Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilikua nauliza kwamba wanafunzi wa vyuo vikuu hivi huwa wanameza notice kama wanafunzi wa olevl na a-lvl
hehehehehe..! Mbona makubwa?!..hivi mkuu kwani hakuna usimamizi ndani ya chumba cha mtihani?
na paper fake pia zipo.Usiseme kumeza tu dogo,hata kupigana chabo kwenye paper kupo!