Je, Dunia ni battle field ya UJASUSI kati ya ufalme wa Nuru vs ufalme wa Giza?

Je, Dunia ni battle field ya UJASUSI kati ya ufalme wa Nuru vs ufalme wa Giza?

Salaam shalom!!

Maandiko yanasema vita na uasi ulitokea Mbinguni, ndipo Dunia ikaumbwa tukaletwa hapa Kisha shetani pia akatupwa huku tulipo Ili vita iendelee,

Tafsiri hapo ni kuwa, battle ground ya vita ilihamishiwa duniani, sasa twende mbele kujua mambo kadhaa wa kadhaa.

Mifumo yote ya kiuongozi, kiutawala, kiuchumi, kisiasa ni copy and paste Toka Ulimwengu usioonekana.

Kitabu kiitwacho BIBLIA, NENO la Mungu, ni kitabu chenye codes nyingi sana za kijasusi kati ya falme kuu mbili , Ufalme wa Giza na Ufalme wa Nuru.

Tupitie cases ZIFUATAZO;

CASE NO 1.

( Mwanzo 14:18-20).(Hebrews 7:1...)
Ibrahim anampa ZAKA mtu aitwaye MELKIZEDEK, Huyu anaitwa Mfalme wa Salem, na Ufalme wa huyu MELKIZEDEK ni mfalme asiekuwa na mwisho, Hana baba Wala mama, pia ni kuhani.

Hiyo ni code muhimu kujua kuwa huyo alikuwa Si mtu au binadamu wa kawaida.

CASE NO 2.

(Isaya 14:13), (Mwanzo 3:4-5),(Mithali 16:18),( Zaburi 9:20),(Ezekiel 28:1-19).
Anaibuka mtu na kutawala Nchi iitwayo TIRO, Ameandikwa alikuwa na HEKIMA kumzidi Danieli, wakati maandiko yatuambia Daniel alikuwa anaweza Hadi kutuambia Jana uliota nini Kwa uwezo wa Mungu, Mfalme wa TIRO,alitumia HEKIMA zake Kupata utajiri mkubwa,alikuwa kerubi aliyeasi mbingu,Ukisoma vizuri sifa za mtu huyo, mfalme huyo, utagundua kuwa , hakuwa mtu au binadamu wa kawaida Bali alitoka SAYARI Ingine kabisa.

Na hapa Wafalme wengi wa Dunia huvamiwa na kujikuta wanampa huyo Shetani kukalia KITI bila kujua Kwa kujiinua na kutaka kujitukuza na kusifiwa. Ujasusi ukaendelea!!

CASE NO 3.

( Mwanzo 18:15-32).
Watu watatu wanamjia Ibrahim na kuongea naye,

Walipokwisha kula na kuondoka kuelekea Sodoma na Gomora, Cha kushangaza, walifika Sodoma na Gomora watu wawili, mtu wa tatu, haijulikani alipotelea wapi,
Hiyo itoshe tutupa kufahamu kuwa watu wale hawakuwa wa kawaida wa Ulimwengu huu.

CASE NO 4.

( Genesis chapter 1&2).
Uumbaji wa Mtu pia ni Siri kubwa, Kuna uwezekano pia mwanadamu, mtu asili yake Si katika Dunia hii,

Neno la Mungu lasema, na tuumbe mtu Kwa Mfano wetu.

Hilo pekee litupe kujua kuwa sisi pia Si wa kawaida.

CASE NO 5.

( Mathayo 17:1-13).
Elia anatwaliwa akiwa hai kwenda Mbinguni Kwa kutumia gari la farasi liwakalo moto.

Yohana mbatizaji anakatwa KICHWA, baadae Yesu anawaambia wanafunzi wake kuwa, ikiwa mnapenda kuamini, aminini kuwa Elia ndiye Yohana mbatizaji aliyekatwa KICHWA. Ujasusi ukaendelea, watu midomo wazi.

CASE NO 6.

( Mathew chapter 1&2).
Kuzaliwa Kwa Yesu. Maandiko yanataja Yesu katika uzao wa kifalme wa Daudi, na vizazi vinamtaja Yusuph mume wa Maria kama ndiye aliyemzaa Yesu, hapo hapo kumbe WANADAMU wameshapigwa tukio la kijasusi, kumbe Yusuph Si baba wa Damu na nyama wa Yesu, kumbe Yesu ni mtu Kutoka Mbinguni kabisa,

Hadi anapaa Mbinguni, ndipo watu wakaja kujua kuwa kumbe Mungu mwenyewe ndiye alikuja katika mwili wa mwanadamu.

CASE NO 7.

(Job: 1,2,3......)
Toto Tundu ( shetani) linajipitisha Kwa Mungu, Mungu analiuliza, je umemwona mtumishi wangu Ayoub?

Shetani asema, wapi, anakutii sababu umempa Kila kitu, utajiri, Mali ,watoto na umemzungushia ulinzi, ukiviondoa hivyo atakuasi,

Mungu anatoa Ruhusa Ayubu ajaribiwe bila hatankumshirikisha Ayubu, ghafula moto unashuka Toka Mbinguni , unashushwa na shetani na kutekeleza Mali za ayubu, majanga mfululizo yanamfuata.

