Elections 2010 Je, Dr. Willibrod Slaa atatufaa?

Hahahaha umeamua kumpa sa uso MS, ni mtaalamu wa Kiarabu huyo


Originally Posted by mlachake

wapi mmeshawahi ona malaria sugu ameandika umombo?

Na mimi nimekuwa najiuliza maswali kuhusu huyu MS. Hata siku moja hawezi kuandika neno moja tu la kimombo. Hiyo inasaidia kujua yeye ni class gani
 
Heshima mbele Mkuu Kalunguine: TandaleOne ni ID yako nyingine humu JF? Umeweka hiyo topic yako saa 12.44 na dakika moja baadaye yaani 12.45 TandaleOne akaijibu kwa kukuunga mkono! Inawezekana hii? Alikuwa anaisubiri topic?


Makosa hayo ndio yamewagharimu kwa message zao za matusi. Haiwezakani ndani ya sekunde chache hivyo mtu ajue kuna post mpya na kuijibu! Avoid leaving behind signatures after committing crime
 
ndio mlivyotumwa? kwani uraisi ni kama jiwe kuwa litamlemea? Uraisi ni taasisi na ndio mana jamaa kaifanya iwe ya kifamilia kwanza....mnachekesha kweli ndo mtakuja kuambiwa mvua inanyesha nyie mseme hayo ni manyunyu....watu wengine bwana heri nimepata kitu cha kucheka asanteni kwa kuwa katuni
 

POLE SANA. Nani Anayefaa?
 

Kwahiyo.....haya lete hoja sasa, bado huajongea kitu bado, unataka usemeje??
 
 
Last edited by a moderator:
kama vile slaa alivyo mkware wa wake za watu na mwizi wa mali za kanisa ( mungu ) mpaka kafukuzwa upadre mwaka 1994

Hili una uhakika nalo? Kusanya data mkuu usidandie gari kwa mbele na mbaya zaidi hujui liendako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…