Je Erythrocyte ni chawa au mwanaharakati?

Je Erythrocyte ni chawa au mwanaharakati?

KHM 1995

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
461
Reaction score
729
Erythrocyte ni red blood cell inayohusika na usafirishaji wa oxygen kutoka kwenye lung kwenda kwenye tissue za mwili vilevile inahusika na usafirishaji dioksidi kaboni(carbon dioxide) kutoka kwenye tissue za mwili kwenda kwenye lung

Mr. Erythrocyte unathamani kubwa sana kwa sisi kingdom Animalia,lakin kuna kitu umekosa ambacho ni utashi wa kuamua kusimama upande gani, hiki kitu kinafuta misimamo na itikadi zako zote ulizosimamia, lakini nafasi ya kuadjust makosa uliyofanya bado unayo, kuna kitu tunataka tufahamu uko timu gani timu Mbowe au timu lissu??,usiwe kama Malisa GJ ambaye ametulia kama anapima ukubwa wa mawimbi ya bahari🤝🤝🤝
 
Hakuna chawa chadema..wafate huko wanakozalishwa na kutunzwa wazaliane! Usijitoe ufahamu kwa jambo liko wazi..
Naona anajisahaulisha kuwa wa chadema ni nyumbu siyo chawa!
Kuhusu Erythrocyte, huyu manzi ni timu mbowe piga ua galagaza. Sisi tunaomjua vizuri tunalijua hilo kwa undani. Ngoja niishie hapo!
 
Huyo ni hawara wa mbowe tena amezalishwa watoto wanne, hvy nawaomba wanachadema mumpe kura Mr. Mbowe ili atleast tupunguze idadi ya single mothers mtaani, japokuwa binafsi namkubali Lissu dhidi ya mbowe ila kwa amani ya moyo wa mwanamama Erythrocyte naomba mbowe apite kwa kishindo, mana akishindwa hy inakuwa talaka automatically
 
Erythrocyte ni red blood cell inayohusika na usafirishaji wa oxygen kutoka kwenye lung kwenda kwenye tissue za mwili vilevile inahusika na usafirishaji dioksidi kaboni(carbon dioxide) kutoka kwenye tissue za mwili kwenda kwenye lung

Mr. Erythrocyte unathamani kubwa sana kwa sisi kingdom Animalia,lakin kuna kitu umekosa ambacho ni utashi wa kuamua kusimama upande gani, hiki kitu kinafuta misimamo na itikadi zako zote ulizosimamia, lakini nafasi ya kuadjust makosa uliyofanya bado unayo, kuna kitu tunataka tufahamu uko timu gani timu Mbowe au timu lissu??,usiwe kama Malisa GJ ambaye ametulia kama anapima ukubwa wa mawimbi ya bahari🤝🤝🤝
Wewe ni mwandishi au Kanjanja???
 
Naona anajisahaulisha kuwa wa chadema ni nyumbu siyo chawa!
Kuhusu Erythrocyte, huyu manzi ni timu mbowe piga ua galagaza. Sisi tunaomjua vizuri tunalijua hilo kwa undani. Ngoja niishie hapo!
Wewe ita majina yote unayojua..t speaks nonsense n stupidity, wenye chama wanajua zaidi yako wewe vuvuzela unayeshiba kwa kupiga kelele km juha!
 
Tabia za wanawake ni kuwa vigeugeu,
Mwaka fulani kipindi cha JPM, huyu dada Erythrocyte aliwahi kuleta mada ety anamshutumu JPM kwa kuruhusu wanafunzi kuwepo kwenye mikutano yake, sasa mwaka huu au mwaka jana hv kwenye mikutano ya chadema nae mbowe akafanya hvy hvy, sasa huyu hawara wa mbowe mrembo Erythrocyte akaja kusifia ety wale wanafunzi wanajua demokrasia ilipo.
 
Erythrocyte
Kwa wakongwe enzi za kujiachia alirusha mengi yake hata sura eeeeh

Napenda habadiliki, ila kama kapumzika basi kuna jambo. Na nimeona kuna kitu kapoa ila 2025 yaja tuyajenge kwa furaha humu mapambwanoooo 😅😅😅🤗

Jeshi la mtu mmoja humu JF kivyake.. Wampe posho
 
Erythrocyte ni red blood cell inayohusika na usafirishaji wa oxygen kutoka kwenye lung kwenda kwenye tissue za mwili vilevile inahusika na usafirishaji dioksidi kaboni(carbon dioxide) kutoka kwenye tissue za mwili kwenda kwenye lung

Mr. Erythrocyte unathamani kubwa sana kwa sisi kingdom Animalia,lakin kuna kitu umekosa ambacho ni utashi wa kuamua kusimama upande gani, hiki kitu kinafuta misimamo na itikadi zako zote ulizosimamia, lakini nafasi ya kuadjust makosa uliyofanya bado unayo, kuna kitu tunataka tufahamu uko timu gani timu Mbowe au timu lissu??,usiwe kama Malisa GJ ambaye ametulia kama anapima ukubwa wa mawimbi ya bahari🤝🤝🤝
ni wazi huyu muungwana ni mercenary 🐒
 
Erythrocyte
Kwa wakongwe enzi za kujiachia alirusha mengi yake hata sura eeeeh

Napenda habadiliki, ila kama kapumzika basi kuna jambo. Na nimeona kuna kitu kapoa ila 2025 yaja tuyajenge kwa furaha humu mapambwanoooo 😅😅😅🤗

Jeshi la mtu mmoja humu JF kivyake.. Wampe posho
Sidhani kama anahitaji posho kama wale wengine😂 Ambao hawafanyi jambo mpaka waahidiwe chochote
 
Huyo ni hawara wa mbowe tena amezalishwa watoto wanne, hvy nawaomba wanachadema mumpe kura Mr. Mbowe ili atleast tupunguze idadi ya single mothers mtaani, japokuwa binafsi namkubali Lissu dhidi ya mbowe ila kwa amani ya moyo wa mwanamama Erythrocyte naomba mbowe apite kwa kishindo, mana akishindwa hy inakuwa talaka automatically
Nasapoti
 
Back
Top Bottom