Ndipo WANADAMU tujue hapa duniani, tunafanyiwa Ujasusi tena wakati mwingi Baba yetu Mungu anaruhusu tupitie magumu Ili aone kama tutaendelea kumtumaini.

CASE NO 8.

Mfalme Daudi a apata wazo kichwani mwake, anawaza ghafula kuwahesabu Wana wa Israel anaowaongoza, na anaita watu na kuwaagiza waanze KAZI ya sensa, Mungu anamkasirikia Daudi na kumwambia, haya Mawazo Wala Si yangu, Wala hayakutoka kichwani mwako, Bali ni Shetani ndiye aliyeleta wazo Hilo nawe umemtii.

Ndipo hapo tujue kuwa hata Mawazo yetu tusiyaamini, tuyapime, yaezakuwa ni Ujasusi wa kifikra tunafanyiwa.

Swali no 1.
Je Ujasusi huu ni Hadi lini?

Swali no 2.
Je, Unajitambua wewe u nani wewe na asili yako?

Swali no 3. Umeshawahi kufanyiwa tukio la kijasusi Kutoka watu wa SAYARI zingine iwe Nuru au Giza?

Karibuni 🙏
Ulichoandika ni uongo
Kabla ya shetani kuasi kulikua na maisha mfano ni uwepo wa mifupa ya dinasaurs na viumbe wengine

Baada ya shetani kuasi vita vilipiganwa kwenye universe yote dhidi ya malaika mikaeli- ila malaika mikael alizidiwa Mungu akampa damu yake ambayo zaman hizo ilikua inaitwa damu ya mwana-kondoo ambayo baadae ikaitwa damu ya Yesu

Ndo maana ukiangalia sayari ya mars, venus, mercury na nyinginezo kulikua na maisha ila yaliharibiwa yote baada ya vita hata uwepo wa black holes ambazo ni nyota zilizokufa ziliharibiwa wakati wa vita kati ya malaika mikael na shetani

Baada ya vita unaona Mungu akirudisha nuru ya jua ndo maana akasema na iwe nuru baada ya hapo akatengeneza dunia kwa kutengeneza dunia kupitia kuweka ozone layer mpaka siku ya sita akawa amemaliza dunia kumbuka sayari nyingine zilikua bado hazijatengenezwa baada ya kuharibiwa na lengo ni mwanadamu aje aendeleze kazi aliyoianza

Kwa hiyo unavyoona mwanadamu anakua na kiu ya space exploration ni lengo la Mungu kabla mwanadamu hajaasi kuendeleza sayari nyingine kumbuka lengo la Mungu hakukua na mauti watu walikua wanazaliwa tu hawafi kabla ya kuasi kwa hiyo sayari zilikua zijae makazi ya wanadamu lakin akakorofisha kupitia adam
 
Salaam shalom!!

Maandiko yanasema vita na uasi ulitokea Mbinguni, ndipo Dunia ikaumbwa tukaletwa hapa Kisha shetani pia akatupwa huku tulipo Ili vita iendelee,

Tafsiri hapo ni kuwa, battle ground ya vita ilihamishiwa duniani, sasa twende mbele kujua mambo kadhaa wa kadhaa.

Mifumo yote ya kiuongozi, kiutawala, kiuchumi, kisiasa ni copy and paste Toka Ulimwengu usioonekana.

Kitabu kiitwacho BIBLIA, NENO la Mungu, ni kitabu chenye codes nyingi sana za kijasusi kati ya falme kuu mbili , Ufalme wa Giza na Ufalme wa Nuru.

Tupitie cases ZIFUATAZO;

CASE NO 1.

( Mwanzo 14:18-20).(Hebrews 7:1...)
Ibrahim anampa ZAKA mtu aitwaye MELKIZEDEK, Huyu anaitwa Mfalme wa Salem, na Ufalme wa huyu MELKIZEDEK ni mfalme asiekuwa na mwisho, Hana baba Wala mama, pia ni kuhani.

Hiyo ni code muhimu kujua kuwa huyo alikuwa Si mtu au binadamu wa kawaida.

CASE NO 2.

(Isaya 14:13), (Mwanzo 3:4-5),(Mithali 16:18),( Zaburi 9:20),(Ezekiel 28:1-19).
Anaibuka mtu na kutawala Nchi iitwayo TIRO, Ameandikwa alikuwa na HEKIMA kumzidi Danieli, wakati maandiko yatuambia Daniel alikuwa anaweza Hadi kutuambia Jana uliota nini Kwa uwezo wa Mungu, Mfalme wa TIRO,alitumia HEKIMA zake Kupata utajiri mkubwa,alikuwa kerubi aliyeasi mbingu,Ukisoma vizuri sifa za mtu huyo, mfalme huyo, utagundua kuwa , hakuwa mtu au binadamu wa kawaida Bali alitoka SAYARI Ingine kabisa.

