Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wagalatia hampewi tena nchiKtk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Niliwaambia mbona Kuna vijana wawili na hata wanne machachari wanatajwa kuwinda nafasi hii? Wakadai kuwinda na kulenga shabaha ni jambo jingine.
Nikawauliza tena hadi kipindi tarajiwa Makamu atakuwa Mzee Sana!! Wakanijibu wewe wasema!!
Niliondoka nimeinamisha kichwa chini kwa sababu akiwa Waziri wa Fedha inadaiwa ndiye aliyemshauri Rais Magufuli kuwa kuwapandishia wafanyakazi mishahara kila mwaka sio Jambo la lazima bali ni hiari, "Tuhangaikie miradi Kwanza".
Hiki kitu kinatajwa Sana, kulikoni?History inaweza kuandikwa Mpango akawa Mkuu wa Nchi wa kwanza ambae hajawahi kuwa kwenye Ballot paper
awe tu kwa kweli maana hali ni mbaya sana.Hiki kitu kinatajwa Sana, kulikoni?
Mbona mna overrate sana "system"? Kama hao system ndio wanaelewa sana nani anaifaa nchi kivipi walimpa urais JPM ilihali walijua anatembelea moyo wa plastic? Okay Samia naye alipangwa na system awe Rais? Mbona ni kama zali tu hivi?Ktk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Kwani Samia alipomteua hakujua hizo risk? Ndio maana alimteua mtu asiye maarufu wala ushawishi wa kufanya hayo mnayodhani.History inaweza kuandikwa Mpango akawa Mkuu wa Nchi wa kwanza ambae hajawahi kuwa kwenye Ballot paper
Mu-7!!Atakuwa 74 years old hii haiwezekan
Mwenye chama chake kesha kubali nusu mkate, wewe endelea kupiga domo.2030 kutakua na vijana ambao watapambana na Chadema ikiwa madarakani,
Duh !2030 kutakua na vijana ambao watapambana na Chadema ikiwa madarakani, ila hawataweza maana ccm wakati huo itakua imechakaa mara 20, kama ccm wataweza kukirudisha mchezoni chama may be 2035, nayo itategemea wapi chadema watakua wamefail katika kuwatumikia wananchi
Sasa ccm jidanganye iba kura 2025 ndo mtajua hamjui , sio maneno yangu ,bali nikutoka kwake aliejuu, awafanyae kaa kwenye viyoyozi, na mav8
Unasalimiwa na wana Kalinzi.Kwani Samia alipomteua hakujua hizo risk? Ndio maana alimteua mtu asiye maarufu wala ushawishi wa kufanya hayo mnayodhani.
Siasa za ukabila hazina nafasi mkuu, Kigoma by the way itapigia kura upinzani hiyo 2025 licha ya kuwa na makamu wa Rais.Unasalimiwa na wana Kalinzi.
Mkuu Freed Freed, hoja hii ni kweli, kwasababu huu ndio utaratibu wa kupokezana kati ya Mkristo na Muislamu, na akiwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki!. Dr. Mpango ni Mkristo Mkatoliki. Kuna wengi wanahesabu za 2030, mimi hesabu zangu ni 2025!. Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje MwanamkeKtk mazungumzo yangu na watu nyeti nimedokezwa Jambo la kushangaza. Wanadai kuwa ishaamuliwa baada ya Mama yetu mpendwa, ajaye ni Makamu Rais Dr Philip Mpango.
Haina shida maana ni wenzetu hao tangu enzi za Deutsch Ostafrika ya kijerumani 🙏🙏Burundi kwa mara ingine?😡😡
Wachaga bhana,, yaani bado unaota ndoto za Chadema kushika "dola",,!!2030 kutakua na vijana ambao watapambana na Chadema ikiwa madarakani, ila hawataweza maana ccm wakati huo itakua imechakaa mara 20, kama ccm wataweza kukirudisha mchezoni chama may be 2035, nayo itategemea wapi chadema watakua wamefail katika kuwatumikia wananchi
Sasa ccm jidanganye iba kura 2025 ndo mtajua hamjui , sio maneno yangu ,bali nikutoka kwake aliejuu, awafanyae kaa kwenye viyoyozi, na mav8
Haleluya Acha nikae huku Annex nipunge upepo mwanana kazi imeishaSpeculations zimekuwa nyingi kuelekea 2025 - 2030.
Muhimu Mungu atupe kibali cha Uzima, mtakuja kuona msiyoyatarajia.
Home ya Uchaguzi Loading..............
Tatizo Kigoma upinzani umegawanyika sana. Wapo wa mbowe, zito na Rungwe.Siasa za ukabila hazina nafasi mkuu, Kigoma by the way itapigia kura upinzani hiyo 2025 licha ya kuwa na makamu wa Rais.
Washaridhika na nusu mkate hao.Wachaga bhana,, yaani bado unaota ndoto za Chadema kushika "dola",,!!