CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Genta ni mwanaccm kindakindaki haoni sababu kujihusisha na mambo ya ndani ya Chadema.Nchi hii genta,fela ,yeye kweli ujanja wote ule anajua tu mambo ya Simba na yanga tu.....Toka mtanange huu utokee sioni vitu vyake
Hata mimi najua Erythrocyte ni chawa promax wa Mbowe, lakini kwenye hili la uchaguzi wa Mwenyekiti ameonesha ukomavu flani hivi wa kutoonesha yupo upande gani waziwazi ingawa tunajua kama ni mpiga kura atampa Mbowe!Naona anajisahaulisha kuwa wa chadema ni nyumbu siyo chawa!
Kuhusu Erythrocyte, huyu manzi ni timu mbowe piga ua galagaza. Sisi tunaomjua vizuri tunalijua hilo kwa undani. Ngoja niishie hapo!
Nilishasema hivi, Niko Chadema tuErythrocyte ni red blood cell inayohusika na usafirishaji wa oxygen kutoka kwenye lung kwenda kwenye tissue za mwili vilevile inahusika na usafirishaji dioksidi kaboni(carbon dioxide) kutoka kwenye tissue za mwili kwenda kwenye lung
Mr. Erythrocyte unathamani kubwa sana kwa sisi kingdom Animalia,lakin kuna kitu umekosa ambacho ni utashi wa kuamua kusimama upande gani, hiki kitu kinafuta misimamo na itikadi zako zote ulizosimamia, lakini nafasi ya kuadjust makosa uliyofanya bado unayo, kuna kitu tunataka tufahamu uko timu gani timu Mbowe au timu lissu??,usiwe kama Malisa GJ ambaye ametulia kama anapima ukubwa wa mawimbi ya bahari🤝🤝🤝
Sababu za wewe kuniita Chawa ni zipi?Hata mimi najua Erythrocyte ni chawa promax wa Mbowe, lakini kwenye hili la uchaguzi wa Mwenyekiti ameonesha ukomavu flani hivi wa kutoonesha yupo upande gani waziwazi ingawa tunajua kama ni mpiga kura atampa Mbowe!
Nimekuja MkuuErythrocyte popote ulipo uje
Kiunyonge tuNilishasema hivi, Niko Chadema tu
Mkuu hii mada sikufanikiwa kuiona, katika kupekua pekua humu jf ndio nimekutana nayo, Sikudhani kama kuna siku nitakuja kujadiliwa kwa kina namna hii!Sidhani kama anahitaji posho kama wale wengine😂 Ambao hawafanyi jambo mpaka waahidiwe chochote
GENTAMYCINENchi hii genta,fela ,yeye kweli ujanja wote ule anajua tu mambo ya Simba na yanga tu.....Toka mtanange huu utokee sioni vitu vyake
Ahahahahaha!!! Zilezile za chawa wa CCM! Ahahahahaha!!Sababu za wewe kuniita Chawa ni zipi?