Na hapa Wafalme wengi wa Dunia huvamiwa na kujikuta wanampa huyo Shetani kukalia KITI bila kujua Kwa kujiinua na kutaka kujitukuza na kusifiwa. Ujasusi ukaendelea!!

CASE NO 3.

( Mwanzo 18:15-32).
Watu watatu wanamjia Ibrahim na kuongea naye,

Walipokwisha kula na kuondoka kuelekea Sodoma na Gomora, Cha kushangaza, walifika Sodoma na Gomora watu wawili, mtu wa tatu, haijulikani alipotelea wapi,
Hiyo itoshe tutupa kufahamu kuwa watu wale hawakuwa wa kawaida wa Ulimwengu huu.

CASE NO 4.

( Genesis chapter 1&2).
Uumbaji wa Mtu pia ni Siri kubwa, Kuna uwezekano pia mwanadamu, mtu asili yake Si katika Dunia hii,

Neno la Mungu lasema, na tuumbe mtu Kwa Mfano wetu.

Hilo pekee litupe kujua kuwa sisi pia Si wa kawaida.

CASE NO 5.

( Mathayo 17:1-13).
Elia anatwaliwa akiwa hai kwenda Mbinguni Kwa kutumia gari la farasi liwakalo moto.

Yohana mbatizaji anakatwa KICHWA, baadae Yesu anawaambia wanafunzi wake kuwa, ikiwa mnapenda kuamini, aminini kuwa Elia ndiye Yohana mbatizaji aliyekatwa KICHWA. Ujasusi ukaendelea, watu midomo wazi.

CASE NO 6.

( Mathew chapter 1&2).
Kuzaliwa Kwa Yesu. Maandiko yanataja Yesu katika uzao wa kifalme wa Daudi, na vizazi vinamtaja Yusuph mume wa Maria kama ndiye aliyemzaa Yesu, hapo hapo kumbe WANADAMU wameshapigwa tukio la kijasusi, kumbe Yusuph Si baba wa Damu na nyama wa Yesu, kumbe Yesu ni mtu Kutoka Mbinguni kabisa,

Hadi anapaa Mbinguni, ndipo watu wakaja kujua kuwa kumbe Mungu mwenyewe ndiye alikuja katika mwili wa mwanadamu.

CASE NO 7.

(Job: 1,2,3......)
Toto Tundu ( shetani) linajipitisha Kwa Mungu, Mungu analiuliza, je umemwona mtumishi wangu Ayoub?

Shetani asema, wapi, anakutii sababu umempa Kila kitu, utajiri, Mali ,watoto na umemzungushia ulinzi, ukiviondoa hivyo atakuasi,

Mungu anatoa Ruhusa Ayubu ajaribiwe bila hatankumshirikisha Ayubu, ghafula moto unashuka Toka Mbinguni , unashushwa na shetani na kutekeleza Mali za ayubu, majanga mfululizo yanamfuata.

Ndipo WANADAMU tujue hapa duniani, tunafanyiwa Ujasusi tena wakati mwingi Baba yetu Mungu anaruhusu tupitie magumu Ili aone kama tutaendelea kumtumaini.

CASE NO 8.

Mfalme Daudi a apata wazo kichwani mwake, anawaza ghafula kuwahesabu Wana wa Israel anaowaongoza, na anaita watu na kuwaagiza waanze KAZI ya sensa, Mungu anamkasirikia Daudi na kumwambia, haya Mawazo Wala Si yangu, Wala hayakutoka kichwani mwako, Bali ni Shetani ndiye aliyeleta wazo Hilo nawe umemtii.

Ndipo hapo tujue kuwa hata Mawazo yetu tusiyaamini, tuyapime, yaezakuwa ni Ujasusi wa kifikra tunafanyiwa.

Swali no 1.
Je Ujasusi huu ni Hadi lini?

Swali no 2.
Je, Unajitambua wewe u nani wewe na asili yako?

Swali no 3. Umeshawahi kufanyiwa tukio la kijasusi Kutoka watu wa SAYARI zingine iwe Nuru au Giza?

Karibuni 🙏
Ni rahisi sana kutengeneza DHANA ambazo hazipo kuliko kubainisha FACT

Wanaotawala dunia kila siku wako busy kufanya tafiti za kisayansi kutafuta namna ya kuzidi kuboresha maisha yetu wakati wengine wanaamini mafanikio yako kwenye code from ancient scriptures zilizoandikwa na ignorant people ili ku fit era yao
 
Hata wewe ni muongo tu

Sayari pekee inayo sapoti life kwa viumbe vilivyopo duniani ni dunia peke yake
Ulichoandika ni uongo
Kabla ya shetani kuasi kulikua na maisha mfano ni uwepo wa dinasaurs na viumbe wengine

Baada ya shetani kuasi vita vilipiganwa kwenye universe yote dhidi ya malaika mikaeli- ila malaika mikael alizidiwa Mungu akampa damu yake ambayo zaman hizo ilikua inaitwa damu ya mwana-kondoo ambayo baadae ikaitwa damu ya Yesu

