Je, DPP atalazimika kuiondoa Kesi ya akina Halima Mdee kama alivyofanya kwenye Kesi ya ugaidi ya Mbowe?

Je, DPP atalazimika kuiondoa Kesi ya akina Halima Mdee kama alivyofanya kwenye Kesi ya ugaidi ya Mbowe?

Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.

Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.

Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.

Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!

Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.

Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.

Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?

Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄
Kwani aliyefungua ni DPP?
 
Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.

Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.

Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.

Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!

Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.

Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.

Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?

Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee![emoji1]
Kesi ya kina Mzee Halima Mdee na wenzake ni civil procedure kwa hiyo haina uhusiano na DPP!
 
Basi Chadema kiboko, kwa hiyo walikwenda mpaka singida wakamtoa Nusrat jela usiku na kumleta bungeni kula kiapo? Yaani kifupi wewe ni mjinga. Kama hili nalo umeshindwa kuelewa, majibu ya Ndugai unayakumbuka wewe? Kwamba kwa akili ya Ndugai awe anajua Chadema walihusika lazima angeitisha press na kuwaonyesha ushahidi alionao tena nyuma yake yupo Magu. Nini kinazuia kuonyesha hizo nyaraka ili kuwaibisha Chadema!! Wamejaribu kesi ya kishamba ya kumbambikia ugaidi mwenyekiti Mbowe wamekwama sembuse wawe na hizo nyaraka!!
UVCCM wengi wamelaaniwa
 
Hacha mihemko mkuu,kama sio siri Tena twambie nani aliwasainia hao akina Mdee na wenzake,mana kama wasingekuwa chadema walio saini hii ngoma ingekuwa ishaisha.

CHADEMA mnajifanya mna umoja kumbe umoja anao aliyesaini majina ya akina mdee na kuweka muhuri ili wakaapishwe kuwa wabunge viti maalum!
Huyu je alitokaje lupango ili kuwahi kuapishwa?
1656407435746.png
 
Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.

Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.

Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.

Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!

Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.

Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.

Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?

Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee![emoji1]
This time Kesi itakuwa kama ya zitto kabwe tu Kesi had inafika 2015 haikusikilizwa ni kalenda tu

Serikali wakitaka jambo lao wanaweza

Na Raisi hawez kukubali waingie wapinzani pure kabisa mule ndani kwa kuogopa kuwaimarisha Chadema kuelekea 2025 huku nguvu Yao itakuwa kubwa Sasa ni Bora waendele na akina mdee ambao hawawezi kuleta upinzani Sana bungeni
 
Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.

Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.

Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.

Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!

Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.

Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.

Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?

Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄
Safi sana. Tunasubiri tamthilia nyingine tamu.
 
Kwa hiyo kila kesi ya madai iliyopo mahakamani Ina hao mawakili wa taasisi za serikali? Mbona haya ni mapya tena?

Tuache kipenga kilie mpira uanze. Ila serikali itaumbuka na hasa time ya uchaguzi na Spika wa Bunge.
Wala hili suala sio la kubishana hapa, mtoa post amekosea kusema DPP. DPP hahusiki na aina ya kesi kama hizi
 
Kwa hiyo kila kesi ya madai iliyopo mahakamani Ina hao mawakili wa taasisi za serikali? Mbona haya ni mapya tena?

Tuache kipenga kilie mpira uanze. Ila serikali itaumbuka na hasa time ya uchaguzi na Spika wa Bunge.
Elewa kwamba tume ya taifa ya uchaguzi ni moja ya wajibu madai katika kesi ya msingi.Mawakili wa serikali wapo kwa sababu kama hiyo.Sijasema kila kesi ya madai,kesi za madai zisizohusu serikali hazihusishi mawakili wa serikali.
 
Tafuta chakula cha watoto wako!
usihangaike na haya mambo hutayaweza ni ushauri tu.
Lakini hujui kuwa chakula changu cha watoto, kinapungua kutokana na hao wabunge, "wanaozikomba" pesa zetu za kodi, bila kuwa na chama, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?😄
 
Ajabu!

Hebu muulize huyo mtetea maovu, Ili alifafanue na hilo
Sheria ni tasnia sio ya kukurupuka ipo hivi..kwa mfano unapofungua kesi ya madai inayohusisha taasisi yoyote ya serikali lazima mwanasheria wa serikali awepo yeye anakua kama necessary party kwaio mawakili wa serikali wapo hapo kuziwakilisha taasisi husika za serikali...😂😂😂
 
Kwa namna ya hili sakata la Hawa wanaojiita wabunge wa viti maalum, kupitia chama kilichowavua uanachama wao cha Chadema na namna Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, anavyojaribu kuendelea kuwakumbatia hao akina Halima Mdee, naziona dalili zote za kutokea kile kilichotokea kwenye ile Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake.

