We nae hamna kitu. Sasa wangesaini harafu wakawafukuza,Hacha mihemko mkuu,kama sio siri Tena twambie nani aliwasainia hao akina Mdee na wenzake,mana kama wasingekuwa chadema walio saini hii ngoma ingekuwa ishaisha.
Chadema mnajifanya MNA umoja kumbe umoja anao aliyesaini majina ya akina mdee na kuweka muhuri ili wakaapishwe kuwa wabunge viti maalum!
Msamehe bure,labda anazani DPP ana mamlaka ya kukamata,kupeleleza na kupeleka kesi Mahakamani,na kuondoa kesi Mahakamani vile vile!!!!Mkuu, sasa kesi ya kina Halima inamuhusu vipi DPP. Siyo kila kesi iliyo mahakamani ni ya DPP.
Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.
Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.
Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.
Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!
Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.
Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.
Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?
Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄
ujinga hautakuja kwisha Africa. imagine mtu anaandika andiko refu kiasi hiki lakini ni mjingaUjinga ni mzigo kama gunia la chawa
Kama kuna utata wa Sahihi kugushiwa,si wapeleke malalamiko yao kwa Wataalamu wa Uchunguzi wa kisayansi juu ya hati na Sahihi pale forensic!! Jinai inataka Victim ndiyo uisibitishe kwanza kwa taarifa!!Hacha mihemko mkuu,kama sio siri Tena twambie nani aliwasainia hao akina Mdee na wenzake,mana kama wasingekuwa chadema walio saini hii ngoma ingekuwa ishaisha.
Chadema mnajifanya MNA umoja kumbe umoja anao aliyesaini majina ya akina mdee na kuweka muhuri ili wakaapishwe kuwa wabunge viti maalum!
Sijui kama hii kesi itafika kote huko!, sisi wazee wa masauti tumeisha sikia Sauti na tumeileta humu The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia!Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄
Wanadai wapi?, forgery inadaiwa kwenye press conference?.Kwani hujawasikia viongozi wa Chadema, wakidai kuwa kuna "forgery" kubwa imefanyika, Katika sakata hili la akina Halima Mdee?
Maghakama ghuru eti???Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.
Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.
Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.
Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!
Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.
Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.
Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?
Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄
Wenye akili timamu tumekuelewa japo wewe ni Mwana kijani ila kwenye ili umesema Ukweli Mtupu ndio maana msimamo wangu kuhusu Afrika ni kwamba Bwana Trump alikuwa sahihi juu yetu watu weusi...Wanadai wapi?, forgery inadaiwa kwenye press conference?.
P
Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.
Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.
Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.
Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!
Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.
Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.
Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?
Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄
Hivi toka lini DPP akahusika na kesi za madai?Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.
Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.
Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.
Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!
Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.
Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.
Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?
Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee![emoji1]
Fahamu kwamba ,Kuna taasisi za serikali zinahusika kwenye madai husika,mfano tume ya taifa ya uchaguzi.Mbona mawakili ni wa serikali?
Sasa mawakili was serikali wamepelekwa na nani?umechanganya madesa hapo DPP anahusikaje? hapo hakuna jinai mkuu
Kwa hiyo kila kesi ya madai iliyopo mahakamani Ina hao mawakili wa taasisi za serikali? Mbona haya ni mapya tena?Fahamu kwamba ,Kuna taasisi za serikali zinahusika kwenye madai husika,mfano tume ya taifa ya uchaguzi.
Achana na huyo mjnga inaelekea hajui lolotewe nae hamna kitu. Sasa wangesaini harafu wakawafukuza,
Yule Tumbili -Tulia angeitwa kutoa ushahidi mwenyewe ingekuwa poa sana yaani lakini baasi tena walisaidiana kuvaa gamba majuzi tu>. Lakini serikali inaenda kuumbuka tena kwa kishindo cha ajabu. Mipango ya kuwadai hao waasi mabilioni ya kodi wanazolipwa bila kustahili iko mbioni. Diwani atamuoa halima mke wa tatu!Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.
Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.
Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.
Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!
Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.
Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.
Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?
Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄
Wakili wa serikali wapo katika idara mbiliSasa mawakili was serikali wamepelekwa na nani?
Umeshawahi iona hiyo barua unayosema imesaini na kuwekwa muhuri?Hacha mihemko mkuu,kama sio siri Tena twambie nani aliwasainia hao akina Mdee na wenzake,mana kama wasingekuwa chadema walio saini hii ngoma ingekuwa ishaisha.
CHADEMA mnajifanya mna umoja kumbe umoja anao aliyesaini majina ya akina mdee na kuweka muhuri ili wakaapishwe kuwa wabunge viti maalum!
Basi Chadema kiboko, kwa hiyo walikwenda mpaka singida wakamtoa Nusrat jela usiku na kumleta bungeni kula kiapo? Yaani kifupi wewe ni mjinga. Kama hili nalo umeshindwa kuelewa, majibu ya Ndugai unayakumbuka wewe? Kwamba kwa akili ya Ndugai awe anajua Chadema walihusika lazima angeitisha press na kuwaonyesha ushahidi alionao tena nyuma yake yupo Magu. Nini kinazuia kuonyesha hizo nyaraka ili kuwaibisha Chadema!! Wamejaribu kesi ya kishamba ya kumbambikia ugaidi mwenyekiti Mbowe wamekwama sembuse wawe na hizo nyaraka!!Hacha mihemko mkuu,kama sio siri Tena twambie nani aliwasainia hao akina Mdee na wenzake,mana kama wasingekuwa chadema walio saini hii ngoma ingekuwa ishaisha.
CHADEMA mnajifanya mna umoja kumbe umoja anao aliyesaini majina ya akina mdee na kuweka muhuri ili wakaapishwe kuwa wabunge viti maalum!
Tafuta chakula cha watoto wako!Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.
Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.
Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.
Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!
Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.
Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.
Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?
Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