Ndo maana ukiangalia sayari ya mars, venus, mercury na nyinginezo kulikua na maisha ila yaliharibiwa yote baada ya vita hata uwepo wa black holes ambazo ni nyota zilizokufa ziliharibiwa wakati wa vita kati ya malaika mikael na shetani

Baada ya vita unaona Mungu akawarudisha nuru ya jua ndo maana akasema na iwe nuru baada ya hapo akatengeneza dunia kwa kutengeneza dunia kupitia kuweka ozone layer mpaka siku ya sita akawa amemaliza dunia kumbuka sayari nyingine zilikua bado hazijatengenezwa na lengo ni mwanadamu aje aendeleze kazi aliyoianza

Kwa hiyo unavyoona mwanadamu anakua na kiu ya space exploration ni lengo la Mungu kabla mwanadamu hajaasi kuendeleza sayari nyingine kumbuka lengo la Mungu hakukua na kabla ya kuasi kwa hiyo sayari zilikua zijae makazi ya wanadamu lakin akakorofisha
 
There is some truth to what you say--not exactly that way-- the way, you as a person put it...

The world as 'semi-isolated' realm of 'human experience'--true...

The world as a 'Prison'--Not really so...

The world 'being free' some time ago--this depends upon the 'depth of rational interpretation' pertaining to the notion of 'Being Free/Freedom'...

Being 'Hijacked' and 'Conquered'--not really the case...

Yes the Earth, as a planet from a certain space point of view, is being 'monitored' and 'nurtured'. All this within the viable possibilities -- capable of being both, 'good and/or bad terms'; thus depending upon one's 'depth of comprehensible rational interpretation'.

In overall, those who watch over the Earth, most of them--and within the military capability to intervene if the need occurs, do not really hold 'bad intentions' towards Earthly Affairs and Global Self Determination. However, there are independent 'verdants' in the 'cosmic ecology'. Those 'unwise' who can 'mingle' with Earthly Affairs for private interests and detrimental to 'the temporary Earth game'...

It is just one contextual matter pertaining to the 'exo-politics affairs'... There is a Cosmic 'United Nations' above for certain 'good reason'; not necessarily 'infallible cause' for 'the well beingness of Galactic Ecology'...

'Umoja wa Mataifa' uliyo Juu, na tena wenye kuyatupia macho masuala ya Dunia, mambo yake kuhusu uangalizi wake huo una mengi ambayo hapa Duniani watu hawajaandalika kuyafahamu--lakini sasa, 2024-2036, yanakwenda kufahamika na hakuna wa kuweza kulizuia hili tena.

Duniani, unayoyaona kama 'Umoja wa Mataifa'--harakati za kujenga 'Umoja' na 'Amani' Duniani ni mawazo yaliyoshawishika kutoka 'Juu'... Zipo kanuni zinazozuia 'Umoja wa Kimataifa wa Makabila/Mbari za Manyotani' kuingilia moja kwa moja masuala mbalimbali ya maisha duniani--huitwa >'Elekezo Primu'<.... Elekezo moja lisilo na mbadala kuheshimiwa.

Ni 'elekezo primu' ndlio kwa namna fulani linafanya kama 'maisha duniani' kuwa kama kifungo kwa kuwa yeyote anaweza kutafsiri kumbe 'wadau' wanaona kila kitu lakini 'wanakausha'--inakuwa aje?

Kuna mengi ya kuyafahamu na kuyaelewa ili kumalizana na shauri la kujibu 'mikausho ya wadau kutoka Juu'...

Kiuweli binadamu wote ni raia wa ulimwengu wote mzima--kuzaliwa na kuishi Duniani hakufanyi mtu kuwa wa Duniani peke yake--hayuko kungine kokote...

Sisi wote ni 'Mbegu Nyota'--watu tunaoishi kama wanadamu lakini tunaishi na kungine pia japo fahamu zetu za kawaida zimefumbika macho...

Ni muktadha wa Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0 ndiyo 'itakayotuweka sawa'--kuja kufahamu haya yote na zaidi; hili ndilo hasa kiini cha Yesu kupata kusema "Tafuteni Ufalme wa Mbingu na Haki yake na mengine mtazidishiwa"... Ufalme wa Mbingu uko ndani yetu, ni asili ya sisi kuwa huku na kule, jana-leo-na kesho... Kila mtu anasehemu ya yeye yenye asili ya kutokufa--asili hii ndiyo fumbo la 'Uzima wa Milele'; Duniani, sehemu ya mchezo wa kuishi hapa, ni kuyasahau haya yote na kuanza 'kuhangaika na Dunia'...

Kwa kuwa humu, haya yanakuja kutokana na habari za vitabu vifanyavyo Biblia--kuna mengi yataanza kufahamika kuhusu habari za kwenye masimulizi ya Biblia--'kupanga na kupangua' yale yote umma wa wasomi, wadadisi na zaidi waumini umekuwa 'ukisadiki' ama 'kudhani' ni ukweli wa mambo kama vile inavyowasilishwa hapa na pale nakumbe sivyo hasa...

