Hayo mabilioni yanayochukuliwa mbele za macho ya jk na kuendelea kuwateua wengine ambao bado wana kashfa za ufisadi kwenye baraza la mawaziri ndio sifa a kuendelea kuwa raisi?
1. Kinachoendelea bungeni ninakielewa mkuu, upinzani huanzisha hoja ambazo baadaye CCM huamua kuzijibu either kwa maneno au kwa vitendo, baada ya mashambulizi ya upinzani yaaani ya kina Slaaa, dhidi ya ufisadi, CCM walijua kuwa kuna mengi yanakuja ndio maana wakaanza kujitayarisha na hata kulishughulikia hili la Richmonduli, ninaomba kukuuliza bila upinzani bungeni CCM wangelishughulikia hili? Ndio maana ya kushinikizwa mkuu, maana sio ni yako ila unalazimishwa na another force, kwa hiyo hapo huna hoja mkuu.
mbona adolf hitler aliiongoza ujerumani na kuwakamua mavi wahayudi waliojiita taifa la mungu?
mbona Idd Amini aliiongoza Uganda na mpaka sasa Uganda ina uchumi mzuri kuliko Tz ya Nyerere mwenye akili timamu?
mbona bush na ulevi wake anaiogoza US na anakuja hapa tunampayukia?
machiz ndio viongozi wazuri bwana. sio akina nyerere waliongoza lakini wakatuachia umaskini na viongozi vichaa?
tunaitaji sura mpya.
biashara yake inamwingizia fedha za kuweza kuhimili mikikimikiki ya uchaguzi.
mnafikiri akiifunga ile bilkanas umalaya utaisha bongo? yeye ni mmiliki na sio mwendeshaji. mbona hamuongelei biashara zake nyingine?
koma koma komeni na muikome chadema yate vijana wa kizazi kipya.
ijadili CCM inayowaingiza malaya bungeni viti maalumu kwa kupokea uroda.
Ukweli ni kwamba inasikitisha sana wanapoandika the shallows hapa JF, na kujaribu kuvihusisha vyama vya siasa nchini behind their low IQs,
Freeman, kama anaweza au hawezi kuwa rais sijui, ila one interview kwenye TV tena ya bongo, sidhani kama ndio inaweza kuwa the litmus test ya urais wetu bongo,
Kitila Mkumbo, yes ni one of greatest kichwa ndani ya hii forum, with a great future in our bongo's politics, but, it is Freeman, aliyei-elevate Chadema to the national level kuweza kuwapa platform kina Slaa na Zitto, kusikika na kuanzisha hoja zilizoishia kuwashinikiza CCM kumng'oa Lowassa, na wenziwe!
Mkuu wangu Mtu Wa Pwani, be careful na the low minds maana wewe ni mtu makini.
MKUU FMES,
PAMOJA NA MAELEZO YAKO MAZURI, PLEASE JIBU SWALI KAMA MBOWE ANAFAA AU HAFAI.
Siku zote nilikuwa nadhani, Mbowe ni mtu mwenye uelewa mkubwa sana!!! Kwa mshangao mkubwa, walipokuwa wanahojiwa TVT mbowe, Warioba, Butiku, Hamad rashid na Mama malechela. Wakati Butiku anaeleza utaratibu wa Rais kuteua mawaziri, anaweza kushirikiana na Waziri mkuu, Mbowe akaingilia na MAKAMU WA RAISI!!!! wale wazee wakamwambia! Hapana kijana, VP hahusiki!!! Nahisi, Mbowe aliona aibu!!!
Siku zote nilikuwa nadhani, Mbowe ni mtu mwenye uelewa mkubwa sana!!! Kwa mshangao mkubwa, walipokuwa wanahojiwa TVT mbowe, Warioba, Butiku, Hamad rashid na Mama malechela. Wakati Butiku anaeleza utaratibu wa Rais kuteua mawaziri, anaweza kushirikiana na Waziri mkuu, Mbowe akaingilia na MAKAMU WA RAISI!!!! wale wazee wakamwambia! Hapana kijana, VP hahusiki!!! Nahisi, Mbowe aliona aibu!!!
Kabla ya hapo, ningesema mbowe anafaa kuwa rais, ila kwa sasa itabidi nijiulize mara mbili. Pengine anaweza shughuli za urahisi tu bali si uraisi!!!!!
Mwafrika wa kike, hebu tusaidie, mteule anatuangusha!!!!
PAMOJA NA MAELEZO YAKO MAZURI, PLEASE JIBU SWALI KAMA MBOWE ANAFAA AU HAFAI.
MKUU FMES,
PAMOJA NA MAELEZO YAKO MAZURI, PLEASE JIBU SWALI KAMA MBOWE ANAFAA AU HAFAI.
Siku zote nilikuwa nadhani, Mbowe ni mtu mwenye uelewa mkubwa sana!!! Kwa mshangao mkubwa, walipokuwa wanahojiwa TVT mbowe, Warioba, Butiku, Hamad rashid na Mama malechela. Wakati Butiku anaeleza utaratibu wa Rais kuteua mawaziri, anaweza kushirikiana na Waziri mkuu, Mbowe akaingilia na MAKAMU WA RAISI!!!! wale wazee wakamwambia! Hapana kijana, VP hahusiki!!! Nahisi, Mbowe aliona aibu!!!
Kabla ya hapo, ningesema mbowe anafaa kuwa rais, ila kwa sasa itabidi nijiulize mara mbili. Pengine anaweza shughuli za urahisi tu bali si uraisi!!!!!
