Kipimo cha umakini ni umakini, fine enough, umakini ambao wewe mwenyewe umeshindwa na
umekiri kushindwa kuu-demonstrate.
Mwanasiasa na mwanazuoni ipo tofauti KUBWa.Sababu kwamba mtu alikuwa mwanazuoni
kisha kuwa mwanasiasa haina maana ana wajibu na majukumu yaleyale, maana kule
kwene uanazuoni inabidi a-demonstrate vitu fulani mbele ya wenziwe ili kuendeleza
libeneke la uanazuoni wake.Kila moja lina requirements zake. Kwanza nimeweka scenario
2 hapa, moja kwamba mwanazuoni anawasilisha kazi yake inakataliwa na pili mwanasiasa Slaa
anajibu hoja ya say,Malaria Sugu JF. Wewe ukadismiss scenario ya kwanza kwamba sio KIPIMO ila ya pili ni kipimo..narejea tena kusema huu ni upuuzi.
Hoja ya kwanza hapa ni kwamba kama kuandika JF ni kipimo cha umakini,
kwanini mwanazuoni kuandikia kazi na kuipeleka kwenye chapisho linalohaririwa isiwe kipimo.
pili, furthermore nimesema hapa JF sio mahala pa kusema kwamba Slaa alitakiwa aandike
kwa standards za article ya gazeti au kitabu..this is a damn forums..ni sawa kuandika
vyovyote ili mradi kinasomeka na kueleweka. Ukitaka kumpima kwenye maandishi JF sio mahali pake.
It doesn't matter, utasema tu.
Kungekuwa hakuna readability ni wazi hakuna mtu angeuliza content, watu wangeuliza awasilishe upya post yake. Suala kwamba umeweza kuona hiyo 'onus of proove', ni wazi u were able to read the msg. Imeumiza macho lakini it was readable.
Kama nilivosema, JF sio sehemu ya kupimia umahiri wa makatibu muhtasi ..wewe unatafuta secretary wakati wenzio wanasaka Rais, sasa how do u explain wale ambao hawapo JF kama criterion ni ukatibu muhtasi JF? its getting really funny.
Kusaka urais manake unatakiwa kuwa malaika asiyeandika 'onus of proove', ila wengine ni ruksa sivo?
Might be flawed self-importance or grandeur. Sadly i don't know how many jayefers really cares.