Watu wa JUU, wanaujuzi na utalaam wa mengi kupita hata kawaida tuliyoizoea hapa Duniani. Wanaweza kulala kwenye 'viambaza-mwili vya maji ama hewa' na halafu wakazaliwa Duniani kama watu, kuishi toka kuzaliwa hadi kufa; Ama wanaweza moja kwa moja 'Wakashuka' kama wanadamu na kuishi na wanadamu na tena kama wanadamu kwa muda unaowafaa wao na 'mipango yao'...

Hao wanaoweza kushuka moja kwa moja na kuishi na wanadamu ni wale wenye 'Miili na Mionekano' kama wanadamu; lakini huko JUU siyo kila kiumbe-mtu ni 'Mwanadamu'...

Duniani, historia ya 'Watu kutoka Juu' kushuka duniani na kuwa Miungu miongoni mwa wanadamu si habari ngeni... Watu hawa huitwa 'Miungu' ama hata 'Malaika'--pia 'Askari wa Jeshi la Mbinguni'...

2 Wafalme 23:4

View: https://www.youtube.com/watch?v=fAvAQrDOE6k

Kuna namna basi, hata pamoja na uwepo wa 'Elekezo Primu'--mara kwa mara watu wa Juu hulivunja na kuchangamana na watu wa Duniani na basi wakati mwingine kuhamishia 'uhasimu' wa 'Wana wa Miungu' kuwa na baadhi ya watu na mataifa hapa duniani...

Mambo mengi yanayosomwa kwenye habari za simulizi za Biblia ni drama za 'Wanadamu' na 'wana wa Miungu'... Iwe habari za 'mambo ya makuhani' na utundu wa 'madhabahu': mambo ya 'Maagano' ama/na 'upatanisho'--mawasiliano ya kimaingiliano ya utamaduni na ustawi na viumbe watu kutoka Juu...

Dini zote ni muktadha wa 'Miundo thibitifu' ya Utamaduni na Ustawi wa watu... Ni biashara isiyobudi kuwepo kulingana na 'ufahamu pofu/hafifu wa kibinadamu' dhidi ya urithi wa kimbingu uliyo ni mawezekano wa wanadamu wote-- 'Uwezo/Utukufu/Maarifa/Ufahamu wa Uzima wa Milele'.

Karne hii ya 21, hili ndilo leta shauri la 'Kurejea kwa Kristu'--Kristu ni Ufahamu; Ufahamu unakomboa mtu kutoka kwenye 'jela ya kufikirika'--Matriksi...

Hmmm

Mark 3:11

View: https://www.youtube.com/watch?v=SDkAGkd4NLc

A very deep and profound explanation.

However, i wish to challenge it on grounds of some factual contradictions which stand in your line of argument.

Today at night. See you.
 
Acha uvivu wa kusoma soma tena uzi kwa umakini
Unasoma tu juu juu alafu unacomment

Bibilia haijui chochote kuhusu Solar system wala kuhusu milky way wala kuhusu black hole

Milky way, Bkack hole na sayari zilizokufa bado ni theories za kisayansi tu na hazijawa scientific proof

Mnapotumia ancient books zenu kuanza kutafuta namna ya kutafuta aya ku fit kwenye vumbuzi mpya za kisayansi hapo mnakua mnatudanganya

Ni bora mbaki kwenye mambo yenu ya “kiroho”
 
Bibilia haijui chochote kuhusu Solar system wala kuhusu milky way wala kuhusu black hole

Milky way, Bkack hole na sayari zilizokufa bado ni theories za kisayansi tu na hazijawa scientific proof

Mnapotumia ancient books zenu kuanza kutafuta namna ya kutafuta aya ku fit kwenye vumbuzi mpya za kisayansi hapo mnakua mnatudanganya

Ni bora mbaki kwenye mambo yenu ya “kiroho”
Bibliq imeelezea vizuri dunia na universe kuliko kitabu chochote kile hapa duniani
Kama huiamini pole
 
Ulichoandika ni uongo
Kabla ya shetani kuasi kulikua na maisha mfano ni uwepo wa dinasaurs na viumbe wengine

Baada ya shetani kuasi vita vilipiganwa kwenye universe yote dhidi ya malaika mikaeli- ila malaika mikael alizidiwa Mungu akampa damu yake ambayo zaman hizo ilikua inaitwa damu ya mwana-kondoo ambayo baadae ikaitwa damu ya Yesu

Ndo maana ukiangalia sayari ya mars, venus, mercury na nyinginezo kulikua na maisha ila yaliharibiwa yote baada ya vita hata uwepo wa black holes ambazo ni nyota zilizokufa ziliharibiwa wakati wa vita kati ya malaika mikael na shetani

Baada ya vita unaona Mungu akawarudisha nuru ya jua ndo maana akasema na iwe nuru baada ya hapo akatengeneza dunia kwa kutengeneza dunia kupitia kuweka ozone layer mpaka siku ya sita akawa amemaliza dunia kumbuka sayari nyingine zilikua bado hazijatengenezwa na lengo ni mwanadamu aje aendeleze kazi aliyoianza

Kwa hiyo unavyoona mwanadamu anakua na kiu ya space exploration ni lengo la Mungu kabla mwanadamu hajaasi kuendeleza sayari nyingine kumbuka lengo la Mungu hakukua na kabla ya kuasi kwa hiyo sayari zilikua zijae makazi ya wanadamu lakin akakorofisha
Hii elimu umeitoa wapi?

