Elections 2010 Je, Dr. Willibrod Slaa atatufaa?


no group thinking and haitakaa itokee... fuatilia mada utaona where i stand, lakini lazima uambiwe ukweli, kuchamba kwingi kutoka na m@vi

excellence in vigezo vingi na si english au lugha, and that's where we differ

narudia tena... kuchamba kwingi kutoka na ------

That is you bro

Acidic
 
Dr. Slaa kura yangu unayo tayari kwa sababu unaweza zaidi ya waliopo!
 
Hilo la Dkt. Slaa kutojua Kiingereza umelitoa wapi? Au kwa vile kaandika "the onus of proove' wewe kwako ndio imekuwa hajui Kiingereza?



Certainly no Kibunango, not even Makamba.

But still anakwambia "Onus of proove" akimaanisha "onus of proof", minor thing some say, but not very presidential.

And he is trying to project a presidential image here. We have to be critical because one of our problems is that we are not critical enough.

On the other hand, being balanced as always, I take his coming here as a real positive in that he can deal with his online constituents directly. Unlike other candidates.
 
Nataraji si hulka wala mazowea ya Dr. Slaa kuandika bila ya paragraph na kanuni nyengine sahihi za uandishi.

manake kwa Rais mtarajiwa kuandika kwa namna kama hii inatisha.

:confused2:
 

Para inajumuisha sentensi zaidi ya moja na inabeba sehemu ya ujumbe au ujumbe. Para inapanuliwa mfano kwa kutoa mifano au ku-list kama alivyo fanya Dr. Hivyo Dr. ana para moja tu. Pia ukiangalia ameweka periods sehemu ambayo msomaji upumzika kwa muda wa kutosha kabla ya kuendelea. Kwa kawaida kama unasoma para na unakutana na neno ambalo haulifahamu basi unatumia context au unakimbilia kwenye dictionary!
 
Certainly no Kibunango, not even Makamba.

Hahahaa...Kibs where you at?

But still anakwambia "Onus of proove" akimaanisha "onus of proof", minor thing some say, but not very presidential.

I think you are "misunderestimating" him...

And he is trying to project a presidential image here. We have to be critical because one of our problems is that we are not critical enough.

Fair enough...

On the other hand, being balanced as always, I take his coming here as a real positive in that he can deal with his online constituents directly. Unlike other candidates.

True...true
 
Nataraji si hulka wala mazowea ya Dr. Slaa kuandika bila ya paragraph na kanuni nyengine sahihi za uandishi.

manake kwa Rais mtarajiwa kuandika kwa namna kama hii inatisha.

:confused2:

Hivyo ndivyo ambavyo huandika. Nenda kwenye profile yake halafu bofya pale panaposema 'find all posts' uone mabandiko yake ya huko nyuma
 
Groupthink ni pamoja na kukubali kufikiri kwamba kuna watu wako above criticism, kwa mkumbo wa JF. Habari za kuchamba - ashakum si matusi- nilishakujibu hapo juu, huja address counter yangu.

excellence in vigezo vingi na si english au lugha, and that's where we differ
1. Nimeongea zaidi ya maswala ya lugha, na nilishakuambia hili katika post ya juu, nikakushauri usome hiyo post uone nilichoongea zaidi ya lugha, sasa naona hujasoma, na huna kipya unarudia rudia. Rudi kusoma post.

2. Lugha nayo ina excellency, na lugha inaweza kuonyesha mambo mengine.Kwa mfano umakini. Dr. Slaa hajajionyesha kwamba ni makini katika kuandika, na hii si katika kiingereza tu, nimeonyesha hata alivyokanganya kiswahili.Kwa hiyo ukisema Kiingereza au Kiswahili kachanganya mambo, hili linaweza kuleta swali katika umakini wake.


Mchagua sana nazi hupata koroma, anayeogopa kuchagua kabisa kwa kuhofia kupata koroma hapati hata koroma, hapati nazi kabisa

Acha watu wachambue na kuchagua.!

That is you bro
Acidic
I am cut from a different cloth, what? You don't like it ?
 
Hivyo ndivyo ambavyo huandika. Nenda kwenye profile yake halafu bofya pale panaposema 'find all posts' uone mabandiko yake ya huko nyuma

Not a good look, let alone a presidential look.

About "Onus of proove", there is no misunderstanding that, you can't misunderstand something that is wrong, you can only misunderstand something that is right. Dr. kachemsha na atakuwa muungwana kama akija hapa na kukubali hilo tuliache tuongelee mengine.

By the way maswali yangu sijajibiwa, contrary to ahadi yake.

I hope he will not pull a Regia Mtema on us, and value the input enough to work on it.
 
