Je, DPP atalazimika kuiondoa Kesi ya akina Halima Mdee kama alivyofanya kwenye Kesi ya ugaidi ya Mbowe?

Tujikumbushe kidogo! Hii ni kesi ya madai, sio JINAI! DPP haingizi mkono huko!
 
Samia Suluhu anataka ithibitike kuwa yale makesi yoote yeye hahusiki nayo. Ndio maana anayaacha yaendelee ili walioyatunga wawe wanaumbuka wenyewe.

Tuliona kesi ya Akina Mbowe mambo yalivyokuwa

..mbona ktk mahojiano na bbc Raisi aliunga mkono kesi, na alidai kuna washirika wa Mbowe walishahukumiwa?

..kwa mtazamo wangu, Ssh alijaribu kumfunga Mbowe, tatizo ni kwamba waliokabidhiwa jukumu lile walikuwa na uwezo mdogo ktk kutengeneza kesi ile.

..Ndio maana unaona Kingai kapandishwa cheo. Ujue kwamba ni amebeba siri nyingi za mipango miovu ya watawala.
 

..ubunge wa kina halima ni matokeo ya ujinga wa Ccm ya Magufuli.

..Ccm za awamu zilizopita walikuwa hawaibi kwa pupa na ujinga kama wa 2020.

..awamu zilizopita walikuwa wanaiba huku wakiruhusu idadi fulani ya wapinzani waingie bungeni ili kuficha aibu kuwa Ccm wameiba uchaguzi.
 
Wenye akili timamu tumekuelewa japo wewe ni Mwana kijani ila kwenye ili umesema Ukweli Mtupu ndio maana msimamo wangu kuhusu Afrika ni kwamba Bwana Trump alikuwa sahihi juu yetu watu weusi...

..Kuna forgery.

..Kamati Kuu ya Cdm haikuteua viti maalum.

..Na wagombea au wabunge wa chama chochote huteuliwa na vikao si vinginevyo.

..Yeyote yule ambaye amepata uteuzi bila kuhusisha vikao halali vya chama atakuwa amegushi, amedanganya, au ametapeli.

NB:

..hata kama kuna saini ya Mwenyekiti, bado watakwama kwa kuwa Kamati Kuu haikuteua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…