Mwafrika wa kike, hebu tusaidie, mteule anatuangusha!!!!
Mkuu Pundamilia07,
Katika academic world, tunaposema kiongozi mmoja hafai, huwa ni lazima tuwataje wanaofaaa na sababu, kwa hiyo in this case nilitegemea ueleze jinsi Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, wanavyoafaa kuliko Freeman, meaning skills walizonazo ambazo ziliwafanya watufanyie taifa letu mambo mazito na mazuri sana, ambayo Freeman hawezi,
Mwalimu, hawezi kuingizwa hapo maana he is too much.
Ahsante Mkuu.
ss wakubwa kama jamaa atatumia kigezo hicho cha tvt kuwa mbowe hawezi kuwa raisi?je kikwete aliyepewa cheque ambayo ina maandishi yanayokinzana,je yy anaweza kuwa raisi?raisi asiye makini na anayoyafanya?inaonyesha hata anaposini misaada au mambo mengine huwa apitii kwanza anachokisaini kwa hiyo ni raisi kabisa kwa yy kusaini mikataba ya kutuuza cc na nchi yetu pasipo yy kujua.
Mbowe nafikiri anaweza..ameweza kuwaletea wananchi maendeleo kabla hata hajawa kiongozi.Kama sio yeye upinzani ungekuwa umekufa hivi sasa!Ni mtu anaependa ushirikiano na asiye na madharau!Ana vision...ambayo itaisaidia kama akipata ushirikiano!Tatizo tulilonalo ni siasa za kibaguzi ambazo CCM inazikumbatia!Siasa za kuwatisha wananchi..eti vile ni mchagga!Ki hivyo hatuwezi fika..ni watanzania wenyewe tutakaoiletea nchi yetu maendeleo na si vinginevyo!
Mfano halisi ni huko Kenya..nilikuwa nikienda huko na nina familiy!Mtu akiwa mkikuyu hata awe masikini kiasi gani hawezi kuwa na imani na mjaluo..ama mkaleinjin..hata awe na sera nzuri kiasi gani!Ni sumu ya ubaguzi wa kikabila..kwamba tabaka flani linafaa na lingine no!stereotype ambayo mwishowe itatuangamiza wenyewe!Tukumbatie siasa za maendeleo!Kule Kenya chuki kama hizo zilianzishwa zamani na KANU kama CCM inavyoendelea kufanya!Kuna sehemu nyingine ukienda ukasema wewe ni mchagaa unawatia watu kichefuchefu!Hawataki hata kukusikia..let alone kukuona!Viongozi wote wakuu wa nchi walionyesha wazi chuki..Mkapa na Kikwete wamekuwa wakiwaleta viongozi wanaowachukia wachagga mkoani Kilimanjaro!Wengine wameonekana kuwa ni magaidi wenye roho kutu!Kama vile ZOMBE..ambaye baadaye alipoamishiwa Dar alifanya mauaji!Viongozi walifikiri ni mtu mfuatiliaji kumbe yeye mwenyewe ni gaidi na jambazi lenye uwezo wa kukutoa roho saa nusu!Ni wakati wa kukumbatia siasa za umoja na maendeleo!
Hao wachaga wameikosea nini nchi yao? kwa nini wachukiwe hivyo?
Maana katika uongozi wa nchi wameishia level ya uwaziri, hakuna PM wala Prezidaa.
Nauliza kwa nini hatuwapendi??
Mi naomba niseme badala ya kaunza smear campaign inayoendeshwa na Karl Rove wa CCM, hebu turudi kwenye mada yetu ya kuwa Mbowe anafaa kuwa rais au la. Mi nadhani tuanze kwa kuangalia vigezo muhimu ya kuwa rais wa URTz:
- Visionary: mtu anayeona mbali na ambaye ana mawazo madhubuti kwamba nchi iwe wapi baada ya miaka 5 na miaka 10
- Uniter: aweze kufanya kazi na vyama mbalimbali na pia aweze kuwasiliana na wananchi kwa njia mablimbali
- Mwadilifu: hii ni zaidi ya kuwa hana scandal. Ni uadilifu wa kazi na uadilifu katika maisha yake ya kila siku.
- Intelligent: tunahitaji mtu ambaye ana uwezo wa kifikra na anaweza kutathmini hali ya nchi na kuleta suluhisho. Hii haihusiani na kiwango cha elimu.
- Mchapakazi: hii si ile ya kusema eti anawahi kazini, bali awe mtu 'who can have things done', hata kama atafanya from 10 to 5pm au from 8 to 2pm hiyo haijalishi bali aweze kufanya kazi na asiwe mtu wa kutafuta easy solutions na cheap popularity.
Labda wenzangu mnaweza kuongeza vigezo vngine
Mjomba hii issue haina KAM ni KWELI
range rover vogue analoendesha FREEMAN ni la wizi liliibiwa LONDON na likasafirishwa kupitia HOLLAND dereva alilipwa paundi £2000 toka London...FREEMAN alisema kuwa mambo ya INTERPOL kule Bongo atayasort out
sasa leo hii anata kuwa RAIS...the man is a HUSTLER kama DIALLO na sidhani kama Politics ni mahala pake na kila ninapomsikia anazungumzia mambo ya UFISADI NAJIULIZA hivi ni FREEMAN huyu huyu anayejihusisha na ma criminals wa London au mwingine?
Sasa najua kama JJ MNYIKA atakuja ...na mshauri JJ ambwambie FREEMAN amlipie hiyo shule pale London school of distinction badala ya kuja kubishana humu