Kwa swala la ukabila sidhani kama chadema ni chama cha kikabila na kifamilia.Kwani viongozi wakuu siyo wachaga wote mfano, makamu mwenyekiti sio mchaga ,katibu mkuu sio mchaga,naibu katibu mkuu vilevile sio mchaga mwanasheria mkuu sio mchaga,mbunge wa tarime siyo mchga.ss huo ukabila uko wapi?CCM ndio chama cha kifamilia,cha akina karume,mwinyi,kawawa,na kikwete.vile vile ni chama cha kijeshi kwani viongozi wake wakubwa ni ma captain wote.kwanini CHADEMA iliyoweza kufichua ufisadi kiandamwe?jamani tuwe critical thinkers.