Please tell me that its from the holy spirit and i will instantly believe you...pleeeease
Bibliq imeelezea vizuri dunia na universe kuliko kitabu chochote kile hapa duniani
Kama huiamini pole
Mkuu, nnaomba code..
 
Yesu sio mfano wa Melkizedeki, la hasha. Ni aidha Yesu ndie Melkizedeki, au Ni Mungu mwenyewe, au ni Roho Mtakatifu.

Yeye ndie mfalme wa Amani, hana mwanzo wala mwisho, kila kilichoelezewa kwenye Mwanzo ndio kimedhihirika kwenye Waebrania 7...sasa hapo upewe nini tena cha kuelewa...kama kweli na wewe ni jasusi, unamalizia tuu ku-decode kisha unakula madini.

Its clear.

Leo ndio nimepata kuelewa mtu wa tatu ambaye hakufa..kwa undani zaidi.

Ahsante sana mtoa mada, Mungu akubariki
Habari Mkuu! Man Jau..
Kuhusu maandiko Kuwa Ni mfano wa Yesu si mimi niliesema Ni biblia..

Waebrania 5:5-6

"Vivyo hivyo Kristo naye hakujitukuza nafsi yake kufanywa kuhani mkuu, lakini yeye aliyemwambia,
Ndiwe mwanangu,
Mimi leo nimekuzaa.
kama asemavyo mahali pengine,
Ndiwe kuhani milele
Kwa mfano wa Melkizedeki."



Waebrania 6:20

"alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa kuhani mkuu hata milele
kwa mfano wa Melkizedeki."


Waebrania 7:11

"Basi, kama ukamilifu ulikuwapo kwa ukuhani wa Lawi; (maana watu wale waliipata sheria kwa huo);
kulikuwa na haja gani tena ya kuhani mwingine ainuke, kwa mfano wa Melkizedeki, wala asihesabiwe kwa mfano wa Haruni?"


Waebrania 7:15

Tena hayo tusemayo ni dhahiri sana zaidi, ikiwa
ametokea kuhani mwingine mithili ya Melkizedeki;


ninaweza Kumention alot of Verse lakin hazitasaidia kama hutaelewa

Naweka Angalizo swala la Melchizedek liliwashinda walimu na Mafarisayo na hasa Wanafunzi wa Paulo na wanafunzi wengi hawakuelielewa Sio swala Dogo kama tunavyofikiria na Kusema tu ni fulani..

mwandishi wa Waebrania anasema kuhsu swala la Melchizedek akiwaambia Wenye Elimu na wanafunzi wake pia...


Waebrania 5:10-14

"kisha ametajwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

Ambaye tuna maneno mengi ya kunena katika habari zake; na ni shida kuyaeleza kwa kuwa mmekuwa wavivu wa kusikia.

Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.

Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.

Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya"
 
