Usiwe na shaka.
Saidia tu kuiondoa CCM na wabunge wake vilaza kuna kazi ya kujenga upya jiji la Dar Mitaa yake, brabara zake na mifereji yake ya maji machafu.
Kutakuwa na mradi wa nguvu wa kulifanya jiji la Dar liweze kubeba watu 25,000,000 bila matatizo yeyote.
Fikiria sehemu ndogo ya eneo kama eneo la yale maghorofa ya Msajiri Ubungo itakuwa na uwezo wa kuhifadhi familia 3000 kw wastan wa vyumba vitatu kila familia bila matatizo.
Usafiri wa Vipanya vinavyomiliiwa na Wawaziri, Wakuu wa polisi, Majenerari wa jeshi, Usalama wa Taifa na hata abalozi wa wetu itkuwa ni historia ya zama za giza na machafuko.
Tutakuwa na mabasi makubwa kama yale ya Icarus enzi za UDA yaliyo madogo yatabeba abiria 75
Umeme utawaka usiku na mchana uonavyo jua na utakuwa wa uhakika kama kuvuta hewa.
Ulisha wahi kusikia mgao wa jua? Kwamba leo linawaka Msasani Manzese walietu?
Mgao wa jua unawezekana tu kama CCM wataendelea kuund serikali ya JMT.
Kutakuwa na barabara za kupita juu kwa juu za kwenda kai ya maili 120KM/saa zikiwa zimebebwa na miguzo ya nguvu ya cement kutoka picha ya ndege,pugu,Boko,Geza ulole mbagala hadi city center.
Cement tunayo
Nondo tunazo
Mchanga Tunao
Kokoto ziko kibao
Mafundi mpo mmejaa tele.
Hapa Mechanical engineers,Water engineers, soil chemistry engineers, civil engineers, electrical engineers, surveyors, Archetercture engineer na environmenta engineer watakutana na kuwek Bongo ao pamoja kutengeneza barabara za nguvu za juju kwa juu katika jiji la Bandari Salama Akina Kikwete Mkapa Mwinyi na wababaishaji wengine wote wa CCM watashuhudia mageuzi haya makuuwakiwa hai.
Utakuwa mwisho wa kila nyumba kuchimba shimo la choo vinyesi harufu kuzagaa kila kona
Utakuwa mwisho wa mafuriko kujitakia jijini Dar
Mifereji ya chini kwa chini yenye uwezo wa kubeba maji yote machfu itajengwa bila kubomoa nyumba ya mtu yeyote. Utaalamu huo upo na umetumika mahali pengi duniani isipo kuwa Tanzania
Dogo kila kitu kipo tatizo ni Uongozi wa serikali ya CCM tu.
"Engineers always build the World"...ingawa sina kazi lakini am proud to be an engineer....mi nimefanya Civil Engineer na bado nahaso huku kitaa lakini sijakata tamaa coz I knw one day YES....na ni kweli mainjinia wengi wanasota huku kitaa hili halina ubishi.
Lakini ni future nzuri sana kuwa engineer than doing BCom or accounts!!