Hivyo ndivyo ambavyo huandika. Nenda kwenye profile yake halafu bofya pale panaposema 'find all posts' uone mabandiko yake ya huko nyuma

Duh! kwa bahat mbaya ni kweli japo kuwa kwenye posts nyengine angalau kuna matumizi ya herufi kubwa baada ya full stop.

Uandishi wake wa leo unaweza kukataa kuwa ni mtu aliyemaliza chuo kikuu achilia mbali mtu anaegombea nafasi ya uraisi.
 
https://www.jamiiforums.com/members/dr-w-slaa.html
Nadhani ni mazoea tu....


Re: Dr. Slaa Akamatwe, ahojiwe na ikiwezekana achukuliwe hatua


 

Usitake nianze kuchambua vitu blow by blow, the mixing of the first and third person (in Swahili) no capitalization on starting sentences, etc.

Usitake kumtetea katika hili, utamuaibisha zaidi.
 
Duh! kwa bahat mbaya ni kweli japo kuwa kwenye posts nyengine angalau kuna matumizi ya herufi kubwa baada ya full stop.

Uandishi wake wa leo unaweza kukataa kuwa ni mtu aliyemaliza chuo kikuu achilia mbali mtu anaegombea nafasi ya uraisi.

Unajua labda wakati anasoma hakukuwa na Microsoft Office applications kwa hiyo mambo ya single na double spacing yatakuwa magumu kidogo....
 
Hapa jamvini tunaandika kwa minajili ya kuuhabarisha umma, sasa ktk hali kama hii inachukiza sana akina Tamika binti Dilunga na trupu lake kuanza kubitch kingereza au sijui punctuation, inakera sana na kubore sometimes. Sisemi kwamba watu waandike hovyohovyo, lakini lets be real, hatupo shuleni hapa, it does n't mean everything goes lakini kuna some comfrot level kwamba ujumbe unafika ..thats most important. Tunapoondoka kwenye hoja na kuanza kuangalia punctuation tuna-sink kwene level za akina Malaria Sugu na akina Tamika.

Ni maoni tu.
 

Nafarijika kwamba walau Dr. Slaa anajibu hoja zenu, lakini kama hoja zenu zinahamia kwenye lugha yake na majimbo mengine kuachiwa CCM kunachosha sana. Waulizeni na wagombea wengine nao wajibu maswali yenu. Ila kitu ambacho kinanishangaza ni jinsi mtoa mada anavyojaribu kuelezea kitu ambacho hama ufahamu nacho na anajaribu kupotosha watu.
 

Kiingereza na punctuation ni muhimu, kinaweza kutuonyesha mtu anavyofikiri na umakini wake.

Nimeuliza mengi zaidi ya Kiingereza, na sijajibiwa.

Hapa kama mtu unakuja kama "Brazameni" unatuletea picha za clubs, huwezi kunisikia nakushikia bango kuhusu punctuation na Kiingereza sijui, hujajipresent hivyo.

Ukija kama Dr. W. Slaa, mgombea urais, lazima tupandishe bar.

We unataka rais ambaye hajui kuandika ? Pengine Dr. Slaa atashinda urais na kwenda Ikulu huku akikumbuka maneno yetu na kubadili hili.

Hapa tunatoa constructive criticism, isije mbele kutokea Dr. Slaa anataka kuandika kitu formal ikawa aibu.
 

HAPANA.

Kuandika 'vizuri' hakuna mafungamano na fikra au umakini. Kuna maprofesa wanachemka hata wanapoandikia kwenye fields zao itakuwa huyu mwanasiasa Slaa? Na hii sio article ya specialization kwenye gazeti au kitabu, ni post tu ya kwenye forum tu..Sisemi kwamba aandike hovyohovyo kwa kusudi la, ila lazima tuangalie bigger picture hapa, ambayo ni kuangalia hoja iliyopo mezani.

Walau tumshukuru Slaa kwa kuja humu kuonesha anachangamana na wanamijadala na walau anajua kutumia kompyuta na internet. Wengine huko hata kuumba hati ni 'wito'.
 

Husaidii chochote kwa kutotoa detail, sanasana unaweza kuwafanya watu wakuone mpambe unayetetea bila data.

Kuna maswali yameulizwa hayajajibiwa, kama una majibu unaweza kujibu.

Dr. Slaa mwenyewe kakaribisha maswali yote tu, ingawa naona anagwaya kujibu.

Ameandika

Nawashukuru wana jamvi wote, na wanajamvi mko huru kudodosa lolote kwa vile kiongozi hana private life,

hivyo Dr Slaa anaweza kuulizwa lolote na ufafanuzi unaotakiwa utatolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…