Mimi nami niweze ku share kidogo ktk mapito yangu na Maisha ya imani . Miaka 5 hivi iliyopita nilipokutana na nguvu isiyo ya kawaida ni kapata Neema ya kuona( Macho ya kiroho) na kujua ya kuwa kuna Ulimwengu usionekana na Falme mbili zinazotikisa na kuongoza Ulimwengu huu. Mimi nilipata uwezo wa kuona in short dunia ina mafumbo mengi ila kama wew ni mwanadamu na hujui kuhusu Ulimwengu wa Roho , kiwango chako cha Siri na mambo mengi ktk Dunia hii uko chini sana. Nitazungumzia Tukio la kimuujiza ktk siku mbili , siku ya kwanza nilijaribu kulala, nilikuwa nimechoka sana kutoka Kwenye kazi ya usiku ,(night shift)so nilipiga magoti nikasali kwa dk kama 5 tu then nikilala, kiasili mimi ni mtu wa vita sana ktk Ulimwengu wa Roho nimezoea hali hio. So mwili ukaanza kuwa na mtetemo kuna hali ya kujazwa Roho mtakatifu so nikaona sasa Roho yangu inaenda juu kutoka mbingu ya kwanza, ikaja mbingu ya pili mpaka mbingu ya tatu. Mimi sasa akilini inaniambia kuwa dunia hii ndo basi tena, Sasa nikawa nasikia sauti watu wana imba kama kwa chini hali ya mbingu hio ni uzuri wa ajabu sana, ghafla Roho ikaanza kushuka chini , Sasa kuna maneno nikawa nayatamka ya ukiri wa ukuu na utukufu wa huyo Mungu aliyeumba vitu vyote , so Roho ikashuka chini mpaka nikaona watu wanaenda kanisani ni baba na binti.Hapo sasa nikashituk kutok katik Ulimwengu wa Roho na kuwa katika hali ya kawaida hio ni Jumanne Asubuhi so nikapumzika nikaenda ktk kazi yangu kama kawaida Jumanne ya siku hio nikalala tu, sikutaka kufanya maombi niliwaza hawa wachawi na mapepo sio size yangu so nikalala tu , Asubuhi yake Jumatano kama Muda ya saa tatu kikaja kiumbe kina umbo la buibui ( Spider) kwa macho ya kiroho kikaanza Kutema Moshi chumba kizima nikapata hali ya kupaliwa na kukohoa. Hii ni moja ya attempt ya Roho ya mauti nilifanyiwa ktk Maisha yangu ya kiroho 🙏🏾🥲 . Sasa nikawa nimezidiwa sana , halafu ni kama imani ilitikiswa sana . Hapa kuna code mbili mnajua maana ya Spiders 🕷️ na imani ( faith)
Hizo ni code spider ni symbol kubwa ya adui na wafuasi wake hupenda kuitumia. Imani ni weapon ktk Maisha ya ukristo , ukiwa na imani you can do any thing at any time.
Rejea Math 17:20 , pia rejea ktk umbaji jinsi kwa imani Mungu alivyokua akiumba vitu Mwanz 1:3-5 hapa sasa kuna suala la imani pamoja na kutamka hii kitu wanadamu wengi Hawajui. Sasa ktk hali hio nikaona nguvu na sauti isiyo ya kawaida ikizungumza ndani yangu , Ilisema kwa Mamlaka niliyopewa na Baba , Mwana na Roho mtakatifu nakuamuru (command) uache .Hapa ulitajwa utatu mtakatifu ktk hali ya ajabu sana kwa kweli .Wakati huo mkono wangu wa kulia( kiume) uliunuliwa kwenda juu , kuelekea kwa kile kiumbe ghafla kikata kona kwa maana ya kugeuka na kuanza kurudi nyuma, sauti ikasema……… .. Mwanangu hapa lilitajwa jina langu na Mwanangu . Sasa hapa nikaambiwa na pole . Hapo machozi yalikuwa yanatoka sasa nikawa najiuliza kwanini kile kiumbe kije kunishambulia na kwanini hii mamlaka ya juu iliruhusu na inalijua jina langu kiukweli nina majibu ya maswali yote , sema ni kwa kuwa hali ya Tukio lilivyokuwa. Kwa upande wa hio mamlaka iliyoniokoa Sikuona kitu chochote zaidi ya hio sauti kuwa ndani yangu ,yaani maelekezo yanatoka ndani kwa ndani Sasa hapo ndo ujiulize pia soma..
“Je, hamjui kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, ambaye mlimpokea kutoka kwa Mungu? Nyinyi basi, si mali yenu wenyewe.”
‭‭1 Wakorintho‬ ‭6‬:‭19‬ ‭BHN‬‬
Hapo kiukweli nilishangaa sana pia code ya pili ni jina , jina la kiroho ndio msingi wa Maisha na utambulisho wako tuwe makini na majina yetu na ya watoto wetu.
Hivyo sio tu uwanja wa ujasusi ila kuna vita kali na kuna mambo mengi sana .
Mwisho kama mtu anataka ushahidi wa code au Alama ya buibui Nitaweza weka huku kwa ufananuzi fulani wa picha , watu watashangaa sana wale wasio amini.
Mwaka huu Mungu akinipa kibali nitaandika kitabu kuweza ku share Siri na mafumbo ktk Ulimwengu huu na na namna Ulimwengu wa kiroho ( usionekana unavyo fanya kazi). Kitabu kitakuwa bure kabisa Nikifanikiwa kuandika .
Yako mambo mengi sana. Mungu tusaidie wanao 🙏🏾
 
