa afya yako?? Huwa nashangaa sana post zako zimejaa negativity tu..who are you? Are you a normal human being kwel..probably you not but allien..
 
Back
Top Bottom