Je eti diclopar ina madhara kwa watumiaji?

Je eti diclopar ina madhara kwa watumiaji?

Joined
Jul 4, 2017
Posts
22
Reaction score
4
Kama uzi tajwa hapo naomba kujuzwa madhara ya diclopar Kama kidonge cha kutuliza maumivu mfano mtu anapoumwa na Jino akiweka kwenye jino linalouma Mara moja maumivu yanakata afu pia hua nasikia mama aliyejfungua kwa oporeshen haruhsiw kutumia ikiwa nyuzi bado hazijatolewa.


Nawasilisha
 
Diclopar ni mchanganyiko wa paracetamol na diclofenac. Side effects ni pamoja na abdominal pain, diarrhoea, nausea and vomiting, skin rash na tinnitus
Samahan naomba kujua kama we ni daktar, nesi au mphamasia
 
Back
Top Bottom