Mimi nami niweze ku share kidogo ktk mapito yangu na Maisha ya imani . Miaka 5 hivi iliyopita nilipokutana na nguvu isiyo ya kawaida ni kapata Neema ya kuona( Macho ya kiroho) na kujua ya kuwa kuna Ulimwengu usionekana na Falme mbili zinazotikisa na kuongoza Ulimwengu huu. Mimi nilipata uwezo wa kuona in short dunia ina mafumbo mengi ila kama wew ni mwanadamu na hujui kuhusu Ulimwengu wa Roho , kiwango chako cha Siri na mambo mengi ktk Dunia hii uko chini sana. Nitazungumzia Tukio la kimuujiza ktk siku mbili , siku ya kwanza nilijaribu kulala, nilikuwa nimechoka sana kutoka Kwenye kazi ya usiku ,(night shift)so nilipiga magoti nikasali kwa dk kama 5 tu then nikilala, kiasili mimi ni mtu wa vita sana ktk Ulimwengu wa Roho nimezoea hali hio. So mwili ukaanza kuwa na mtetemo kuna hali ya kujazwa Roho mtakatifu so nikaona sasa Roho yangu inaenda juu kutoka mbingu ya kwanza, ikaja mbingu ya pili mpaka mbingu ya tatu. Mimi sasa akilini inaniambia kuwa dunia hii ndo basi tena, Sasa nikawa nasikia sauti watu wana imba kama kwa chini hali ya mbingu hio ni uzuri wa ajabu sana, ghafla Roho ikaanza kushuka chini , Sasa kuna maneno nikawa nayatamka ya ukiri wa ukuu na utukufu wa huyo Mungu aliyeumba vitu vyote , so Roho ikashuka chini mpaka nikaona watu wanaenda kanisani ni baba na binti.Hapo sasa nikashituk kutok katik Ulimwengu wa Roho na kuwa katika hali ya kawaida hio ni Jumanne Asubuhi so nikapumzika nikaenda ktk kazi yangu kama kawaida Jumanne ya siku hio nikalala tu, sikutaka kufanya maombi niliwaza hawa wachawi na mapepo sio size yangu so nikalala tu , Asubuhi yake Jumatano kama Muda ya saa tatu kikaja kiumbe kina umbo la buibui ( Spider) kwa macho ya kiroho kikaanza Kutema Moshi chumba kizima nikapata hali ya kupaliwa na kukohoa. Hii ni moja ya attempt ya Roho ya mauti nilifanyiwa ktk Maisha yangu ya kiroho 🙏🏾🥲 . Sasa nikawa nimezidiwa sana , halafu ni kama imani ilitikiswa sana . Hapa kuna code mbili mnajua maana ya Spiders 🕷️ na imani ( faith)
Hizo ni code spider ni symbol kubwa ya adui na wafuasi wake hupenda kuitumia. Imani ni weapon ktk Maisha ya ukristo , ukiwa na imani you can do any thing at any time.
Rejea Math 17:20 , pia rejea ktk umbaji jinsi kwa imani Mungu alivyokua akiumba vitu Mwanz 1:3-5 hapa sasa kuna suala la imani pamoja na kutamka hii kitu wanadamu wengi Hawajui. Sasa ktk hali hio nikaona nguvu na sauti isiyo ya kawaida ikizungumza ndani yangu , Ilisema kwa Mamlaka niliyopewa na Baba , Mwana na Roho mtakatifu nakuamuru (command) uache .Hapa ulitajwa utatu mtakatifu ktk hali ya ajabu sana kwa kweli .Wakati huo mkono wangu wa kulia( kiume) uliunuliwa kwenda juu , kuelekea kwa kile kiumbe ghafla kikata kona kwa maana ya kugeuka na kuanza kurudi nyuma, sauti ikasema……… .. Mwanangu hapa lilitajwa jina langu na Mwanangu . Sasa hapa nikaambiwa na pole . Hapo machozi yalikuwa yanatoka sasa nikawa najiuliza kwanini kile kiumbe kije kunishambulia na kwanini hii mamlaka ya juu iliruhusu na inalijua jina langu kiukweli nina majibu ya maswali yote , sema ni kwa kuwa hali ya Tukio lilivyokuwa. Kwa upande wa hio mamlaka iliyoniokoa Sikuona kitu chochote zaidi ya hio sauti kuwa ndani yangu ,yaani maelekezo yanatoka ndani kwa ndani Sasa hapo ndo ujiulize pia soma..
“Je, hamjui kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, ambaye mlimpokea kutoka kwa Mungu? Nyinyi basi, si mali yenu wenyewe.”
‭‭1 Wakorintho‬ ‭6‬:‭19‬ ‭BHN‬‬
Hapo kiukweli nilishangaa sana pia code ya pili ni jina , jina la kiroho ndio msingi wa Maisha na utambulisho wako tuwe makini na majina yetu na ya watoto wetu.
Hivyo sio tu uwanja wa ujasusi ila kuna vita kali na kuna mambo mengi sana .
Mwisho kama mtu anataka ushahidi wa code au Alama ya buibui Nitaweza weka huku kwa ufananuzi fulani wa picha , watu watashangaa sana wale wasio amini.
Mwaka huu Mungu akinipa kibali nitaandika kitabu kuweza ku share Siri na mafumbo ktk Ulimwengu huu na na namna Ulimwengu wa kiroho ( usionekana unavyo fanya kazi). Kitabu kitakuwa bure kabisa Nikifanikiwa kuandika .
Yako mambo mengi sana. Mungu tusaidie wanao 🙏🏾
Ahsante Kwa mchango wako 🙏

Share nasi zaidi ukiridhia kufanya hivyo.
 
Ujasusi unaendelea,

Kumbe aketiye katika KITI Cha enzi Mbinguni, mikono yake Ina matundu ya misumari. Na ni mfano wa mtu kabisa!!

Sasa waliomchoma mkuki na kumsulubisha nini kitawakuta🤔
 
Back
Top Bottom