Emmanuel kamuli
Member
- Jul 4, 2017
- 22
- 4
Kama uzi tajwa hapo naomba kujuzwa madhara ya diclopar Kama kidonge cha kutuliza maumivu mfano mtu anapoumwa na Jino akiweka kwenye jino linalouma Mara moja maumivu yanakata afu pia hua nasikia mama aliyejfungua kwa oporeshen haruhsiw kutumia ikiwa nyuzi bado hazijatolewa.
Nawasilisha
Nawasilisha