Nasema hivyo kwa kuwa Katika "proceedings" za Mahakama, kila kitu kitakuwa wazi.

Kwahiyo wale waliofoji barua na kupeleka NEC watajulikana.

Hata yule aliyemtoa mfungwa Nusrat Hanje usiku na kesho yake asubuhi akaenda kuapa na kuwa Mheshimiwa Mbunge,naye atajulikana wazi!

Huyo Spika Tulia Ackson, anayefanya sarakasi zote hizi za kuendelea kuwakumbatia wabunge ambao Hawana chama, lazima atambue jinsi anavyojitumbukiza kwenye shimo la kujiangamiza.

Tutarajie tena kushuhudia mashahidi wa akina Halima Mdee, toka NEC na Ofisi ya Bunge, wakiomba udhuru wa mara kwa mara kwenda "maliwatoni" kwenda jisaidia.

Je, DPP kwa mara nyingine tena, atalazimika kuiondoa mahakamani, Kesi hiyo kama ilivyomkuta aibu, baada ya kuiondoa Kesi ya kubambika ya ugaidi ya Mbowe na wenzake?

Yetu macho, tutege masikio yetu kwenye Mahakama Kuu, kushuhudia jinsi jopo la mawakili waliobobea la akina Kibatala, jinsi "linavyowagaragaza" mawakili wa akina Halima Mdee!😄
Ila we ni kilaza sana DPP hapo anahusikaje
 
Hacha mihemko mkuu,kama sio siri Tena twambie nani aliwasainia hao akina Mdee na wenzake,mana kama wasingekuwa chadema walio saini hii ngoma ingekuwa ishaisha.

CHADEMA mnajifanya mna umoja kumbe umoja anao aliyesaini majina ya akina mdee na kuweka muhuri ili wakaapishwe kuwa wabunge viti maalum!

..inawezekana hakuna aliyesaini.

..inawezekana Nec na Cdm hawakuhusika na ubunge wa kina Halima.

..Cdm au Nec wangekuwa wamehusika dokoment zote zingewekwa hadharani.
 
Kama haijafunguliwa na Jamhuri, ni kitu gani kinachofanya ionekane "imebebwa" na Bunge letu pamoja na vyombo vyake?

Kwa kuwa siyo siri tena, hata mtoto anayesoma chekechea analijua hilo
Upuuzi wako utaisha lini?
 
Chadema mnakosa hoja Sana,

Nyie hamtaki vile viti, na mlisema public,

Sasa mna makelele ya nn? Akili yenu tumeijua wale ni wabunge mpaka 2025

Huko mahakamani mnagaragzwa mpaka mtashangaaa
Sasa kama chadema hawataki viti kule bungeni tujuze kilichowafanya kina hawo halima kupokonywa ubunge wao kwemye ucahguzi wa 2020 nini?

Kwanini magu alitumia nguvu kubwa ya kuweza kuua,kuweka kura feki n.k mabaya ili tu chadema wakose ubunge akiwemo huyo halima.


Sasa wao wamepelekwa ni serikali ila wanatumia chama chá chadema Kwanini wasitumie ccm kwa vile wameshafukuzwa?

Waliishitaki chadema Sasa bila ya chadema kuenda mahakamani itakuwaje?


Hili ni tatizo lenu nyinyi ccm mlilolifanya 2020 kwa ujinga wenu.


Chadema wanaubavu wakumtoa mfungwa ili akaapishwe na awe Mbunge?
 
Sasa kama chadema hawataki viti kule bungeni tujuze kilichowafanya kina hawo halima kupokonywa ubunge wao kwemye ucahguzi wa 2020 nini?

Kwanini magu alitumia nguvu kubwa ya kuweza kuua,kuweka kura feki n.k mabaya ili tu chadema wakose ubunge akiwemo huyo halima.


Sasa wao wamepelekwa ni serikali ila wanatumia chama chá chadema Kwanini wasitumie ccm kwa vile wameshafukuzwa?

Waliishitaki chadema Sasa bila ya chadema kuenda mahakamani itakuwaje?


Hili ni tatizo lenu nyinyi ccm mlilolifanya 2020 kwa ujinga wenu.


Chadema wanaubavu wakumtoa mfungwa ili akaapishwe na awe Mbunge?

Story zote unaongea ni hear say! Hakuna hata moja ya udhibitisho, na wala hakuna kesho wala shitaka la hayo uliyoongea
 
We should not pre-empty this case, let's see what shall evolve in the court of law.
 
Back
Top Bottom